Faustine Ndugulile
Last updated on 2013-10-29T06:29+0300.

About this image

Extracted quotes from
Faustine Ndugulile alisema
:
“Leo nimepokea taarifa kuwa kivuko kimoja ndio kinafanya kazi, kivuko hicho kinabeba abiria tu na msongamano wa watu ni mkubwa na magari yameelekezwa kutumia Daraja la Nyerere,”
habarileo Friday, June 3, 2022 10:21:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Serikali inapaswa kuchukua hatua za makusudi na za haraka kunusuru hali hii, tusisubiri maafa halafu tuunde tume wakati matatizo yanajulikana na majibu yako wazi. Narudia hoja yangu, kama TEMESA imeshindwa kuendesha huduma za vivuko, ni vyema huduma ikabinafsishwa kwa sekta binafsi,”
habarileo Friday, June 3, 2022 10:21:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Kwa hiyo Kigamboni tukawa tumejiandaa kupitia serikali na sekta binafsi. Sekta binafsi tuliwahamasisha kuweka maeneo ya viwanda na serikali nayo imetenga takribani ekari 1,000 na kutoa viwanja kama 421 vya viwanda,”
habarileo Wednesday, December 22, 2021 8:04:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Kigamboni tuko nyuma sana katika miundombinu ya barabara. Katika barabara za Tarura, asilimia 37 tu ya barabara zimepigwa lami. Na katika asilimia 100 ya barabara za vumbi mkoa wa Dar es Salaam, asilimia 50 zipo wilaya ya Kigamboni. Sambamba la hilo, tuna barabara za ndani, na kwetu asilimia 70 ya mji umepiwa. Ila katika miundombinu ya Tarura tuna zaidi ya kilometa 1000 lakini zilizopigwa lami ni kilometa 5 sawa na asilimia 0.5. Kipaumbele changu cha kwanza ni barabara na cha pili ni barabara na tatu ni barabara,”
habarileo Monday, December 6, 2021 12:57:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
"Katika kujenga mkongo huo, ofisi za Halmashauri 17 pamoja na taasisi nyingine zitaunganishwa na miundombinu ya mtandao wa kasi na kupanua uwezo wa mkongo kutoka gigabit 200 (200G) hadi gigabit 400 (400G),"
habarileo Thursday, May 20, 2021 7:25:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Kuna simu zingine zinafanya automatic updating (kuboresha mifumo yake ya uendeshaji), wakati mwingine inatumia data kwa hiyo kama hujaweka setting vizuri kila update inayokuja kwa kila application unayotumia inatumia data.”
habarileo Wednesday, April 21, 2021 9:56:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
"Changamoto hizo zinajumuisha mifumo kutounganishwa au kutobadilisha taarifa, utegemezi wa watalaamu wa taasisi nyingine kwenye kujenga na kuendesha mifumo na uwepo wa mifumo yenye kazi zinazofanana na baadhi ya mifumo haifanyi kazi kwa ufanisi kama ilivyokusudiwa."
habarileo Wednesday, March 31, 2021 10:14:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Hatujatoa kauli kwamba tunakwenda kuzizuia wala hatujasema kwamba tutaenda kweka tozo katika jambo hili kwa hiyo lengo ni kutaka kupata takwimu ambazo zinaweza kutusaidia na sisi kupata uelewa zaidi katika jambo hili,”
habarileo Thursday, March 18, 2021 2:56:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Marekebisho haya yanahitaji mabadiliko makubwa sana katika mifumo ya mtoa huduma ndio maana tumetoa ifikapo Tarehe Mbili Mwezi wa Nne, ni lazima kampuni zote ziwe zimetekeleza hili,”
habarileo Thursday, March 18, 2021 2:56:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Tanzania tuna tatizo la content, maudhui, sasa hebu tupunguze kidogo. Hawa vijana wametafuta kamera yake, wametafuta nini vyombo vyake sasa tunapomuwekea gharama kubwa sana tunamkosesha fursa hawa vijana wetu hivyo mkafanye na mapitio hizo tozo zenu. Naamini ni mamlaka ya waziri mtaniletea nitaziangalia”
habarileo Thursday, March 18, 2021 2:56:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Hatujatoa maelekezo kwamba sasa hivi tutapiga marufuku wala kwamba tutaweka tozo katika mitandao ya kijamii ili kudhibiti watu wanaopiga simu kwa kupitia mitandao hiyo,”
habarileo Wednesday, March 17, 2021 2:35:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Tunataka tufanye uwekezaji mkubwa na tunahamasisha wawekezaji kuhakikisha kwamba tunakuwa na viwanda nchini ambavyo vinaweza kufanya uzalishaji wa vifaa vya elektroniki,”
habarileo Wednesday, March 17, 2021 2:35:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“TCRA bado sijaridhishwa na kiwango cha elimu ya matumizi ya mtandao mnayoitoa kwa umma na katika utoaji wa elimu kwa umma mkumbuke kuelimisha jamii kuhusu wajibu na haki zao ili wanapopata shida mitandaoni wajue wapite katika njia zipi,”
habarileo Saturday, March 13, 2021 11:18:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Kuna vituo vya TEHAMA vina Kompyuta lakini kazi haifanyiki, hivyo taasisi zangu ziwe na utamaduni wa kushirikiana kufanya kazi kwa pamoja,mfano UCSAF anajenga jengo na kuweka vitendea kazi lakini hana intaneti wakati TTCL wapo wangeweza kuwapatia huduma hiyo kwakuwa sisi ni wamoja”
habarileo Thursday, March 11, 2021 4:31:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“sisi tumeshakubaliana kuanzia Jumatatu (jana) tutaanza kuchezesha watu muziki. Kwa hiyo nitoe rai kwa Watanzania kama huna uhakika na kile unachokisema usiposti, usiritwiti, usilaiki, usifanye chochote na wala usikomenti”
habarileo Tuesday, February 23, 2021 6:48:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Nadhani Mheshimiwa Rais mmemsikia, na sisi tumeshakubaliana kuanzia Jumatatu tutaanza kuchezesha watu muziki. Kwa hiyo nitoe rai kwa Watanzania kama huna uhakika na kile unachokisema usiposti, usiritwiti, usilaiki, usifanye chochote na wala usikomenti”
habarileo Monday, February 22, 2021 8:43:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
(
about Faustine Ndugulile
)
:
”alisema Dk Ndugulile. Wakati huohuo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa jana alionya wanaotumia mitandao ya kijamii kutoa lugha za matusi, kuudhi na pia kusambaza za uongo na upotoshaji. Alisema jijini Arusha kuwa kufanya hivyo ni kinyume na kanuni za maudhui mtandaoni za 2018 zinazozuia watumiaji wa mitandao kufanya vitendo hivyo. Bashungwa alitoa onyo wakati wa kongamano la fursa kwa wanamuziki lililoandaliwa na taasisi ya kijamii inayoshughulika na wanamuziki (TAMUFO). Julai 17 mwaka jana serikali ilichapisha mabadiliko ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni kwenye gazeti la Serikali kupitia gazeti Na. 29 Toleo la 101. Mabadiliko hayo kupitia notisi Na. 538 yanabadilisha baadhi ya kanuni za maudhui mtandaoni za mwaka 2018 kuhakikisha zinalinda maslahi ya watumiaji wa mitandao. Kuhusu vifurushi kwenye simu za mkononi Dk Ndugulile alisema, Februari 28 mwaka huu serikali itatoa tamko kuhusu jambo hilo. Alisema suala hilo linahitaji umakini hivyo wananchi wavumilie hadi siku hiyo serikali ita- kapotoa suluhisho la kudumu kuhusu jambo hilo. “Kuna kazi inaendelea kuchakatwa na hata leo nitakuwa napata taarifa ya mwendelezo wa jambo hili kwa hiyo Watanzania waendelee kutuvumilia wawe na subira ifikapo tarehe 28 mwezi huu tutakuja na taarifa kamili ya nini tunakwenda kufanya kuhusiana na vifurushi”
habarileo Monday, February 22, 2021 8:43:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Mkaangalie upya mgawanyo wa majukumu yenu ili yale yanayoweza kufanyika katika ngazi ya mkoa yafanyike mkoani na yale ya makao makuu yafanyikie makao makuu, nchi hii ina mikoa 31 jipangeni vizuri kuhakikisha uwepo wa shirika katika kila mkoa”
habarileo Monday, February 15, 2021 3:55:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Shirika ndio mtekelezaji wa sera ambazo wizara inaandaa, hivyo ni vema mameneja wakahusishwa ili nao watoe maoni yao pamoja na kujipanga katika utekelezaji wa mipango wanayotarajia kuifanya”
habarileo Monday, February 15, 2021 3:55:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Niwatoe hofu watanzania bado tunaendelea na mazungumzo na muda sio mrefu tutakuja na majibu na ufumbuzi wa kina kuhusiana na mambo hayo”
habarileo Wednesday, January 27, 2021 10:34:00 AM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"You must create an enabling environment to support the government to operate smoothly and enable members of the public to access government services easily through digital technology,"
allafrica Monday, January 18, 2021 3:02:00 AM EAT
Faustine Ndugulile wrote
(
about John Pombe Magufuli
)
:
“I have received the President’s decision with a lot of humility. I thank JPM [President John Pombe Magufuli] for giving me the opportunity to serve in his administration…,”
theCitizen Monday, May 18, 2020 3:58:00 PM EAT
Faustine Ndugulile wrote
(
about John Pombe Magufuli
)
:
“I have received the President’s decision with a lot of humility. I thank JPM [President John Pombe Magufuli] for giving me the opportunity to serve in his administration…,”
theCitizen Sunday, May 17, 2020 10:24:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Tunataka tutoe mwongozo wa jinsi gani marehemu wa COVID-19 atazikwa, hii ni kuanzia jinsi gani atasafishwa na kufungwa kwenye mifuko maalum na hata idadi ya watu watakaoruhusiwa kuzika, kwa sababu tumeona hata baadhi ya viongozi wa dini wanashiriki wengi kwenye maziko, sasa hii ni hatari, lazima tuweke mwongozo kwenye hili kwa haraka,”
habarileo Friday, May 15, 2020 3:35:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Tumeona tubadilishe mwongozo, watakaolazwa ni wale tu wenye kuhitaji huduma ya matibabu zaidi kama wale wasioweza kupumua hivyo wanahitaji ventilators. Wale wote wenye hali nzuri watatakiwa wajitenge nyumbani na sio kwenda hospitalini,”
habarileo Friday, May 15, 2020 3:35:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisisitiza
(
about Rais Magufuli
)
:
“Ndio maana Taasisi ya NIMR ilipewa maagizo na Rais Magufuli ya kukaa na wataalamu wengine wa ndani kutoka taasisi tofauti za utafiti waje na majibu ya jinsi ya kutibu watu wetu ,”
habarileo Friday, May 15, 2020 3:35:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisisitiza
:
“Ni lazima tafiti zaidi zifanywe kuthibitisha hilo, utafiti mmoja hauwezi kutosheleza kusema corona inaambukizwa pia kwa njia ya kujamiiana kutoka kwa mtu mwenye maambukizi kwenda kwa asiyenayo, ndio sayansi ilivyo,”
habarileo Friday, May 15, 2020 3:35:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
(
about The Deputy
)
:
"There are so many things that, as researchers, you need to invest in now. The first, is about the under-standing of the community about Covid-19, what kind of people in terms of characteristics tend to suf-fer from Covid-19 and the symptoms that have been noted,"
allafrica Monday, May 11, 2020 4:39:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"We will stick to targeted testing since it is difficult to test all the 55 million people. Testing Covid-19 is also expensive and requires skilled health practitioners to take samples from suspected patients,"
BBCMonitoring Sunday, May 3, 2020 10:05:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Naomba niwaambie, kujifukiza sio njia sahihi wala tiba ya kuua virusi vya corona. Unapojifukiza unaweza kuleta athari ya kuunguza njia ya hewa, njia ya hewa haijatengenezwa ili kuingiza moto mwilini mwako, nitoe rai hii sio njia sahihi,”
habarileo Wednesday, April 15, 2020 8:56:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Wataalamu wetu wanamalizia mchakato wa kuandaa maelekezo ya jinsi ya kuzitengeneza, Waziri wa Afya atatoa maelekezo ya hili, ili jamii waelewe na kuchukua hatua ya kuzitengeneza kwa kufuata njia sahihi ili ziwe na sifa, maana lazima ziwe na ‘leya’ angalau tatu ya kusaidia kuzuia kwa kiasi uwezekano wa kuambukiza na kuambukizwa,”
habarileo Tuesday, April 14, 2020 7:53:00 AM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“As you are aware, we have so far registered 20 cases. Two have been healed and reintegrated with their families, whereas one passed away on March 31. The good news is that none of the remaining patients is in a critical condition,”
theCitizen Friday, April 3, 2020 3:15:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“As you are aware we have so far registered 20 cases, two have healed and reintegrated with their families, whereas one passed away on March 31. The good news is that of all the remaining patients none of them is in a critical condition,”
theCitizen Thursday, April 2, 2020 4:40:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Kunawa mikono kwa sabuni na maji yanayotiririka ni bora zaidi kuliko kutumia vimiminika vya kinga. Usibabaike pale unapokosa vimimiminika vya kinga,”
mwananchi Thursday, March 19, 2020 3:37:00 PM EAT
Faustine Ndugulile aliandika
:
“Majitiririka na sabuni ni bora zaidi kuliko matumizi ya vitakasa mikono (sanitizers). Usiwe na wasi wasi kuhusu kutopata au kutomudu ‘sanitizers’, tumia maji tiririka na sabuni,”
habarileo Thursday, March 19, 2020 8:13:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Ni marufuku kuanzia sasa kutumia karatasi za daftari kuomba dawa kutoka idara moja kwenda nyingine, tuandae fomu maalumu za maombi,”
habarileo Sunday, February 16, 2020 9:40:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Hapa ninapata mashaka kuwa kuna upotevu wa dawa za Serikali tujirekebishe na kuhakikisha tunatunza vizuri kumbukumbu zetu,”
mwananchi Saturday, February 15, 2020 3:11:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Kimsingi nimeiona hiyo taarifa ya huyo mtu anayejiita nabii saba kuwa anayo dawa ya kutibu ugonjwa wa corona, ila hapa kwetu Tanzania hatuna maambukizi yoyote ya ugonjwa huyo, tunachotaka huyo mtu atuthibitishie uwezo wake wa kutibu huo ugonjwa wa corona,”
mtanzania Saturday, February 15, 2020 9:39:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Kimsingi nimeiona hiyo taarifa ya huyo mtu anayejiita Nabii Namba Saba kuwa ana dawa ya kutibu ugonjwa wa Corona, ila hapa Tanzania hatuna maambukizi yoyote ya ugonjwa huo tunachotaka huyo mtu atuthibitishie uwezo wake wa kutibu huo ugonjwa wa corona,”
mwananchi Friday, February 14, 2020 12:36:00 PM EAT
Faustine Ndugulile explained
:
“There is no case of corona virus in Tanzania as the government continues to strengthen monitoring and preventive measures. Avoid dissemination of unconfirmed information”
theCitizen Sunday, February 2, 2020 12:08:00 PM EAT
Faustine Ndugulile noted
:
“The world is now like a village, so, we’re not taking any chances, we’re watching closely the outbreak of coronavirus which has been reported in China,”
theCitizen Thursday, January 23, 2020 11:08:00 AM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“The installed modern equipment have the capacity of scanning over 100 people at a time,”
theCitizen Thursday, January 23, 2020 11:08:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Kuna utafiti mmoja unaonesha kuwa katika miaka 50 ijayo wanaume wote tutakuwa hamna kitu na visababishi ni mabadiliko ya hali ya hewa na maisha tunayoishi,”
habarileo Wednesday, January 22, 2020 11:40:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Niwapongeze sana Serikali Mkoa wa Njombe kwa kukabiliana na vifo vya mama na mtoto, tunapaswa kujua ujauzito si ugonjwa hivyo tusiruhusu kukatisha maisha ya mama mjamzito, anatakiwa aishi,”
mtanzania Saturday, January 18, 2020 11:50:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Niwaombe watu watakaoona dalili zozote zisizo za kawaida kwenda hospitali kwa ajili ya uchunguzi. Jamii itoe taarifa kwa matukio ambayo sio ya kawaida ili hatua ziweze kuchukuliwa,”
mwananchi Monday, December 16, 2019 6:41:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Dolutegravir ni dawa mpya ambayo imeanza kutumika nchini badala ya ile ya awali ya efavirenzi,”
mwananchi Wednesday, December 11, 2019 1:03:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“Dolutegravir is a new medicine that has now started to be used in the country instead of the previous one called Efavirenz. Let it be remembered that TLD is a mix of three drugs namely, Tenofovir 300mg/, lamivudine 300mg/ and dolutegravir 50mg. So, D stands for Dolutegravir,”
theCitizen Wednesday, December 11, 2019 12:43:00 PM EAT
Faustine Ndugulile explained
:
“It will be easy to know the achievement we have made under the campaign. We will be able to know what the real situaion is on the ground - and, later, asses the improvement made by the Campaign,”
theCitizen Saturday, December 7, 2019 7:21:00 PM EAT
Faustine Ndugulile says
:
“Because not only are survivors reporting but also members of the community when they witness acts of violence”
theCitizen Saturday, November 23, 2019 4:16:00 PM EAT
Faustine Ndugulile says
:
“We have set up 11,000 committees for increased prevention efforts and also established One-Stop-Centres where survivors can report cases, receive counselling, healthcare services and also get free legal assistance. We would like to mainstream services in all schools to improve reporting of domestic cases that usually go unreported,”
theCitizen Saturday, November 23, 2019 4:16:00 PM EAT
Faustine Ndugulile says
:
“We have a big challenge when it comes to adequate funding and one of our strategies is to have more partners on board to support efforts at various levels and through different means. Critically, we need to have members of Parliament who are gender sensitive to support our push for gender-responsive budgeting and improved monitoring of funded initiatives. What we urgently want to happen is to have a gender responsive budget system that can support the implementation of the National Plan of Action. I am happy that UN Women was also part of the seminar to support us to explore South-South Cooperation, which can facilitate learning from countries that are effectively implementing gender responsive budgeting in the context of violence against women and children,”
theCitizen Saturday, November 23, 2019 4:16:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Mfano mwaka juzi (2017) takwimu za Polisi zinaonesha kuwa matukio ya ukatili dhidi ya watoto yalikuwa 13,457 na mwaka jana (2018) yalikuwa 14,409 lakini yaliyofikishwa mahakamani hayazidi 1,000, mengi yanamalizwa na familia, sasa hii si sawa, mtoto ana haki zake,”
habarileo Thursday, November 21, 2019 9:37:00 AM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"Since this collaboration has started to be implemented cases of gender-based violence have started to drop down significantly,"
xinhuanet_en Monday, November 11, 2019 4:57:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Tumeboresha vituo vya afya na zahanati pia lakini hali ya upatikanaji wa dawa ilikuwa chini ya asilimia 60 kwa sasa ni zaidi ya 92.5,”
mwananchi Wednesday, October 16, 2019 1:35:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“I’m not saying the government is not doing well, in fact we are doing well in prevention of outbreaks and supply of medicines, but we can do better,”
theCitizen Wednesday, October 16, 2019 9:41:00 AM EAT
Faustine Ndugulile observed
:
"The country now has the 90:90:90 goal-90 per cent of Tanzanians should screen and be aware of their HIV/ AIDS status, 90 per cent of the screened be provided with medicine and 90 per cent of those taking medication to completely weaken the virus,"
allafrica Monday, September 30, 2019 2:05:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
"Wagonjwa wote ambao wanapitia taratibu za rufaa kuanzia ngazi ya zahanati huwa wanahudumiwa vipimo hivyo kwa gharama ndogo lakini mgonjwa ambaye hajapitia hatua hizo hutozwa gharama kubwa kwani anahesabika kama mgonjwa binafsi,"
mwananchi Friday, September 13, 2019 1:22:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Nilitegemea baraza la madaktari muwe mmeanza uchunguzi, kwa hiyo nakupa maagizo kesi hiyo muanze kufuatilia na kama itathibitika ni uzembe waliohusika wachukuliwe hatua, ndani ya wiki mbili mtuletee majibu ili mimi na waziri (Ummu Mwalimu) tujue tunachukua hatua gani,”
mwananchi Thursday, September 12, 2019 10:58:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"We conducted a research in collaboration with Unicef in 2009 and the outcome revealed that 60 per cent of the violence cases happened at home by people close to the children and 40 per cent happened in schools," "These incidents were fuelled by superstitious beliefs, poverty and outdated cultural beliefs,"
theCitizen Wednesday, September 4, 2019 4:44:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Niwaombe wananchi kutosambaza taarifa ambazo hawana uhakika nazo, kama wana swali au hoja kuhusu ubora wa dawa ni bora wawasiliane na TMDA kwa sababu sasa tutaanza kuchukua hatua kwa upotoshaji usio na msingi,”
mwananchi Thursday, August 29, 2019 3:07:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Tukipata kibali majibu ya vipimo tutakayokuwa tunayatoa Tanzania yatakuwa yanakubalika dunia nzima na itakuwa ni hatua kubwa kwetu,”
mwananchi Thursday, August 29, 2019 3:07:00 PM EAT
Faustine Ndugulile says
:
“All regional commissioners have been instructed to effectively supervise the outreach campaigns designed to curb malnutrition in their respective areas,”
theCitizen Monday, August 26, 2019 11:56:00 AM EAT
Faustine Ndugulile says
:
“Family planning allows for the spacing of pregnancies and can delay pregnancies in young women at increased risk of health problems and death from early childbearing as well as prevent pregnancies in older women who face increased pregnancy-related risks,”
theCitizen Monday, August 12, 2019 10:39:00 AM EAT
Faustine Ndugulile says
:
“Improvement of the education system under Free Education Policy has helped in reduction of early pregnancies among young girls in the country particularly in the rural areas, regarding the fact that the majority of them can now access free education,”
theCitizen Monday, August 12, 2019 10:39:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Elimu inatakiwa kutolewa kwa wananchi wote kuhusu umuhimu wa kuacha wosia ili wakati mjane anapomlilia mwezake siyo ndugu waanze kupora. hati za nyumba, mali na kumwacha mama mjane akiwa hana kitu na wengine hufika mbali zaidi na kuwafukuza hata kwenye nyumba walizokuwa wanaishi,”
mwananchi Monday, June 24, 2019 12:26:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Hivyo tunalazimika kufuatilia mnyororo mzima kujua idadi ya aliosalimiana nao na alijihusisha na jamii ipi ili kuhakikisha kuwa tuko salama,”
mtanzania Tuesday, June 18, 2019 10:34:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Muhimbili ina mashine 42 kwa sasa, hutoa huduma ya kusafisha damu mara tatu kwa siku na siku sita kwa wiki, hivyo bado mzigo ni mkubwa,”
habarileo Tuesday, June 18, 2019 9:26:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Wiki mbili nyuma kimeibuka kipindupindu katika jiji la Dar es Salaam, lakini kwa sasa hali inaanza kuwa nzuri wagonjwa wanapungua na ukifika kwenye kambi za Temeke, Amana na Mwananyamala utamkuta mmoja au wawili, Takwimu kwa nchi nzima watu sita wamefariki huku 361 wakiugua ugonjwa huu,”
mwananchi Monday, June 17, 2019 5:25:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
"Tayari vifaa maalum vimefungwa viwanja vya ndege na mipakani kuangalia kila anayeingia, wanaoenda Congo hasa madereva tuna utaratibu wa kuwafuatilia wanapoingia nchini na pia wanakwenda maeneo gani, lazima tuhakikishe tunafuatilia mnyororo nzima kwa wafanyabiashara waendelee ila wachukue tahadhari,"
mwananchi Monday, June 17, 2019 3:37:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Wiki mbili nyuma kimeibuka kipindupindu katika jiji la Dar es Salaam, lakini kwa sasa hali inaanza kuwa nzuri wagonjwa wanapungua na ukifika kwenye kambi za Temeke, Amana na Mwananyamala utamkuta mmoja au wawili, Takwimu kwa nchi nzima watu sita wamefariki huku 361 wakiugua ugonjwa huu,”
mwananchi Monday, June 17, 2019 2:46:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Serikali tumeanza kuliona hilo na kuchukua hatua, takwimu zinaonesha kuanzia wenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 19, asilimia 27 ni wajawazito au wana watoto, kwa hali hii ya maambukizi tumeamua kupeleka muswada bungeni kushusha umri wa ridhaa hadi miaka 15. Ili sasa iweze kuruhusu kijana kuweza kupata huduma, kwa sababu kwa sasa inabidi apate ridhaa ya mzazi au mlezi,”
mwananchi Tuesday, June 11, 2019 7:42:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Wizara ya Afya ilifanya mabadiliko ya mwongozo wa kutengeneza mwongozo wa vifaa vya radiolojia nchini wa mwaka 2018, pamoja na mambo mengine huduma za CT-Scan sasa zitapatikana katika ngazi ya Hospitali za rufaa za mikoa na huduma za MRI zitapatikana katika ngazi ya hospitali za rufaa za kanda na Taifa,”
mwananchi Tuesday, June 11, 2019 4:33:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“We have provided adequate laboratory tests and additional supply is on the way. The prices have dropped to between Sh15,000 and Sh20,000,”
theCitizen Saturday, May 11, 2019 11:49:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Mhusika anapofanya kile kitendo anajua matokeo yake ni nini, ingawa kuna wengine hawafahamu, lakini kutokujua haina maana kuwa ndio uvunje sheria, sheria ipo pale pale. Serikali inatambua mtoto ni yule wa umri chini ya miaka 18 na akifanya tendo la ndoa yule aliyefanya naye atakuwa ameingia matatani maana atakuwa kama amembaka, ingawa kuna changamoto ya sheria ya ndoa inayoruhusu mtu kuolewa chini ya miaka 18,”
habarileo Saturday, May 11, 2019 11:49:00 AM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Tumeleta vipimo vya maabara vya kutosha na vingine vipo njiani na sasa bei imeshuka itakuwa kati ya Sh15,000 mpaka Sh20,000,”
mwananchi Saturday, May 11, 2019 10:33:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
"Mkutano huu umekuja wakati muafaka ambapo kesho nitakuwa Simiyu kwenye maadhimisho ya siku ya wakunga yanayofanyika huko kitaifa, miongoni mwa mambo yatakayojadiliwa ni pamoja na kuhakikisha hakuna vifo vya mama na mtoto kwa sababu mimba siyo ugonjwa"
mwananchi Saturday, May 4, 2019 5:59:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
"Si kweli kuwa Dodoma kuna wagonjwa wengi wa akili lakini hospitali ya Mirembe ni hospitali ya rufaa iliyojengwa kwa sababu ya kuwapo wa Gereza Kuu la Isanga ambalo linapokea watu wenye kesi kubwa hivyo huweza kupata msongo (wa mawazo),"
mwananchi Thursday, April 18, 2019 1:33:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Na mara chache mgonjwa anaweza kutokwa damu kwenye fizi na sehemu za uwazi za mwili mfano machoni, mdomoni, masikioni pamoja na sehemu za haja ndogo na kubwa”
habarileo Friday, April 12, 2019 1:02:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“So, I would like to advise health service providers to test patients, who, if diagnosed with the disease, should be provided with proper treatment,”
theCitizen Thursday, April 11, 2019 3:00:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Tatizo la homa ya dengue tunalo, kwa sasa tumeanza kubaini wagonjwa waliougua Dar es Salaam na Tanga hatujapata vifo vyovyote mpaka sasa tunao wagonjwa takriban 200 Dar es Salaam lakini hakuna aliyeathirika, nashauri watoa huduma kuwapima wagonjwa iwapo watabainika wanaumwa wapewe tiba stahiki,”
mwananchi Thursday, April 11, 2019 1:57:00 PM EAT
Faustine Ndugulile alisema
:
“Sheria hizo mbili tutazileta bungeni ili ile asilimia 90 ya watu wanaoishi na Ukimwi, asilimia 90 walionao wapate matibabu na asilimia 90 wanaotumia dawa wafubaze tunaleta mabadiliko ya sheria kuruhusu upimaji binafsi na kushusha miaka ya kupima ukimwi iwe miaka 15,”
habarileo Wednesday, April 10, 2019 11:34:00 AM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“Currently what we are focusing on is to ensure that services reach the primary level health facilities,”
theCitizen Sunday, April 7, 2019 9:04:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Imani yetu ni kuwa hawa wanaopata mafunzo hapa wakitoka watakwenda kufanya kazi ipasavyo maeneo wanayotoka, huu ni utaratibu wa kawaida hata ndege zinapoagizwa marubani hupelekwa kwa ajili ya kupata mafunzo kwanza kabla ya kuanza kufanya kazi,”
mwananchi Sunday, April 7, 2019 7:44:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“We’re not ready to see that some organisations break the laws of the country. We’ll take appropriate legal measures against them,”
theCitizen Friday, March 29, 2019 11:39:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
"Eneo la kisarawe2 ni la kimkakati kwa ajili ya biashara na tayari eka 1,000 zimetengwa kwa ajili ya viwanda, hivyo mlioamua kununua viwanja hapa hamtajuta kwani huko mbele ya Kigamboni inatarajiwa kuwa kitovu cha biashara katika mkoa wa Dar es Salaam na uwezo huo na sababu tunayo,"
mwananchi Sunday, March 24, 2019 4:21:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Hivi ninavyoongea tayari mgonjwa mmoja amekwishapandikizwa figo na ameshatoka salama, yupo anaendelea kuangaliwa, lakini wana mpango wa kuwafanyia wengine wawili tutapokuwa tumekamilisha hili tutakuwa na wagonjwa saba ambao wamefanyiwa hospitali hii,”
habarileo Monday, March 18, 2019 11:01:00 AM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“Lengo na kusudio ni kuhakikisha kwamba tunajenga uwezo wa ndani wa kuweza kufanya upasuaji huu,”
habarileo Monday, March 18, 2019 11:01:00 AM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“Through the Health National Policy, the government is committed to prevent and offer treatment for Non-Communicable Diseases like cancer and cardiovascular,”
theCitizen Monday, February 25, 2019 3:32:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"Government resolved to provide free condoms by cutting off private suppliers. This change has contributed to the shortage,"
tuko Thursday, February 21, 2019 5:50:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
"Serikali tumeona tatizo katika sheria hiyo kwamba inatamka mtu mzima wa kuanzia miaka 18 ndiye anapaswa kupima virusi vya Ukimwi hivyo sheria mpya itashusha umri huo,"
mwananchi Friday, February 1, 2019 11:57:00 AM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed," "These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,"
wlwt Wednesday, January 30, 2019 8:54:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
wlwt Wednesday, January 30, 2019 8:54:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this,"
wlwt Wednesday, January 30, 2019 8:54:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed," "These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,"
wmur Wednesday, January 30, 2019 8:51:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
wmur Wednesday, January 30, 2019 8:51:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this,"
wmur Wednesday, January 30, 2019 8:51:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed," "These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,"
wesh Wednesday, January 30, 2019 8:40:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
wesh Wednesday, January 30, 2019 8:40:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this,"
wesh Wednesday, January 30, 2019 8:40:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed," "These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,"
wyff4 Wednesday, January 30, 2019 8:38:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
wyff4 Wednesday, January 30, 2019 8:38:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this,"
wyff4 Wednesday, January 30, 2019 8:38:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed," "These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,"
wxii12 Wednesday, January 30, 2019 8:30:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
wxii12 Wednesday, January 30, 2019 8:30:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this,"
wxii12 Wednesday, January 30, 2019 8:30:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed," "These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,"
wcvb Wednesday, January 30, 2019 8:23:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
wcvb Wednesday, January 30, 2019 8:23:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this,"
wcvb Wednesday, January 30, 2019 8:23:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed," "These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,"
Koat Wednesday, January 30, 2019 8:23:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
Koat Wednesday, January 30, 2019 8:23:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this,"
Koat Wednesday, January 30, 2019 8:23:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed," "These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,"
kcci Wednesday, January 30, 2019 8:20:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
kcci Wednesday, January 30, 2019 8:20:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this,"
kcci Wednesday, January 30, 2019 8:20:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"The government has prepared the action plan running from 2017/18 to 2021/22 with a focus, among others, to help children living in harsh environment, including children living and working on street,"
theCitizen Wednesday, January 30, 2019 7:55:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
ibtimes Wednesday, January 30, 2019 2:17:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
"These murders are not linked to albino killings," "But it is very sad because they are children and they don't deserve to be used like this"
ibtimes Wednesday, January 30, 2019 2:17:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
“We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,”
theepochtimes Tuesday, January 29, 2019 11:02:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“But it is very sad because they are children and they don’t deserve to be used like this,”
theepochtimes Tuesday, January 29, 2019 11:02:00 PM EAT
Faustine Ndugulile afirmou
:
“Estes assassinatos estão relacionados com práticas de feitiçarias", explicou o ministro adjunto da Saúde da Tanzânia. Foram encontradas mortas e mutiladas, na semana passada, 10 crianças dadas como desaparecidas em dezembro na Tanzânia. Aos corpos foram retirados os dentes e as partes íntimas para, acreditam as autoridades, rituais de bruxaria. O ministro adjunto da Saúde da Tanzânia, Faustine Ndugulile, contou esta segunda-feira à CNN que estas são as crianças desaparecidas desde o final do ano passado na região de Njombe, a sudoeste do país. Encontrámos 10 corpos com grande parte das zonas íntimas e dentes removidos”
tvi24 Tuesday, January 29, 2019 5:46:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“So far, we have found 10 bodies, and most of their private parts and teeth had been removed,” “These murders are linked to witchcraft practices because that is the trend for such crimes, where herbalists ask people to get these human parts for money rituals,”
newsday Tuesday, January 29, 2019 4:04:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
“We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the areras quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,”
newsday Tuesday, January 29, 2019 4:04:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“But it is very sad because they are children and they don’t deserve to be used like this,”
newsday Tuesday, January 29, 2019 4:04:00 PM EAT
Faustine Ndugulile told
:
"We want to identify the perpetrators, but our focus is to educate the traditional practitioners in the area quickly and those in surrounding communities on the need to stop these acts,"
thesun Tuesday, January 29, 2019 12:19:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
"DC (mkuu wa wilaya) wekeni ratiba ya kutembelea hapa mara kwa mara, na si kutembelea tu bali mkague mazingira na mapato yanayopatikana ili wazee wetu wapate huduma,"
mwananchi Sunday, January 27, 2019 4:34:00 PM EAT
Faustine Ndugulile said
:
“The main focus is on enhancing universal health insurance (UHI) coverage among citizens by establishing health insurance schemes with affordable packages to cater for all the citizens,”
theCitizen Sunday, December 30, 2018 12:38:00 PM EAT
Faustine Ndugulile amesema
:
“NMB Mmekuwa mkifanya vizuri kuwafikia watu wengi lakini mnapaswa kuongeza juhudi zaidi kufikia maeneo yote nchini, kwani kuna mahali ambako watu hawajajumuishwa kwenye huduma za fedha,”
mwananchi Sunday, December 9, 2018 9:17:00 PM EAT
Key Titles and Phrases | Count | Lang | Last Seen |
---|---|---|---|
mp | 100.00% | EN | 02/09/201709/02/2017 |
Names | Lang | Count |
---|---|---|
Faustine Ndugulile | SW | 70.97% |
Faustine Ndugulile | EN | 29.03% |
Type | Entity Name | Count |
---|---|---|
![]() | John Magufuli | 4.32% |
![]() | World Health Organization | 2.97% |
![]() | Rais Magufuli | 1.80% |
![]() | Danny Cowart | 1.53% |
![]() | Benjamin Mkapa | 1.44% |
![]() | Waziri Mkuu | 1.26% |
![]() | United Nations | 1.17% |
![]() | Job Ndugai | 1.17% |
![]() | Afrika Mashariki | 1.08% |
![]() | Kassim Majaliwa | 0.99% |
![]() | Tanzanian government | 0.99% |
![]() | Guardian | 0.99% |
![]() | The Guardian | 0.99% |
![]() | British Broadcasting Corporation | 0.99% |
![]() | Reuters Group | 0.99% |
![]() | Health Ministry | 0.90% |
![]() | Mohammed Ahmed ibn Abd Allah Al-Mahdi | 0.81% |
![]() | African Union | 0.81% |
![]() | Al Shabab | 0.81% |
![]() | Ahmed Hussen | 0.81% |
![]() | Al Qaeda | 0.81% |
![]() | Association | 0.81% |
![]() | Utawala Bora | 0.81% |
![]() | Philip Mpango | 0.72% |
![]() | International Organization for Migration | 0.72% |
![]() | Qaeda | 0.72% |
![]() | Getty Images | 0.72% |
![]() | Commission | 0.72% |
![]() | Hussein of Jordan | 0.72% |
![]() | Paul Makonda | 0.63% |
Type | Entity Name | Score |
---|---|---|
![]() | Erasto Kiwale | 0.1538 |
![]() | Muhammad Kambi | 0.1212 |
![]() | Eligius Lyamuya | 0.0625 |
![]() | John Magufuli | 0.0475 |
![]() | Rashid Jumbe | 0.0455 |
![]() | Julius Mwaiselage | 0.0444 |
![]() | Yunus Mgaya | 0.0248 |
![]() | Rais Magufuli | 0.0201 |
![]() | Ladislaus Mwamanga | 0.0196 |
![]() | Meck Sadick | 0.0185 |
![]() | Veronica Mheta | 0.0182 |
![]() | Philemon Mollel | 0.018 |
![]() | Ole Medeye | 0.0176 |
![]() | Abel Kinyondo | 0.0174 |
![]() | Mahmoud Mgimwa | 0.0161 |
![]() | Hamisi Kigwangala | 0.016 |
![]() | Benjamin Mkapa | 0.0159 |
![]() | Asha Baraka | 0.0154 |
![]() | Waziri Mkuu | 0.0141 |
![]() | Oran Njeza | 0.0139 |
![]() | Mohamed Janabi | 0.0134 |
![]() | Job Ndugai | 0.0131 |
![]() | Susan Lyimo | 0.013 |
![]() | Abbas Mtemvu | 0.0128 |
![]() | Leonard Subi | 0.0125 |
![]() | Afrika Mashariki | 0.0119 |
![]() | Anna Kilango | 0.0116 |
![]() | James Kilaba | 0.0113 |
![]() | Tanzanian government | 0.0108 |
![]() | Kassim Majaliwa | 0.0107 |


Tools
Select your languages
Interface:
Explore Relations
Extracted quotes about
Faustine Ndugulile alisema
(
about Faustine Ndugulile
)
:
”alisema Dk Ndugulile. Wakati huohuo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa jana alionya wanaotumia mitandao ya kijamii kutoa lugha za matusi, kuudhi na pia kusambaza za uongo na upotoshaji. Alisema jijini Arusha kuwa kufanya hivyo ni kinyume na kanuni za maudhui mtandaoni za 2018 zinazozuia watumiaji wa mitandao kufanya vitendo hivyo. Bashungwa alitoa onyo wakati wa kongamano la fursa kwa wanamuziki lililoandaliwa na taasisi ya kijamii inayoshughulika na wanamuziki (TAMUFO). Julai 17 mwaka jana serikali ilichapisha mabadiliko ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni kwenye gazeti la Serikali kupitia gazeti Na. 29 Toleo la 101. Mabadiliko hayo kupitia notisi Na. 538 yanabadilisha baadhi ya kanuni za maudhui mtandaoni za mwaka 2018 kuhakikisha zinalinda maslahi ya watumiaji wa mitandao. Kuhusu vifurushi kwenye simu za mkononi Dk Ndugulile alisema, Februari 28 mwaka huu serikali itatoa tamko kuhusu jambo hilo. Alisema suala hilo linahitaji umakini hivyo wananchi wavumilie hadi siku hiyo serikali ita- kapotoa suluhisho la kudumu kuhusu jambo hilo. “Kuna kazi inaendelea kuchakatwa na hata leo nitakuwa napata taarifa ya mwendelezo wa jambo hili kwa hiyo Watanzania waendelee kutuvumilia wawe na subira ifikapo tarehe 28 mwezi huu tutakuja na taarifa kamili ya nini tunakwenda kufanya kuhusiana na vifurushi”
habarileo Monday, February 22, 2021 8:43:00 AM EAT
Michael Dunford alisema
(
about Faustine Ndugulile
)
:
“Tumekutana na wafanya maamuzi akiwamo Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Watoto (Dk. Faustine Ndugulile) ili kuona kama kuna utayari wa kisiasa katika kuondokana na hali hii,”
mtanzania Thursday, March 28, 2019 12:54:00 PM EAT
The selection and placement of stories are determined automatically by a computer program.
This site is supplied by the Situation Room of the Continental Early Warning System (CEWS) of the Peace and Security Department of the African Union Commission. The project is supported by the Joint Research Centre of the EU Commission
Please send any comments or suggestions to
The information on this site is subject to adisclaimer.