Paul Makonda
Last updated on 2017-03-29T15:06+0300.

About this image

Extracted quotes from
Paul Makonda expliqué
:
"Notre but principal est de soulager la douleur de ces femmes qui souffrent de ces tricheurs qui leur promettent le mariage"
bbc-french-africa Tuesday, October 27, 2020 4:33:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Nawapenda wananchi wa Dar es Salaam, namewatumikia vema kwa kutumia akili na vipaji vyangu vyote na endapo nilikwenda kinyume na matakwa yenu naomba mnisamehe niwaombe mkisikia nimemuacha Yesu ndio muuzunike lakini kama Yesu ninae nina amani moyoni na furaha ya kutosha”
mtanzania Tuesday, August 4, 2020 1:25:00 PM EAT
Paul Makonda told
:
“In developed countries, car dealers are located in a particular area where buyers can easily access them. I ask you to accomplish this on my behalf,”
theCitizen Tuesday, August 4, 2020 10:26:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Katika kulitekeleza hilo, tayari eneo lilishapatikana kinachosubiriwa ni kwenda kuoneshwa eneo lao, jukumu hili lipo mikononi mwa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sara Msafiri, nendeni mkaoneshwe ili kazi ya ujenzi ianze haraka nina imani kuwa fedha mnazo,”
habarileo Saturday, July 4, 2020 4:59:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Yapo mambo mengi amabayo yamefanywa na Serikali na ninyi vijana mnayajua bila hata kuelekezwa msipoyasema iko siku wasioitakia mema nchi hii watayageuza na kuwa mabaya hivyo ni jukumu lenu kuwaeleza wananchi,”
mtanzania Sunday, June 14, 2020 6:47:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sisi tulikuwa tukienda kuomba vipindi katika televisheni mbalimbali kuwajibu wanaokitukana chama huku tukiwa hatuna vyeo vyovyote tukiulizwa tunajibu kuwa sisi ni makada si kila kitu usubiri kutumwa, kupokea maelekezo,”
mtanzania Sunday, June 14, 2020 6:47:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Vijana wa sasa wa CCM wamekuwa wakiwasaidia kusambaza ujumbe wanaoitukana serikali na kusambaza uongo katika makundi na kulalamika kuwa anahitaji kujibiwa, ajibiwe na nani wakati wewe ni kijana wa ccm,”
mtanzania Sunday, June 14, 2020 6:47:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tambuanaeni na mheshimiane kwa vipaji na uwezo ambavyo Mungu ameviweka ndani yenu na wasaidieni ambao wanaomba uongozi mkijua wana uwezo wa kuongoza,”
mtanzania Sunday, June 14, 2020 6:47:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Wafanyabiashara na wafanyakazi wote wa Dar, kama una hoteli, baa, kampuni tufungue shughuli zetu tufanye kazi. Wale wote waliokimbilia mikoani kwa ajili ya kusubiri corona ipite warudi watatukuta tuna afya njema na waje tuchape kazi,”
habarileo Wednesday, May 20, 2020 5:37:00 PM EAT
Paul Makonda alieleza
:
“Katika siku hizo tatu za ibada, siku ya Jumapili iwe ni maalumu kwa kupiga kelele, kama utaenda disko nyumbani piga kelele, toka barabarani piga kelele kama unaenda baharini kuogelea kwa furaha fanya hivyo, Mungu wetu ametushindia na Jumatatu tarehe 25, kazi ziendelee kama kawaida,”
habarileo Wednesday, May 20, 2020 5:37:00 PM EAT
Paul Makonda expliqué
:
“Les cercueils sont simplement vides, et les vidéos ont été diffusées par des gens malintentionnés qui veulent faire paniquer les Tanzaniens”
courrierinternational Monday, May 18, 2020 7:33:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kuanzia kesho (leo) tunakamata wafanyabiashara wote wanaouza sukari kwa bei ya juu tofauti na iliyotolewa na Serikali,”
mtanzania Tuesday, May 5, 2020 11:37:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Nimebaini uwepo wa baadhi ya wafanyabiashara wanaouza sukari kwa bei ya hadi Sh 4,500 kinyume na bei elekezi ya Serikali ya Sh 2,600 jambo linalopelekea maumivu na gharama kwa wananchi,”
mtanzania Tuesday, May 5, 2020 11:37:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Swala la mtu ameshakuwa bungeni na alishapata uzoefu, na alikuwa mbunge wa jimbo awamu ya kwanza na ya pili, hatakiwi kupewa nafasi kuingia tena bungeni kupitia viti maalumu, anawanyima nafasi wengine kujipatia uzoefu. Tunahitaji kuwapa nafasi wakinamama na sio kurudi kama viti maalumu bali mmiliki wa jimbo,”
mtanzania Tuesday, May 5, 2020 11:37:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Rais Dk
)
:
“Lengo la Rais kupima sampuli za wanyama na matunda ni kukagua kipimo ambacho kinatumika kupima ugonjwa wa corona na sio wanyama na mimea imeathirika na ugonjwa huo, kuleni matunda kwani yanajenga afya ya mwili,”
mtanzania Tuesday, May 5, 2020 11:37:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kwanza niwape pole wananchi kwa mvua, niwakumbushe tu kwamba serikali ilishatoa maelekezo ya kuchukua tahadhari kwa wanaoishi maeneo hatarishi. Lakini pili athari za mvua ni kubwa, nawaagiza wakuu wa wilaya tano za mkoa kupitia upya sheria za mazingira na mito yake,”
habarileo Thursday, April 30, 2020 6:13:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“If there’s a homosexual who has a Facebook account or with an Instagram account, all those who ‘follow’ him, it is very clear that they are just as guilty as the homosexual,”
76crimes Friday, April 24, 2020 2:48:00 AM EAT
Paul Makonda alisisitiza
:
“Virusi hawa ni rahisi sana kuwapata, sasa ukate kitambaa, ukate kanga au ununue bila barakoa hakuna kutoka nyumbani kwako”
mtanzania Sunday, April 19, 2020 1:39:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Sitaki kuona tunafika hatua ya kupigana bakora kutokana na kupinga maambukizi ya Corona kila mtu atumie akili yake na ajue Corona sio ugonjwa wa kuchezea.”
mtanzania Sunday, April 19, 2020 1:39:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Anayekwenda eneo la manunuzi yotote lazima awe amevaa barakoa (mask), ununue, ukate leso, ukate kanga lazima uwe umevaa, pia kuanzia Jumatatu biashara zote zifanyike katika mfumo wa ‘take away’ ukienda sehemu nunua ondoka, lazima pia kuwe na hatua mita mbili kati ya muuzaji na mnunuzi,”
habarileo Sunday, April 19, 2020 8:40:00 AM EAT
Paul Makonda said
:
"From Monday, when one steps out of one's home to buy basic essentials, he or she must wear a mask and maintain the social distancing guideline as recommended by health officials,"
xinhuanet_en Saturday, April 18, 2020 5:20:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Marufuku wa mikoani kuja Dar es Salaam kutembea sijui mjomba au shangazibaki huko huko hali ya Dar es Salaam ni tete imebadilika. Acheni wakazi wa Dar wapambane na janga hili la corona wenyewe; na wa Dar sio mtoke kwenda mkoani, bakini hapa hapa tupambanemsipeleke huko kwa wengine,”
habarileo Friday, April 17, 2020 9:30:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Nimeamua kuja na mbinu mbadala ya kutenga hospitali na vituo vya afya 25 vya mkoa wa Dar es Salaam zitakazotumika kwa mtu yeyote mwenye dalili ya homa kali na mafua hasa yule anayehisi kuwa na virusi vya corona,”
mwananchi Thursday, April 16, 2020 12:16:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kila eneo utakalofika utakutana na wataalamu wetu waliofundishwa watakaokupokea na kukuhudumia na kukupima magonjwa mbalimbali. Pale wanapobaini hauna magonjwa yote hayo wao watakuwa na mamlaka ya kuwasiliana na maabara ya Taifa ili uchukuliwe sampuli na kupimwa kama umeathirika na corona,”
mwananchi Thursday, April 16, 2020 12:16:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Changamoto mojawapo ambayo imekuwa ikijitokeza ni baadhi ya watu wenye dalili za ugonjwa huu kupita katika vituo kadhaa vya kutolea huduma za afya na hivyo kuchangamana au kukutana na watu kabla ya kugundulika kuwa na ugonjwa. Hali hii inaweza kuchangia kuongezeka kwa wagonjwa kwa kasi kubwa,”
mwananchi Thursday, April 16, 2020 12:16:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
"This will help control spread of the virus by people who visit normal health center in the business capital to check their health status,"
xinhuanet_en Wednesday, April 15, 2020 6:34:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
"The 24 health centers are not for testing COVID-19 but they are designed to collect samples from people suspected to have been infected with the virus. The testing is done by the national health laboratory for testing,"
xinhuanet_en Wednesday, April 15, 2020 6:34:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Tunashukuru wafanyabiashara wazalendo wa ngazi zote kwa kuona jambo hili sio tu la serikali, bali la wote na tunaishukuru serikali chini ya Waziri Mkuu aliyeteuliwa na Rais John Magufuli kushughulikia jambo hili, tushirikiane kupambana na corona,”
habarileo Wednesday, April 8, 2020 7:42:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sisi kama mkoa tumejipanga kuhakikisha kwamba watu wote wanaokuja na ambao wapo wanakuwa na afya njema kwa ajili ya kujenga uchumi wa mkoa wetu na Taifa kwa ujumla. "Maelekezo ambayo ameyatoa mheshimiwa Waziri wa Afya ni maelekezo ambayo kila anayeingia kwenye mkoa huu kutoka nchi yoyote, Magufuli hoteli inamuhusu,”
mwananchi Sunday, April 5, 2020 8:36:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Lakini katika ajenda yangu ya kupita kuangalia barabara nilitaka sana kuzungumza na waandishi wa habari ambapo sikutengemea kama nitakutana na watu, nilitaka niongee na waandishi wa habari kwamba katika nchi yetu kuna tatizo linalozidi ukubwa wa tatizo lenyewe la ugonjwa wa corona”
mtanzania Sunday, April 5, 2020 2:53:00 PM EAT
Paul Makonda Alihoji
:
“Nenda sasa hivi hapa hospitali hakuna wagonjwa wengine? Tumesahau kama magonjwa mengine hayapo, malaria tumeisahau, tulikuwa na kipindupindu hapa watu wanakufa tumesahau watu kibao wanakufa hata hivi tunavyoongea kuna mtu anakata roho ni corona nayo hiyo?”
mtanzania Sunday, April 5, 2020 2:53:00 PM EAT
Paul Makonda alihoji
:
“Unaogopa hautoki ndani utakufa tu! acheni uvivu hatuwezi kuishi hivi ndio maana leo nikasema nawafuatilia na wakandarasi nikimkuta mkandarasi naye amepaki eti anasema corona wee! tumekulipa fedha sisi barabara ipite unapaki kwa sababu ya corona? mvua itakuja nyumba za watu zitaondoka, magari yataharibika corona ndio kitu gani jamani?,”
mtanzania Sunday, April 5, 2020 2:53:00 PM EAT
Paul Makonda alihoji
:
“We pita Ocen road, Muhimbili vituo vya afya kote kumejaa ni corona hiyo? Mbona magojwa mengine hatuogopi mbona ukimwi unakazana tu tuna magonjwa kibao Mungu amekupigania upo leo unaogopa corona?”
mtanzania Sunday, April 5, 2020 2:53:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Atakapokuja kuzindua msikiti azindue na barabara na wananchi mnatakiwa kulinda miundombinu kama maeneo ya barabara, hospitali na viwanja vya michezo”
mtanzania Sunday, April 5, 2020 2:53:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Haingii akili na siwezi kuelewa, sasa hivi imefika hatua wananchi wa Dar es Salaam wamejifungia ndani wakisubiri corona,” “Wanashindwa kutoka kwenda kufanya kazi, wanasubiri ugonjwa unaoitwa corona. Ugonjwa wenyewe ni virusi, wataalam wanasema hausambai kwa njia ya hewa, lakini tumeambiwa tukae ndani tujifungie kwa sababu nje kuna corona, tutakufa na njaa”
mwananchi Saturday, April 4, 2020 8:44:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sasa nikuulize swali hapo nyumbani hamkai karibu, hamuongei, ulichokuwa unafanya nyumbani huwezi kufanya ofisini? Tokeni mkafanye kazi acheni uvivu. Hatuwezi kujifungia pahala tukisubiri ugonjwa,”
mwananchi Saturday, April 4, 2020 8:44:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Huwezi kufunga duka lako linalokupatia kipato, kwa sababu ya corona. Umeambiwa corona ina njia ya kujikinga, kunawa mikono kwa maji yanayotiririka na kuhakikisha kutokaa karibu na mtu anayekohoa na kupiga chafya na mwenye homa kali,”
mwananchi Saturday, April 4, 2020 8:44:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Tuwasaidie wenzetu waweze kupata fedha ya kununua chakula na kuweka ndani chakula kwa kuwapunguzia majukumu kama kodi za nyumba, fremu na hoteli,”
mtanzania Thursday, April 2, 2020 1:44:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Tunachotakiwa kufanya hivi sasa ni kusaidia wafanyakazi kuwahi kazini na kufanya shughuli kwa wakati ili tuweze kuepukana na hali ngumu ya maisha,”
mtanzania Thursday, April 2, 2020 1:44:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Naomba Latra wakae na wamiliki wa magari na wakubaliane kubadilisha ruti ziwe fupi fupi kama Buruguni hadi Ubungo, hadi kesho (leo) saa 6 wasipobadilisha ruti saa saba mchana nitatangaza na kubadilisha ruti mimi mwenyewe,”
mtanzania Thursday, April 2, 2020 1:44:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Nimemuomba Jafo aingilie kati, ninafahamu yapo mabasi si chini ya 200 ya mwendokasi yameegeshwa pale Ubungo bandari kavu. Nafahamu kuna mgogoro lakini kwa hali tuliyo nayo sasa hivi, nimemuandikia barua kuyaruhusu magari yale yaingiea kwenye mfumo ili wakazi wa Kimara wasirundikane na kubanana,”
mwananchi Wednesday, April 1, 2020 4:26:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Nimeongea na wenye nyumba na kuwataka wapunguza kodi kwa asilimia 50 ili kusaidia kufanya biashara na kuangalia hali ya uchumi ilivyo kwa sasa kama mnavyofahamu corona imeathiri hali ya kifedha,”
mtanzania Wednesday, April 1, 2020 2:21:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tunachotakiwa kufanya hivi sasa ni kusaidia wafanyakazi kuwahi kazini na kufanya shughuli kwa wakati ili tuweze kuepukana na hali ngumu ya maisha,”
mtanzania Wednesday, April 1, 2020 2:21:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Abiria ni wachache sana wanaoingia, nadhani hata nyie mmejionea. Hakuna sababu ya kutangaza kufunga mipaka maana nchi zenyewe zimejiwekea zuio. Hivi karibu asilimia 95 ya ndege zote za kimataifa zitasitisha safari, ndio maana Rais Magufuli anasisitiza kama huna sababu maalumu ya kusafiri, usisafiri hata kama ni mkoa kwa mkoa,”
habarileo Wednesday, March 25, 2020 8:36:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tunafahamiana tabia zetu, ni kama vile ambavyo tungeambiwa Watanzania wote wakae ndani na uhakika kuna watu wangetoka nje kwenda kuchungulia nani ametoka, tungejikuta wote tupo mtaani, kwa hiyo kwasababu tunafahamiana tabia zetu tusingependa kuzitangaza zile hoteli,”
mwananchi Tuesday, March 24, 2020 2:31:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Waziri Mkuu
)
:
“Mwananchi hauna mamlaka ya kutangaza mtu mwenye corona … wenye mamlaka anayo Waziri wa Afya, Waziri Mkuu na Rais, hata mimi hamjanisikia nikitangaza kwenye mkoa wangu kuna wagonjwa wangapi?”
mtanzania Saturday, March 21, 2020 11:21:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Sio unamwona mtu hospitali unaanza kutangaza kuwa anaumwa corona magonjwa yapo mengi, corona haijasitisha magonjwa mengine mtu anaweza kwenda hospitali kwa magonjwa mengine”
mtanzania Saturday, March 21, 2020 11:21:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kwa upande wangu nimewasiliana na ndugu zetu wa China kupitia Balozi wamekubali kuleta vifaa vya kupimia Corona Dar es Salaam muda sio marefu vinakuja”
mtanzania Saturday, March 21, 2020 11:21:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mkoa wangu wa Dar es Salaam ndiyo unaongoza kwa wajuaji, niwaombe watu wote mnaofahamu mnajua vitu ambavyo hamvijui msilete ujuaji katika tatizo la corona, ujuaji mmoja wapo ni kutokufuata masharti na mimi nataka mkoa huu watu wote tuwe salama ili tupate nafasi,”
mwananchi Friday, March 20, 2020 3:27:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Baada ya siku tatu nitapita kila kona kukagua utekelezaji wa maelekezo haya muhimu dhidi ya ugonjwa wa corona,”
mtanzania Monday, March 16, 2020 2:30:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“I will petition the National Assembly to introduce a law that will see 40 per cent of salaries of men in formal employment deducted and credited to the bank accounts of their spouses who are housewives,”
ngrguardiannews Friday, March 13, 2020 6:03:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“I have received a lot of complaints from young women. Many women from Dar es Salaam region have been deceived many times, and they have had enough. Men have been promising to marry them, then later, they [men] ditch the ladies. This is something that is humiliating,”
ngrguardiannews Friday, March 13, 2020 6:03:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“I will petition the National Assembly to introduce a law that will see 40 per cent of salaries of men in formal employment deducted and credited to the bank accounts of their spouses who are housewives,”
guardian-ng Friday, March 13, 2020 5:32:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“I have received a lot of complaints from young women. Many women from Dar es Salaam region have been deceived many times, and they have had enough. Men have been promising to marry them, then later, they [men] ditch the ladies. This is something that is humiliating,”
guardian-ng Friday, March 13, 2020 5:32:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kiongezwe kipengele cha kutaka asilimia asilimia 40 ya mshahara wa mwanaume apatiwe mwanamke asiefanya kazi kwa ajili ya shughuli za familia ili kumsaidia kumjengea uwezo,”
mtanzania Tuesday, March 10, 2020 9:59:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Baada ya kamati niliyounda kusikiliza madai ya mirathi tulikuta tatizo ni kubwa, hivyo tuliandika taarifa tukamkabidhi Ummy Mwalimu pia tukaomba sheria ya mirathi itamke kuwa endapo baba atatangulia mbele ya haki basi mama awe ndio msimamizi wa mirathi,”
habarileo Monday, March 9, 2020 3:58:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Mkoa wetu lazima uendele kuwa kitovu cha biashara na naendelea kusisitiza tu ufungaji wa Kamera za ulinzi,”
mtanzania Wednesday, February 26, 2020 1:20:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Hata hili suala la kuwaunganisha kwenye vikundi vya uchumi naona kama linawagawa kwamba walemavu watafutane, wakae pamoja ndio wapewe mikopo. Nadhani pamoja na hilo, walemavu wachanganywe kwenye makundi,”
mtanzania Wednesday, February 26, 2020 1:20:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Hata hili suala la kuwaunganisha kwenye vikundi vya uchumi naona kama linawagawa kwamba walemavu watafutane, wakae pamoja ndio wapewe mikopo. Nadhani pamoja na hilo, walemavu wachanganywe kwenye makundi,”
mwananchi Tuesday, February 25, 2020 2:55:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mkoa wetu lazima uendelee kuwa kitovu cha biashara na naendelea kusisitiza tu ufungaji wa Kamera za ulinzi,”
mwananchi Tuesday, February 25, 2020 2:55:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kesho ondoka nisikuone mkoani mpaka utakapokuja na pesa za Makongo, mnakaa kusubiri majibu labda hawajaona barua, kaweke kambi mpaka upate hela,”
mtanzania Tuesday, February 25, 2020 9:38:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Kesho ondoka, nisikuone mkoani mpaka utakapokuja na pesa za Makongo, mnakaa kusubiri majibu labda hawajaona barua yenu kaweke kambi mpaka upate hela,"
mwananchi Monday, February 24, 2020 6:26:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Wangapi kati yenu mnatumia mitandao ya kijamii kupeana taarifa za hovyo, lakini linapokuja jambo la maendeleo, jambo linaolohusu nchi na maisha yenu, hamna mpango, cha kusikitisha jambo la kitaifa kama hili la vitambulisho vya taifa kuna watu wanatumia mitandao kufanya mzaha, badala ya kuhamasishana, tunafanya maisha yetu yote kama ya zimamoto,”
habarileo Tuesday, February 18, 2020 11:19:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Benjamin Mkapa
)
:
“Lakini wakati naomba nafasi ya makamu mwenyekiti wa vijana (UVCCM) Mkapa ndio aliyenipa nauli ya kwenda kuomba kura Dodoma. Kwa hiyo naimani ilikuwa sehemu ya huu mfuko, alikuwa na moyo,”
mwananchi Monday, February 17, 2020 11:25:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Wengi wamekuwa waaminifu kutumia kama maelekezo yalivyo, fedha hiyo imetumika kama mbegu na inatumika kuongeza chachu ya maendeleo kwa mtu mmoja, familia na Taifa,”
mwananchi Monday, February 17, 2020 11:25:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tunataka mchague viongozi mnaowataka kwa ajili ya maendeleo bora ya baadaye hivyo baada ya vipindi leo watakaopata nafasi waende kujiandikisha na wengine muende kesho au kesho kutwa,”
mwananchi Friday, February 14, 2020 9:45:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tumetembea huko duniani tumeona. Ukienda pale Manhattan, New York City upande wa pili utakuta kuna kisiwa cha Jersey, kuna mambo mazuri. Haka ndio ka kisiwa ketu kawe na hoteli nzuri za kitalii, fukwe nzuri. Mtu akitaka kwenda kula maisha anasema ni Kigamboni hapana sehemu nyingine,”
mwananchi Tuesday, February 11, 2020 2:19:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Uandikishaji huu unahusisha wale ambao wamefikisha miaka 18, lakini pia mtu labda ulihama mtaa au wilaya hakikisheni hampotezi haki yenu ya msingi,”
mwananchi Monday, February 10, 2020 1:01:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Nilitoa ahadi ya kutafuta fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya katika wilaya hii, nashukuru rais ametupatia Sh6 milioni na tunategemea ndani ya miezi mitatu majengo mapya matano yatakamilika, hivyo kuanzia Juni, 2020 tunatarajia kituo hiki cha afya kuanza kufanya kazi,"
mwananchi Wednesday, February 5, 2020 5:46:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Rais Magufuli alipotangaza kuongeza siku ishirini watu wakasimama kujiandikisha wakisubiri siku za mwisho ndipo wajitokeze, kwa taarifa tu hatutaongeza hata nukta ya kusajili simu itakapofika muda,”
mtanzania Tuesday, January 21, 2020 10:03:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kusajili laini yako mwenyewe mpaka tukuletee muziki, usalama wa simu yajo mpaka tukuitie wasanii, kuchagua kiongozi wajo wa serikali ya mtaa nayo mpaka ubembelezwe hii haiwezekani,”
mtanzania Tuesday, January 21, 2020 10:03:00 AM EAT
Paul Makonda alihoji
:
“Sikuja kutafuta kura kwenu mimi sio mwana siasa, kipindi kile cha uchaguzi tulidhani kuwa watu hawaoni umuhimu wa kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa, suala la kuchagua kiongozi wako mwenyewe mtaani mpaka tukubembeleze?,”
mtanzania Tuesday, January 21, 2020 10:03:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kuna watu wanaweza kutoa vitisho kwa Taifa kwa kutumia simu hizi lazima watambuliwe, hii ni kwa ajili ya usalama wako na fedha zako, familia yako na jamii kwa ujumla,”
mtanzania Tuesday, January 21, 2020 10:03:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Wangapi kati yenu mnatumia mitandao ya kijamii kupeana taarifa za hovyo, lakini linapokuja jambo la maendeleo, jambo linaolohusu nchi na maisha yenu, hamna mpango, cha kusikitisha jambo la kitaifa kama hili la vitambulisho vya taifa kuna watu wanatumia mitandao kufanya mzaha, badala ya kuhamasishana, tunafanya maisha yetu yote kama ya zimamoto,”
habarileo Tuesday, January 21, 2020 9:37:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Unaposubiri hadi ushurutishwe au utishwe maana yake hujui manufaa ya teknolojia katika maisha yako. Kwa tabia hii ndio maana Rais wetu anapata wakati mgumu kueleweka, tunatumia muda mwingi kufuatilia mambo yasiyotuhusu na sio kulinda usalama wa Taifa lako na maisha yako,”
mwananchi Sunday, January 19, 2020 6:28:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Kampuni zote za simu zitakuwepo. Simu ni yako na laini ya kwako na Tanzania ni Taifa lako, kwa nini usitumie fursa hii kukamilisha mchakato huu utakaolinda usalama wa mali zako na Taifa,”
mwananchi Sunday, January 19, 2020 2:56:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sasa tutajua mradi gani unasimamiwa na nani na umefikia wapi, kama umekwama nini kimekwamisha na uzembe uko wapi,”
mwananchi Wednesday, January 15, 2020 3:28:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Zawadi zitaendelea kwa wananchi na ndio maana nasema hiyo miradi 57 inakuja kwa ajili ya wakazi wa Dar es Salaam,”
mwananchi Wednesday, January 15, 2020 1:33:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Niwaombe watu wa Tehama (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano) wazidi kuwa wabunifu kuja na mifumo ya namna hii inayowezesha kukusanya taarifa na hata kufuatilia kwa njia ya mtandao,”
mwananchi Wednesday, January 15, 2020 1:33:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Lengo ni kumaliza changamoto kubwa tulizozoea kuziona hasa kwenye bonde hilo la Msimbazi lakini kubwa katika daraja hilo la Jangwani…sasa tunalinyanyua mita 300 na kila upande tunatengeneza maeneo ya kutalii na kujenga hoteli na pia tutaweka boti za utalii katika mto huo ili wanaopenda kuona mto huo kuelekea baharini wafanya utalii wao,”
jamiiforums Saturday, December 21, 2019 1:15:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Nitoe tahadhari kwa wanaoishi katika maeneo hatarishi kuondoka wenyewe katika maeneo hatarishi kwa kuwa mvua ndio kwanza zimeanza kwa mujibu wa utabiri wa hali ya hewa,”
mtanzania Thursday, December 19, 2019 1:48:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Jana(juzi) tumefanya kazi kubwa ya kuwasiliana na Mungu aachie nafasi jua liwake hivyo tutumie nafasi hiyo kwa kutafuta makazi salama na kuondoka mabondeni,”
mtanzania Thursday, December 19, 2019 1:48:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Tunaadhibiwa kwa kutokufuata taratibu za usafi wa mazingira na ujenzi hasa kujenga bondeni, kujaza vifusi bila kufuata taratibu husika na kusababisha wananchi wengine kukumbwa na mafuriko,”
mtanzania Thursday, December 19, 2019 1:48:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kuna watu wanatumia mvua hizo kuachilia maji ya chooni kwenda mitoni na baadhi ya wakazi kuchota maji ya mtoni kwa matumizi ya nyumbani, hatuna shida ya maji hivyo kwa Jiji la Dar es Salaam tuna zaidi ya lita milioni 504 ambayo ni salama hivyo tusijitafutie magonjwa ya mlipuko,”
mtanzania Thursday, December 19, 2019 1:48:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kuanzia leo(jana) saa tisa mchana tunatajia kufungua njia zilizokuwa zimefungwa kwa kushirikiana na Tanroads (Wakala wa Barabara) mkoa ambao wapo kazini kuhakikisha njia hizo zinapitika,”
mtanzania Thursday, December 19, 2019 1:48:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Ninatoa wito kwa wananchi kuacha kutupa taka au kuchimba mchanga kwenye mito. Haya ndiyo madhara yake na yanawaadhibu wenyewe. Ninatoa wito kwa mara nyingine, wananchi wanaoishi mabondeni wahame maeneo hayo, mvua hizi zipo na bado zinakuja nyingi,"
mwananchi Wednesday, December 18, 2019 3:50:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Inauma sana ninapoona baba au mama anashindwa kumudu gharama za matibabu ya mwanaye, tuwasaidie watoto hawa,"
mwananchi Friday, December 13, 2019 2:54:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Kwa hiyo tutatangaza gereji zilizo tayari kwa kazi hii pelekeni magari yenu ili safari iwe salama,"
mwananchi Thursday, December 5, 2019 4:47:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Mkawe sehemu ya suluhisho na msaada kwa wale akina Mama wajane na kwa watu ambao hawakupata fursa ya elimu, Mkoa huu ni mkoa wa wajanja, matapeli wamejaa hapa na ni mkoa ambao kila mtu ni mjuaji, msipokwenda kutumia busara na hekima mkategemea tu yale yameandikwa kwenye karatasi watu wengi wataumia"
jamiiforums Monday, November 25, 2019 9:05:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Msibaki kutumia nyaraka na makaratasi zinaweza kuwanyima haki watu nendeni mkatende haki, Dar es Salaam ni Jiji la wajanja watu wanaweza kukosa haki,"
mwananchi Saturday, November 23, 2019 2:13:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Gharama ya mradi ni Sh bilioni 200.7 na utakamilika Julai 22, mwakani,”
mtanzania Tuesday, November 19, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Ujenzi wa awamu ya pili ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT System) katika barabara za Kilwa, Bandari, Gerezani, Sokoine, Chang’ombe na Kawawa umeanza Machi mosi, mwaka huu na utakamilika Mei 5, 2022 kwa gharama ya Sh bilioni 234.250 ambapo mpaka sasa umefikia asilimia 10,”
mtanzania Tuesday, November 19, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Ujenzi wa Barabara ya Tegeta Kibaoni – Wazo Hill – Goba kwa kiwango cha lami (sehemu ya Goba hadi Madale kilomita 5.0), umekamilika kwa gharama ya Sh bilioni 10.241 ambapo ujenzi wa sehemu ya pili ya barabara hii kuanzia Madale mpaka Wazo (kilomita 6), umeanza Novemba mosi, mwaka huu na utakamilika baada ya miezi 18 kwa gharama ya Sh bilioni 9.946,”
mtanzania Tuesday, November 19, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Ujenzi wa barabara ya Banana – Kitunda – Kivule – Msongola sehemu ya Kitunda – Kivule (km 3.2), umeanza Oktoba mosi, mwaka huu na utakamilika baada ya miezi kumi na mbili kwa gharama ya Sh bilioni 5.900 ambapo mpaka sasa umefikia asilimia 5,”
mtanzania Tuesday, November 19, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Mradi huu utakapokamilika utagharimu kiasi cha Sh bilioni 457.3,”
mtanzania Tuesday, November 19, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Mpaka sasa ujenzi wa miundombinu ya barabara yenye urefu wa jumla ya kilomita 143 na ujenzi wa ofisi tatu, maabara tatu pamoja na vifaa vya maabara umeshakamilika,”
mtanzania Tuesday, November 19, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mimi ndio nilimshauri rais tuanze kwa kumwagilia miti maana watu wasingetuelewa kwamba maji haya yatumike kupikia,”
mwananchi Monday, November 18, 2019 2:18:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Kawafanya hata viongozi wa Serikali wanaotumia hirizi kumtaja Mungu kwanza. Mara nyingi ameweka wazi kuwa mambo yanavyokwenda kasi hata yeye mwenyewe anamshangaa Mungu,”
jamiiforums Monday, November 18, 2019 12:40:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Kawafanya hata viongozi wa Serikali wanaotumia hirizi kumtaja Mungu kwanza. Mara nyingi ameweka wazi kuwa mambo yanavyokwenda kasi hata yeye mwenyewe anamshangaa Mungu,”
mwananchi Monday, November 18, 2019 12:37:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Waziri Mkuu
)
:
“Mheshimiwa waziri Mkuu, naomba nikutaarifu kuwa Dar es Salaam ni mkoa wa burudani, ukichoka stress za Dodoma njoo Dar ule bata,”
mwananchi Friday, November 15, 2019 7:14:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
”Nitumie fursa hii kukukaribisha Desemba 8 pale uwanja wa Uhuru uje uwaone vijana wako wakifanya kazi kubwa ya kuwapa burudani Watanzania,”
mwananchi Friday, November 15, 2019 7:14:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Thursday, November 14, 2019 2:21:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“nimesema kweli aende polisi sina utani na watu wa aina hiyo”
mwananchi Thursday, November 14, 2019 2:21:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“brother ile Twitt sikumuandikia mtu yeyote zaidi ya Idris, nenda kaisome vizuri”
mwananchi Thursday, November 14, 2019 2:21:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Wednesday, November 13, 2019 6:33:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“nimesema kweli aende polisi sina utani na watu wa aina hiyo”
mwananchi Wednesday, November 13, 2019 6:33:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“brother ile Twitt sikumuandikia mtu yeyote zaidi ya Idris, nenda kaisome vizuri”
mwananchi Wednesday, November 13, 2019 6:33:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Mwakani nataka kugawa Dar es Salaam vipande vitatu kiburudani, nataka kipande kimoja Muziki Mnene, kipande cha pili Fiesta na kipande cha tatu Wasafi Festival harafu nione nani ni baba lao na tunampa tuzo mwaka 2020,”
mtanzania Monday, November 11, 2019 11:15:00 AM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Wednesday, November 6, 2019 4:43:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“nimesema kweli aende polisi sina utani na watu wa aina hiyo”
mwananchi Wednesday, November 6, 2019 4:43:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“brother ile Twitt sikumuandikia mtu yeyote zaidi ya Idris, nenda kaisome vizuri”
mwananchi Wednesday, November 6, 2019 4:43:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Namshukuru Diamond na timu yake, nilivyoenda kwenye kipindi nilimwambia nina watoto ninaowalea kama wewe, tofauti yenu wana matatizo ya moyo, muziki umekuwa sehemu ya kurejesha furaha ya watoto hawa,”
mtanzania Wednesday, November 6, 2019 3:15:00 PM EAT
Paul Makonda alisisitiza
(
about Charles Kimei
)
:
“Naendelea kupokea michango kupitia kamati ya kusaidia watoto inayoongozwa na Charles Kimei, makampuni mkipata barua kutoka kwa mwenyekiti wangu mtupe ushirikiano ili kusaidia kuokoa maisha ya watoto wenye uhitaji,”
mtanzania Wednesday, November 6, 2019 3:15:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about John Magufuli
)
:
“Rais wa Tanzania John Magufuli anayafanya haya yote kwa ajili ya manufaa ya Watanzania wote, sasa siyo nyie mtumie mitaro hii kutiririsha maji yenu ya chooni, haijatengenezwa kwa ajili ya kazi hiyo na wala siyo kwa ajili ya kutupa takataka, maji haya yote yataelekezwa moja kwa moja baharini,”
mwananchi Monday, November 4, 2019 7:26:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about John Magufuli
)
:
“Haya yote yanajengwa kwa jitihada za Rais wa Tanzania, John Magufuli anayetaka maendeleo amuunge mkono asiyetaka aache,”
mwananchi Monday, November 4, 2019 7:26:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Paul Makonda
)
:
“Watu hawana vifaa wameshafanya utapeli na Mradi ukawashinda katika Wilaya ya Temeke mnawapa tena mradi wa Kivule kitunda na nimefatilia ameshawai kufanya kazi na kufanya vibaya mkoani Kigoma na alifanya kwa kusuasua hivyo hivyo sitaki kabisa labda mkuu wa mkoa nisiwe Makonda,”
mtanzania Monday, November 4, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda alidai
:
“Wakandarasi mnaotoa kazi msitoe kazi kwa rushwa ili muweze kufatilia kazi za miradi inayoendelea ukitoa kazi kwa rushwa hautaweza kufatilia kazi zinazoendelea,”
mtanzania Monday, November 4, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Niseme tu kwa sasa hivi mkandarasi hatakiwi kulipwa pesa hadi tutakapoona kazi zake anazozifanya kwa kuwa wengi wao wanataka fedha hakuna wanachokifanya,”
mtanzania Monday, November 4, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda amehoji
:
“Tanroads (viongozi wa Wakala wa Barabara) huyu Nyanza Road Works aliharibu mradi wa ujenzi barabara Temeke lakini mmempa tena kufanya mradi huu, kuna nini kinachoendelea?”
habarileo Sunday, November 3, 2019 12:00:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mamlaka zinakula rushwa, haiwezekani mtu analalamikiwa lakini bado anapewa kazi. Siogopi kuongeza idadi ya wanaonichukia, Nyanza Road Works tumempa zaidi ya sh milioni 800 lakini mpaka sasa anasuasua, vifaa hana ujanja ujanja tu,”
habarileo Sunday, November 3, 2019 12:00:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Sunday, November 3, 2019 10:27:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mnapotoa hizi tenda mjiridhishe wengine ndio kama hawa ambao hadi leo kazi hazionekani, pia msiwape kazi kwa rushwa mtashindwa kusimamia miradi hii muhimu kwa wananchi,”
mwananchi Saturday, November 2, 2019 4:27:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Miradi yote inakwenda vizuri, shida ni huu wa Kivule yaani pamoja na kuwakamata lakini bado, huu wa mto Ng’ombe tutaendelea kufuatilia japo nimeridhishwa na utendaji wao,”
mwananchi Saturday, November 2, 2019 4:27:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Poleni sana wakazi wa Makongo Juu na watumiaji wa barabara hii, sio kama fedha hazikuwepo ila mlikosa kiongozi mwenye ushawishi na anayejenga hoja, "
mwananchi Friday, November 1, 2019 3:42:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Ubalozi huu ni rafiki wa Watanzania, umesaidia kusomesha watoto 100 wa kike, kusaidia kipindi cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufuturisha misikiti 800, umeleta madaktari 10 kusaidia upasuaji wa moyo kwa watoto Muhimbili na sasa unawalipia bima watoto hawa 500,”
habarileo Friday, November 1, 2019 2:24:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Friday, November 1, 2019 1:36:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“nimesema kweli aende polisi sina utani na watu wa aina hiyo”
mwananchi Friday, November 1, 2019 1:36:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“brother ile Twitt sikumuandikia mtu yeyote zaidi ya Idris, nenda kaisome vizuri”
mwananchi Friday, November 1, 2019 1:36:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Friday, November 1, 2019 12:47:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“nimesema kweli aende polisi sina utani na watu wa aina hiyo”
mwananchi Friday, November 1, 2019 12:47:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“brother ile Twitt sikumuandikia mtu yeyote zaidi ya Idris, nenda kaisome vizuri”
mwananchi Friday, November 1, 2019 12:47:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Thursday, October 31, 2019 9:10:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“nimesema kweli aende polisi sina utani na watu wa aina hiyo”
mwananchi Thursday, October 31, 2019 9:10:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“brother ile Twitt sikumuandikia mtu yeyote zaidi ya Idris, nenda kaisome vizuri”
mwananchi Thursday, October 31, 2019 9:10:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Paul Makonda
)
:
"Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,"
bbc-swahili Thursday, October 31, 2019 4:39:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Thursday, October 31, 2019 9:20:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Paul Makonda
)
:
"Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,"
bbc-swahili Thursday, October 31, 2019 6:06:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Novemba Mosi tutazindua ujenzi wa barabara hii utakaogharimu Sh8.9 bilioni. Yale mateso na kero walizokuwa wakipata zitakuwa historia kwa sababu tunakwenda kuanza ujenzi nawaomba wawe wavumilivu,”
mwananchi Wednesday, October 30, 2019 8:51:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Wednesday, October 30, 2019 4:32:00 PM EAT
Paul Makonda ameandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako hauijuwi, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mtanzania Wednesday, October 30, 2019 4:07:00 PM EAT
Paul Makonda ameandika
(
about Paul Makonda
)
:
"Naona mipaka ya kazi yako huijuwi. Nenda sasa hivi kituo chochote Cha polic uwambie Makonda kaniambie nije utakuta ujumbe wako. @idrissultan"
habarileo Wednesday, October 30, 2019 3:03:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Rais Magufuli anataka wananchi wapate huduma haraka iwezekanavyo na ametaka hospitali hii ijengwe kwa miezi mitatu, akaniuliza nani anaweza kufanya hivyo nikamwambia hakuna mwingine zaidi ya ya JKT na kunzia kesho kivumbi kitaanza kutimka,”
mwananchi Wednesday, October 30, 2019 11:43:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Meya wa Ubungo, mbunge wa Kibamba na Ubungo wameshindwa kabisa kuwasemea, niwasihi tu wakati mwingine tusiwaonee haya walafi na wanaonenepa kupitia kura zenu haiwezekani wao usiku na mchana wanahangaika twitter tu mpaka najiuliza walichaguliwa huko twitter,”
mwananchi Wednesday, October 30, 2019 11:43:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Lengo ni kumaliza changamoto kubwa tulizozoea kuziona hasa kwenye bonde hilo la Msimbazi lakini kubwa katika daraja hilo la Jangwani…sasa tunalinyanyua mita 300 na kila upande tunatengeneza maeneo ya kutalii na kujenga hoteli na pia tutaweka boti za utalii katika mto huo ili wanaopenda kuona mto huo kuelekea baharini wafanya utalii wao,”
jamiiforums Wednesday, October 30, 2019 8:57:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Lengo ni kumaliza changamoto kubwa tulizozoea kuziona hasa kwenye bonde hilo la Msimbazi lakini kubwa katika daraja hilo la Jangwanisasa tunalinyanyua mita 300 na kila upande tunatengeneza maeneo ya kutalii na kujenga hoteli na pia tutaweka boti za utalii katika mto huo ili wanaopenda kuona mto huo kuelekea baharini wafanya utalii wao,”
habarileo Tuesday, October 29, 2019 5:08:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Wilaya hii ni mpya inahitaji viongozi shupavu wa kuwaletea maendeleo, hiyo ni kazi ya viongozi wanaochaguliwa na wananchi”. “Kwa bahati mbaya Ubungo ilipata viongozi wanaojali matumbo yao tu. Hata leo hapa (eneo itakapojengwa hospitali) hawapo ila kesho watakuja na maneno matamu ili muwape kura,"
mwananchi Tuesday, October 29, 2019 4:12:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Nilikuwa nakimbia ubungo kwenda kuangalia eneo la ujenzi wa hospitali ya wilaya, tumepata fedha juzi kwa hiyo tunataka Jumatano ujenzi uanze,”
mwananchi Monday, October 28, 2019 9:48:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Wananchi wa Ubungo afya zao ziko matatani wabunge wao wameingi mitini, hivyo ombi langu kwako mheshimiwa Rais ninaomba unisaidie Sh bilioni 1.5 niwajengee hospitali ya Wilaya,”
mtanzania Sunday, October 27, 2019 11:27:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Boniface Jacob
)
:
“Wilaya ya Ubungo ina wabunge wawili na meya wa upinzani (Boniface Jacob). Hawawezi kuja kwenye shughuli yoyote ya maendeleo, wangeweza kufika hata kwenye shughuli ya leo wakawa sauti ya wananchi lakini hawawezi,”
mwananchi Saturday, October 26, 2019 3:37:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Wabunge wao hawajawahi kutoa hata shilingi, hawajawahi kumbana waziri, kujenga hoja kwenye manispaa ili wawe na bajeti ya kujenga hospitali ya wilaya. Wananchi wa Ubungo afya zao zipo matatani wabunge wao wameingia mitini. Naomba unisaidie Sh1.5 bilioni niwajengee hospitali ya wilaya,”
mwananchi Saturday, October 26, 2019 3:37:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tumewapa dhamana ili wakafanye kazi. Tunataka kazi ifanyike, wenyewe wametuhakikishia kuwa wataongeza vifaa na ajira ili kazi ikamilike ndani ya miezi 10 badala ya 18 waliyopanga awali,”
jamiiforums Friday, October 25, 2019 5:15:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tumewapa dhamana ili wakafanye kazi. Tunataka kazi ifanyike, wenyewe wametuhakikishia kuwa wataongeza vifaa na ajira ili kazi ikamilike ndani ya miezi 10 badala ya 18 waliyopanga awali,”
mwananchi Friday, October 25, 2019 4:18:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Ninawapa siku tano wakandarasi wote wenye miradi inayosuasua mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha wako ‘site’ na wanaendelea na kazi, kwa sababu tumebaini baadhi yao walidanganya kwenye makaratasi waliandika wana uwezo na ni daraja la kwana ila ukweli hawana uwezo huo na fedha pia hawana, nitashughulika nao hata kama zabuni hazikutolewa na ofisi ya mkoa,”
habarileo Wednesday, October 23, 2019 9:33:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Tumebaini kuwa baadhi ya wakandarasi wamedanganya na hili limefanyika kwa ushirikiano na baadhi ya bodi za zabuni ambazo wamepokea rushwa na kutoa zabuni kwa wakandarasi wanaofahamu wazi kuwa hawana uwezo wa kutekeleza kazi husika, na mimi nasema nitawafukuza na sitasita kuvunja mikataba yao,”
habarileo Wednesday, October 23, 2019 9:33:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Kuongoza darasa la saba inatupa taswira ya kuongoza kidato cha nne na hata cha sita, Mkoa wetu una uwezo huo na hata hiyo mikoa mingine inayoongoza kwa ngazi zinazofuatia, ukifuatilia hao wanafunzi wametoka Dar es Salaam,”
mwananchi Wednesday, October 16, 2019 2:31:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Watoa huduma za afya wanafanya kazi kubwa kila siku, wanawake wanajifungua salama, wagonjwa wanahudumiwa na wanafanya kazi bila kuchoka tuna kila sababu ya kuwapongeza,”
mwananchi Wednesday, October 16, 2019 2:31:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Kuna kero mtaani sasa ni uamuzi wako kujiandikisha ili umpate mwenyekiti wa mtaa atakayeungana na rais kukamilisha safu itakayopinga rushwa, isiyokuwa na ujanja ujanja na itakayoleta maendeleo,”
mwananchi Monday, October 14, 2019 12:31:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Ndugu zangu wenye klabu, bar na sehemu zote za Starehe naomba wahamasisheni watu wenu kwenye maeneo yenu kuhakikisha wamejiandikisha na kesho miongoni kwa maeneo nitakayoyatembelea ni pamoja na baa ni matumaini yangu nikifika baa nitakukuta ukiwa tayari umejiandikisha,”
mtanzania Monday, October 14, 2019 10:29:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Ndugu zangu wenye vilabu, baa na sehemu zote za starehe naomba wahamasisheni watu wenu kwenye maeneo yenu kuhakikisha wamejiandikisha. Kesho miongoni kwa maeneo nitakayoyatembelea ni pamoja na baa, ni matumaini yangu nikifika eneo hili nitakukuta umejiandikisha,”
mwananchi Sunday, October 13, 2019 5:35:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Kama jambo litahitaji ushahidi, utapigia simu kwenda ofisi husika kwa lengo la kutoa ushirikiano,"
mwananchi Wednesday, October 9, 2019 4:56:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Hili ndilo lango la kuingilia Dar es Salaam mradi huu ni ishara kuwa Rais Magufuli ameweka alama na ni utambulisho kuwa yupo anafanya kazi, ningependekeza iitwe jina lake,”
mwananchi Monday, October 7, 2019 11:37:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Desemba sio mbali tusitafutane ubaya na pia tunataka ubora wa jengo kazi zangu zote nataka zikabidhiwe mwezi huo,"
mwananchi Monday, October 7, 2019 2:34:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Fedha hizi natoa ili wasiendelee kuteseka, zitawasaidia kufanya maendeleo,”
mwananchi Saturday, October 5, 2019 8:58:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Naomba jambo moja, leo ni Oktoba 4 na ikifika Oktoba 10 kama mkandarasi hajaanza na mifereji hii ipo nahamasisha maandamano ya kata zote tano tunakuja huko ofisini kwenu. Mwambie bosi wako, katibu mkuu Tamisemi na waziri wa Tamisemi kwamba tunakuja na kata zote tano,”
mwananchi Friday, October 4, 2019 1:53:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
''Mimi ni meneja mkuu wa miradi ya mkoa wa DSM, hiki ni cheo kipya cha mwezi wa kumi na nimekipata baada ya kuona mambo hayaendi tunavyotegemea, ukibaki na cheo cha ukuu wa mkoa utabaki kupokea taarifa ofisini, lakini ukiwa meneja miradi, utatembelea mradi wako kuanzia unajengwa hadi unakamilika''
jamiiforums Wednesday, October 2, 2019 1:11:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Kabla ya Ijumaa muwe mmekaa kikao mjadili lengo la soko ilikuwa ghorofa tatu lakini hizi ni mbili na niliagiza vizimba visipungue sasa hivi watu wanalalamika vidogo,"
mwananchi Tuesday, October 1, 2019 3:13:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Nimepita hapa Kariakoo kwenye mwendokasi hali sio nzuri. Watembea kwa miguu wapo kwenye mwendokasi, wanaotumia magari wanatumia mwendokasi ambao sio barabara yao. Kwa hiyo wewe uliyepo hapa (Afande Swai) mwambie Afande Mwakyoma kabla sijaondoka hapa nikute kuna trafiki wanaokamata watu wanaotumia hiyo barabara kwa matumizi yao tofauti na makusudio,”
habarileo Tuesday, October 1, 2019 10:17:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Rais Magufuli
)
:
"Nawaomba mawaziri ambao wanataka kufanya ziara katika mkoa huu, tutekeleze miradi ambayo tumepewa maelekezo na Rais Magufuli alipofanya ziara na baada ya hapo waendelee kama walivyopanga,"
jamiiforums Tuesday, October 1, 2019 5:19:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
"Baraza la madiwani likae litenge fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara hii ya kuingia katika machinjio haya ya kisasa ili wafanyabishara wanaokuja wasikwame kwa sababu ya ubovu wa barabara,"
jamiiforums Tuesday, October 1, 2019 5:19:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Takwimu hizi zinazoonyesha ni kiasi gani watoto wanaelewa matumizi sahihi ya barabara na niwaombe watu wazima hasa waendesha bodaboda muendelee kuwasaidia ili wawe salama,”
mwananchi Monday, September 30, 2019 6:19:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Rais Magufuli
)
:
"Mawaziri wanivumilie kidogo, mwezi huu (wa Septemba) na wa 10 baada ya hapo waje kufanya ziara katika mkoa huu, nataka kila kitu kikae sawa”. “Nafuatilia maelekezo yaliyotolewa na Rais Magufuli na yale yaliyojiri katika mkutano wangu na watendaji wa mkoa huu,"
mwananchi Sunday, September 29, 2019 7:12:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Rais Magufuli
)
:
"Mawaziri wanivumilie kidogo, mwezi huu (wa Septemba) na wa 10 baada ya hapo waje kufanya ziara katika mkoa huu, nataka kila kitu kikae sawa”. “Nafuatilia maelekezo yaliyotolewa na Rais Magufuli na yale yaliyojiri katika mkutano wangu na watendaji wa mkoa huu,"
mwananchi Sunday, September 29, 2019 3:47:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Ninajua mnavyonihujumu na mnashirikiana na baadhi ya viongozi wenzangu ninaowafahamu. Na mimi nitaanza kuwachongea kuanzia sasa,”
mwananchi Thursday, September 26, 2019 4:49:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mie nimekuwa mkuu wa mkoa, sijawahi kuandika barua kumsema kiongozi yeyote, siyo mkuu wa wilaya, siyo mkurugenzi wala meya,”
mwananchi Wednesday, September 25, 2019 10:23:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sasa ninaanza kuwasema, kama mnavyopambana nyie kupitisha vimemo, mara ohh maelekezo yake hatumwelewi, mmepiga majungu muda mrefu sasa tutaanza kushughulikiana ili kila mmoja akae kwenye reli. Mie nawaita ofisini nawaambia jamani kwenye wilaya yako fanya hii nzuri,”
mwananchi Wednesday, September 25, 2019 10:23:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Ali Hapi
)
:
“Aliyekuwa ananielewa haraka ni (Ali) Hapi tu,”
mwananchi Wednesday, September 25, 2019 10:23:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Ukiangalia kwa ujumla ni kama miradi yote imekamilika kwa asilimia 75 hadi 80, wako wanaofanya vizuri lakini wengine ukienda field, hadi kufikia Mei mwakani miradi yote iwe imekamilika, " "Tujenge timu ya matokeo chanya, kila mmoja atambue upungufu aliyonayo katika nafasi yake, aibu tuliyoipata tusipate tena"
mwananchi Wednesday, September 25, 2019 6:48:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Waziri nikuombe tu kitu katika tamasha jingine wadada hawa wa Kinyarwanda uwalete wengi kuliko wakina kaka kwani wanafuatiliwa zaidi kuliko wanaume wao,"
mwananchi Sunday, September 22, 2019 6:03:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Ni rahisi mathalani benki zipo nyingi, tukitafuta kila benki ikatoa Sh20 milioni tu na tukaenda katika kampuni za magari ya malori 10 kila moja itoe Sh20 milioni, mategemeo yetu ni kwamba tukipata kampuni 50 na wananchi kile kipindi cha kwenda kuufunga mwaka 2019 kwenda kufurahia mwaka mpya… basi furahi na mtoto wa masikini aliyerejeshewa uhai wake kupitia wewe Mtanzania uliyeamua kutoa,”
mwananchi Wednesday, September 18, 2019 6:30:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mimi nakaa naye kunywa kahawa lakini huwa namweleza kuna uhitaji wa watoto yatima 500 wapate bima za afya, watoto wa kike 100 wanaosoma masomo ya sayansi kidato cha tano wapate ufadhili wa masomo ,”
mwananchi Wednesday, September 18, 2019 4:36:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Wiki hii nimepata Sh10 milioni kwa mchungaji Mwamposa wiki ijayo tutapata nafasi ya kuja na waumini wake ili ifikapo Oktoba watoto 10 wengine wafanyiwe upasuaji,”
mwananchi Wednesday, September 18, 2019 3:44:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sasa nikifikiria njaa iliyopo huko...naomba sana kila mmoja atimize wajibu wake, ukikwama sehemu waone mamlaka ya juu yako, sio unakaa tu,”
jamiiforums Tuesday, September 17, 2019 11:25:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Huu mkoa una mafisadi wengi hasa huko kwenye mabaraza ya madiwani. Wengi wa wagombea waliingia wakijua watapiga kama awamu nyingine, wakakuta hali ni ngumu kweli kweli,”
jamiiforums Tuesday, September 17, 2019 11:25:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sasa nikifikiria njaa iliyopo huko...naomba sana kila mmoja atimize wajibu wake, ukikwama sehemu waone mamlaka ya juu yako, sio unakaa tu,”
jamiiforums Tuesday, September 17, 2019 11:25:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Huu mkoa una mafisadi wengi hasa huko kwenye mabaraza ya madiwani. Wengi wa wagombea waliingia wakijua watapiga kama awamu nyingine, wakakuta hali ni ngumu kweli kweli,”
jamiiforums Tuesday, September 17, 2019 11:25:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sasa nikifikiria njaa iliyopo huko...naomba sana kila mmoja atimize wajibu wake, ukikwama sehemu waone mamlaka ya juu yako, sio unakaa tu,”
mwananchi Tuesday, September 17, 2019 5:27:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Huu mkoa una mafisadi wengi hasa huko kwenye mabaraza ya madiwani. Wengi wa wagombea waliingia wakijua watapiga kama awamu nyingine, wakakuta hali ni ngumu kweli kweli,”
mwananchi Tuesday, September 17, 2019 5:27:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Watendaji wa halmashauri watatakiwa kutoa ripoti kwenye kamati hiyo kila baada ya wiki mbili, mara mbili kwa mwezi. Hatuwezi kuwa tunacheleweshwa na wanasiasa kwenye halmashauri zetu,"
mwananchi Tuesday, September 17, 2019 1:38:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Jana ilikuwa ni aibu, yaani kwa sababu njaa ni kali kama sio njaa leo ilitakiwa niandike barua ya ku-resign. Sasa nikifikiria njaa iliyopo huko. Naomba sana kila mmoja atimize wajibu wake, ukikwama sehemu waone mamlaka ya juu yako sio unakaa tu,"
mwananchi Tuesday, September 17, 2019 1:38:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Huu mkoa una mafisadi wengi hasa huko kwenye mabaraza ya madiwani. Wengi wa wagombea waliingia wakijua watapiga kama awamu nyingine, wakakuta hali ni ngumu kweli,"
mwananchi Tuesday, September 17, 2019 1:38:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Wanawake wakati wa kutembea kifua mbele umefika, kama mlimbeba mtoto miezi tisa hakuna jambo litakalokushinda. Wanaume mjipange, siwezi kukaa kimya kwa ajili ya mama,”
mwananchi Sunday, September 8, 2019 6:42:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Wasichana wa kazi wanateseka, wanapewa mimba na mabosi zao na kufukuzwa wakiambiwa wataharibu ndoa. Kama unajijua una ndoa jisitiri na ndoa yako unahangaika ili iweje. Hadi niondoke kwenye huu mkoa kuna watu mtakuwa mmenyooka,”
mwananchi Sunday, September 8, 2019 6:42:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mtumishi wa Mungu yeyote akitaka kwenda klabu ruksa. Sasa nimuone huyo mwenye klabu akatae mimi si ndio mkuu wa mkoa. Kuanzia wiki ijayo mkitaka kwenda klabu yoyote mniambie kapigeni kwa nusu saa,”
mwananchi Sunday, September 8, 2019 4:47:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mtumishi wa Mungu yeyote akitaka kwenda klabu ruksa. Sasa nimuone huyo mwenye klabu akatae mimi si ndio mkuu wa mkoa. Kuanzia wiki ijayo mkitaka kwenda klabu yoyote mniambie kapigeni kwa nusu saa,”
jamiiforums Sunday, September 8, 2019 3:57:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Bashiru Ally
)
:
"Nataka mnisikilize na mnielewe, ninakubali kuonywa, kukaripiwa na kuelekezwa na viongozi wangu akiwemo Dk Bashiru,"
mwananchi Sunday, September 1, 2019 8:00:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“You can’t expect someone to give you Sh100,000, when you give him Sh3,000; this should act as a wake-up call to my fellow citizens,”
theCitizen Sunday, September 1, 2019 12:31:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Sheria za kiserikali za mirathi ya mwaka 1865 na sheria ya mirathi ya kimila ni za muda mrefu na haziendani na mabadiliko ya maisha ya sasa na zimekuwa changamoto kwa wajane na wagane wengi,”
mtanzania Thursday, August 29, 2019 12:55:00 PM EAT
Paul Makonda alieleza
:
“Ukiangalia sheria ya sasa ya probate and administration of estate sura 352 kama ilivyopitiwa mwaka 2002, kifungu cha 33 kinaonyesha wazi ni pale tu mwanaume anapofariki ndio mke anapoenda kuomba usimamizi wa mirathi,”
mtanzania Thursday, August 29, 2019 12:55:00 PM EAT
Paul Makonda alieleza
:
“Sheria ya mirathi ya mwaka 1865 iliyorithiwa kutoka India imetamka kuwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa haruhusiwi kurithi, sheria hii inapingana na ile ya mtoto ya 2009 katika kifungu cha 10 ambacho kimeweka haki ya mtoto kutokubaguliwa kurithi mali za baba yake,”
mtanzania Thursday, August 29, 2019 12:55:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mapendekezo tunayopeleka kwenye sheria hiyo tunataka mke awe sehemu ya msimamizi wa mali za marehemu mumewe hadi pale mahakama itakapotoa uamuzi kuhusu mirathi,”
mwananchi Wednesday, August 28, 2019 4:03:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
”Kuomba msaada au kulalamikia gharama za matibabu hakuwezi kuwepo kama una bima ya afya, huu ni msaada mkubwa sana,”
mwananchi Tuesday, August 27, 2019 2:02:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Niwashukuru wananchi wa Mkoa huu wameonyesha ushirikiano mzuri katika kipindi hiki cha mkutano wa Sadc. Tuendeleze usafi sio tena wageni wanarudi wanakuta mazingira yamebadilika tutaaibika,”
mwananchi Tuesday, August 20, 2019 3:34:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“Women from Dar es Salaam region have been deceived many times and they have had enough,” “These charming men have been promising to marry them, then ditch the women after using them”
thetimes Monday, August 19, 2019 2:50:00 AM EAT
Paul Makonda told
:
"We can see from our women, they are suffering a lot,"
voanews Sunday, August 18, 2019 5:45:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“Many women from Dar es Salaam region have been deceived many times and they have had enough,”
thegrio Friday, August 16, 2019 10:30:00 PM EAT
Paul Makonda added
:
“These cunning men have left many women nursing heartbreaks and emotional bruises,” “You’ll find a young man successfully wooing a woman, making her leave every other thing that she does and follows you, hoping that the man will marry her only to realize he is just using her”
thegrio Friday, August 16, 2019 10:30:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“We are planning to meet the State agency in charge of the citizens’ database. Once that meeting is done, you, who lied to a woman that you will marry her, but ended up using and dumping her, be prepared, we are coming for you,”
jamiiforums Friday, August 16, 2019 1:13:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
"Our main aim is to relieve pain from these women who are suffering from these cheaters -- As a governor, I am not happy to lead women who are sad and heartbroken,"
foxnews Friday, August 16, 2019 5:39:00 AM EAT
Paul Makonda said
:
"I have received a lot of complaints from young women. Many women from Dar es Salaam region have been deceived many times, and they have had enough,"
foxnews Friday, August 16, 2019 5:39:00 AM EAT
Paul Makonda added
:
"These cunning men have left many women nursing heartbreaks and emotional bruises," "You'll find a young man successfully wooing a woman, making her leave every other thing that she does and follows you, hoping that the man will marry her only to realize he is just using her"
foxnews Friday, August 16, 2019 5:39:00 AM EAT
Paul Makonda explicou
:
“Se for possível, vamos criar uma base de dados para cada região sobre todos os homens que prometem o casamento a uma mulher. Isto ficaria registado na base de dados, o que permite às mulheres confirmarem se o homem que está a pedi-las em casamento é casado”
portalangop Wednesday, August 14, 2019 8:45:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“Our main aim is to relieve pain from these women who are suffering from these cheaters – as a governor, I am not happy to lead women who are sad and heartbroken,”
clubofmozambique Wednesday, August 14, 2019 12:33:00 PM EAT
Paul Makonda expliqué
:
"Notre but principal est de soulager la douleur de ces femmes qui souffrent de ces tricheurs qui leur promettent le mariage"
cameroun24 Wednesday, August 14, 2019 12:31:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“I have received several complaints from young women. Many women from Dar-es-Salaam Region have been deceived many times and they have had enough. These charming men have been promising to marry them, then ditch the women after using them. This is something that is humiliating,” “These cunning men have left many women nursing heartbreaks and emotional bruises. You’ll find a young man successfully wooing a woman, making her leave every other thing that she does and follows you, hoping that the man will marry her only to realize he is just using her”
theCitizen Wednesday, August 14, 2019 12:17:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
"If possible we will set up a database in the regional commissioner's office in each region that every man who promises a woman marriage, this should be registered in the database which will allow women to check to see whether the person asking is married ...,"
news4jax Wednesday, August 14, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda said
:
“This is something that is humiliating,”
kenyan-post Wednesday, August 14, 2019 9:32:00 AM EAT
Paul Makonda said
:
"Many women have been deceived by married men. The men have been promising to marry them, then later ditch them. This is something that is humiliating," "If you look at the laws that we have in the country, there is a clause that protects women who were promised marriages, only to be used and dumped. We want to use that clause to bring sanity in relationships"
thestarkenya Wednesday, August 14, 2019 8:46:00 AM EAT
Paul Makonda said
:
“We are planning to meet the State agency in charge of the citizens’ database. Once that meeting is done, you, who lied to a woman that you will marry her, but ended up using and dumping her, be prepared, we are coming for you,”
maravipost Wednesday, August 14, 2019 7:41:00 AM EAT
Paul Makonda expliqué
:
“Notre but principal est de soulager la douleur de ces femmes qui souffrent de ces tricheurs qui leur promettent le mariage”
mali-web Wednesday, August 14, 2019 5:44:00 AM EAT
Paul Makonda expliqué
:
"Notre but principal est de soulager la douleur de ces femmes qui souffrent de ces tricheurs qui leur promettent le mariage"
bbc-french-africa Tuesday, August 13, 2019 6:21:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Kanzidata hii itawasaidia wanawake wasitapeliwe, mtu akitaka kukuoa utaenda mtandaoni na kuangalia taarifa zake, utabaini kama ameoa au la na vilevile itawasaidia hata wanawake ambao wameolewa ili kuzuia waume zao wasioe kwa siri, na kuwadanganya wengine,”
mtanzania Tuesday, August 13, 2019 9:44:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
''Tunaompango mzuri tu wa kukutana na wadada walioumizwa, huwezi kuwa kiongozi afu unaongoza watu walioumizwa na kutapeliwa na vijana ambao wanaona raha tu, tunataka tufikie hatua mtu akioa anaandika kwenye database ya mkoa, ili mwanamke akitaka kuolewa anaangalia huyu jamaa kaoa au hajaoa''
bbc-swahili Monday, August 12, 2019 5:05:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Inawezekana ukaona ni jambo la kawaida kwa sababu hujawahi kuumizwa katika mahusiano lakini walioumizwa wanajua mateso waliyokuwanayo na ndio maana hata akija kazini ana hasira tu kumbe kuna mtu ameshamuumiza, inapunguza hata performance ya utendaji wake wa kazi”
habarileo Monday, August 12, 2019 4:46:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Eneo hili lilikuwa lichukuliwe na mtu binafsi lakini limerudi kwa wananchi kwa ajili ya kulifanya kuwa eneo zuri la kupumzikia watu wote,"
mwananchi Friday, August 9, 2019 4:13:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Awali kulikuwa na changamoto za kesi na kupelekea kutotekelezwa kwa mradi huu lakini zilishamalizika na fedha ipo,”
mwananchi Friday, August 9, 2019 4:13:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Kwa kipindi hiki tuvumiliane, kama hufui nguo, kama huogi, pumzika kidogo kuja mjini,"
jamiiforums Monday, July 29, 2019 2:04:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Mtu mwenye gari akitupa takataka msimtoze faini, mshusheni kwenye gari, mpeni kipande cha kilomita moja cha barabara apige deki. Hawa watu fedha kwao siyo tatizo, sasa tunataka kuwaonyesha kwamba na sisi tuko serious na usafi wa jiji letu,"
jamiiforums Monday, July 29, 2019 2:04:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Kwa kipindi hiki tuvumiliane, kama hufui nguo, kama huogi, pumzika kidogo kuja mjini,"
jamiiforums Monday, July 29, 2019 2:04:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Mtu mwenye gari akitupa takataka msimtoze faini, mshusheni kwenye gari, mpeni kipande cha kilomita moja cha barabara apige deki. Hawa watu fedha kwao siyo tatizo, sasa tunataka kuwaonyesha kwamba na sisi tuko serious na usafi wa jiji letu,"
jamiiforums Monday, July 29, 2019 2:04:00 PM EAT
Paul Makonda amenukuliwa
:
"Tabia ya kuja mjini bila kunyoosha nguo ni marufuku. Tabia ya kuja mjini hujaoga ni aibu. Watu wanatembea tu na chawa, kama huwezi kuwa msafi basi subiri mwezi huu upite,"
bbc-swahili Monday, July 29, 2019 1:14:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Kwa kipindi hiki tuvumiliane, kama hufui nguo, kama huogi, pumzika kidogo kuja mjini,"
mwananchi Monday, July 29, 2019 12:41:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Mtu mwenye gari akitupa takataka msimtoze faini, mshusheni kwenye gari, mpeni kipande cha kilomita moja cha barabara apige deki. Hawa watu fedha kwao siyo tatizo, sasa tunataka kuwaonyesha kwamba na sisi tuko serious na usafi wa jiji letu,"
mwananchi Monday, July 29, 2019 12:41:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Kama tunavyojuwa Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa wakuu wa nchi za SADC ambao wataingia nchini mwezi ujao wakiambatana na wafanyabiashara ambapo pia ninaamini watapata nafasi ya kutembelea soko hili”
mtanzania Wednesday, July 17, 2019 7:21:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Soko lipo manunuzi yote yafanyike kwenye hapo na litumike kuwakutanisha wafanyabiashara na wanunuzi wote, mtu akinunua madini mtaani asitusumbue na kuongeza kesi vituo vya polisi,”
mwananchi Wednesday, July 17, 2019 2:38:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Taifa Stars
)
:
“Hongereni sana Taifa Stars mmeitangaza nchi iwe kwa kufungwa au kutoka raundi ya kwanza. Kupitia nyie watu wameijua Tanzania,”
habarileo Wednesday, July 3, 2019 10:17:00 AM EAT
Paul Makonda amejibu
(
about Paul Makonda
)
:
“Paul Makonda arudi tu. Maana yeye kukaa Misri haisaidii kitu,”
jamiiforums Saturday, June 29, 2019 12:14:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Mheshimiwa Rais, kama itakupendeza ninaomba unipe ruhusa niende Misri kuwapa hamasa vijana wetu, nina uhakika watashinda mechi ijayo dhidi ya ndugu zetu Kenya. Vijana wetu wana ari kubwa ya ushindi, hata leo asubuhi nimeongea na nahodha Mbwana Samatta, amenihakikishia wapo vizuri na watashinda mechi ijayo,”
jamiiforums Wednesday, June 26, 2019 7:48:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
"Sisi Afrika Mashariki tunajuana vizuri kwahiyo Mhesimiwa Rais wala usiwe na wasiwasi tutafanya vizuri katika mchezo huu ambao tunahitaji ushindi na wachezaji wapo vizuri,"
mwananchi Tuesday, June 25, 2019 9:07:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Taifa Stars
)
:
"Nimeumizwa na matokeo ya Taifa Stars, lakini nimeumizwa zaidi kwa watu kuwabeza wachezaji wetu ambao wametubeba watanzania ambao ndani ya miaka 30, haikuwezekana lakini wao wamepambana mpaka tupo Afcon leo hii,"
mwananchi Tuesday, June 25, 2019 9:07:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Afrika Mashariki
)
:
"Sisi Afrika Mashariki tunajuana vizuri kwahiyo Mhesimiwa Rais wala usiwe na wasiwasi tutafanya vizuri katika mchezo huu ambao tunahitaji ushindi na wachezaji wapo vizuri,"
mwananchi Tuesday, June 25, 2019 9:07:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“The players’ morale is in top shape and they are ready to do their best in the encounters against Kenya and Algeria. I give assurance that the team will win the match,”
theCitizen Tuesday, June 25, 2019 5:25:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Nitumie fursa hii kuwaomba wananchi wa Dar es Salaam kuwa tuhakikishe shamrashamra zetu, tumekubaliana Simba na Yanga tunaacha tofauti zetu na tunajipanga uwanja wa ndege hadi Magogoni (Ikulu) kuwaonyesha hao marais wanaokuja kuwa wewe ndiyo mfalme wa taifa letu la Tanzania,”
mwananchi Tuesday, June 25, 2019 4:55:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Nikamuambia walimu wa Dar es Salaam hawawezi kukaa chini hapa, sasa tumeshawapa ofisi wanakaa vizuri na Mstahiki Meya (Mwita) anajiandaa kiukweli kurudi kule kunakostahili,”
mwananchi Tuesday, June 25, 2019 4:55:00 PM EAT
Paul Makonda amesisitiza
(
about John Magufuli
)
:
"Hakuna taarifa yoyote iliyotoka katika ofisi yangu wala mamlaka ya kitaifa kwa maana ya mheshimiwa Rais (John Magufuli). Ni hakika na bayana ya kwamba jiji letu lipo shwari,"
bbc-swahili Thursday, June 20, 2019 9:21:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Nawaomba wakazi wote wa Jiji la Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi ili kumpokea kiongozi huyu ambaye ameonesha mapenzi mema kwetu na kukubali kuja nchini kipindi kifupi tu tangu amechaguliwa kuliongoza taifa la DRC,”
habarileo Thursday, June 13, 2019 10:47:00 AM EAT
Paul Makonda said
:
“We must support the team while in the competition. It is our team and all Tanzanians must support it. I call all soccer fans in Dar es Salaam Region as well as the rest of the country to support the team,”
theCitizen Wednesday, June 12, 2019 6:18:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mimi kama nimejenga majengo basi na wao wahangaike kuleta madawati lakini wakisubiri uchaguzi (wa 2020) mimi nikiwepo wahesabu maumivu,”
jamiiforums Sunday, June 9, 2019 2:47:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Wako wabunge wanaojiona wa kimataifa hawahangaiki na kero za wananchi wala hawataki kufanya ziara wanasubiri wakapige kelele bungeni na kujirekodi,”
jamiiforums Sunday, June 9, 2019 2:47:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Mimi kama nimejenga majengo basi na wao wahangaike kuleta madawati lakini wakisubiri uchaguzi (wa 2020) mimi nikiwepo wahesabu maumivu,”
jamiiforums Sunday, June 9, 2019 2:47:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Wako wabunge wanaojiona wa kimataifa hawahangaiki na kero za wananchi wala hawataki kufanya ziara wanasubiri wakapige kelele bungeni na kujirekodi,”
jamiiforums Sunday, June 9, 2019 2:47:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Jiji linahitaji kuendelea kuwa safi, barabara inayotoka uwanja wa ndege itaboreshwa ifanane na ya kimataifa,”
habarileo Saturday, June 8, 2019 2:57:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Mara zote kunapokuwa na ugeni kama huo ni vyema wakazi wakachangamkia fursa mbalimbali zinazoweza kujitokeza, maana ni ugeni mkubwa ambao unaweza kuleta chachu ya kuongeza uchumi au kipato kwa wananchi,”
habarileo Saturday, June 8, 2019 2:57:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tafsiri yake ni kwamba watu wengi walioko Dar es Salaam, hawana vitambulisho. Ndugu za wamachinga hakuna sababu ya kufoji na kukodi hakikisha unatii sheria bila shuruti, ukifanya biashara kwa kitambulisho chake utaheshimika,”
jamiiforums Tuesday, June 4, 2019 7:58:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Tafsiri yake ni kwamba watu wengi walioko Dar es Salaam, hawana vitambulisho. Ndugu za wamachinga hakuna sababu ya kufoji na kukodi hakikisha unatii sheria bila shuruti, ukifanya biashara kwa kitambulisho chake utaheshimika,”
mwananchi Tuesday, June 4, 2019 5:56:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Mchango wa Samatta katika Taifa hili kila mtu anautambua, hivyo nasi kama mkoa tumeona moja ya barabara kubwa zenye lami na taa itaitwa jina la Samatta,”
habarileo Tuesday, June 4, 2019 12:41:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Hadi Jumatatu yeyote atakayekutwa hana kitambulisho hataruhusiwa kufanya biashara na hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake,”
mwananchi Wednesday, May 29, 2019 1:51:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Makamu wa Rais hautapata shida ndani ya mkoa huu. Tutakwenda kutekeleza agizo lako vizuri, athari zenyewe zinajulikana, kwa hiyo hakutakuwa na ugumu kwenye mchakato huu,”
mwananchi Tuesday, May 28, 2019 11:24:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Tutakwenda kutekeleza maagizo yako vizuri, jambo zuri ni kwamba athari za mifuko hii zinajulikana. Kampeni hii ni tofauti na ile ya kupambana na dawa za kulevya ambayo ilikuwa na ugumu wake”. “Wakazi wa Dar es Salaam ni waelewa na wameshaanza kuchukua Makamu wa Rais hutopata shida ndani ya mkoa huu,"
mwananchi Monday, May 27, 2019 3:59:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Napenda kutoa shukrani zangu kwa uongozi wa dini kwa kuwa wasimamizi wazuri wa Amani na mshikamano ndani ya mkoa huu jambo linalofanya mkoa kuendelea kuwa kisima cha Amani”
mtanzania Monday, May 20, 2019 6:57:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
”Lengo iwe ni mwisho wa changamoto kubwa tulizozoea kuziona. Design (mchoro) inayoandaliwa ni ya kuhimili hayo maji ili yaende baharini,”
mwananchi Wednesday, May 15, 2019 10:31:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Reginald Mengi
)
:
“Mimi niombe radhi kwa tafsiri hiyo kwa sababu nimemsifia mchaga katikati ya wachanga siyo mchaga katikati ya kabila lingine, mapokeo na nitaendelea kumuenzi mzee Mengi kwa mema yote aliyoyafanya kwa walemavu hasa katika mkoa wetu yatabaki kuwa alama,”
jamiiforums Saturday, May 11, 2019 11:08:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Nahisi tafsiri inaweza kuwa tatizo naomba radhi kwa kumsifia mchaga katikati ya wachaga na si mchaga kati ya wengine na nitaendelea kumshukuru kwa yote aliyoyafanya katika mkoa wetu hususani kusaidia walemavu,”
mtanzania Thursday, May 9, 2019 6:19:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Reginald Mengi
)
:
“Mimi niombe radhi kwa tafsiri hiyo kwa sababu nimemsifia mchaga katikati ya wachanga siyo mchaga katikati ya kabila lingine, mapokeo na nitaendelea kumuenzi mzee Mengi kwa mema yote aliyoyafanya kwa walemavu hasa katika mkoa wetu yatabaki kuwa alama,”
mwananchi Thursday, May 9, 2019 5:17:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Reginald Mengi
)
:
“Sikuwahi kutegemea hata siku moja kuona mchaga anampa fedha yatima au mlemavu, si jambo rahisi. Naitaendelea kufanya jambo jema la kuwashika mkono watu wenye ulemavu kama alivyofanya Mengi,”
mtanzania Wednesday, May 8, 2019 11:20:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Reginald Mengi
)
:
“Mengi ni mzee wetu alikuwa na roho nzuri na pia alishiriki katika maendeleo ya Dar es Salaam kwa kutoa ajira kwa watu wengi kupitia kampuni zake, wakazi wa Dar es Salaam naomba tumpe heshima yake kama alivyotuheshimu kwa kujitokeza kumsindikiza katika safari yake ya mwisho,”
mtanzania Saturday, May 4, 2019 9:49:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Wenye sifa ndani ya mwezi huu lazima wawe wamepandishwa madaraja. Kwa hiyo Ras na timu yako mjipange kutimiza takwa hili la kisheria,”
mwananchi Thursday, May 2, 2019 2:44:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Wenye sifa ndani ya mwezi huu lazima wawe wamepandishwa madaraja. Kwa hiyo, Ras na timu yako mjipange kutimiza takwa hili la kisheria,"
mwananchi Wednesday, May 1, 2019 2:50:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Sasa hivi Mchina huyu anaitwa ana uzoefu kwa sababu alienda kufanya kazi Dodoma na anakuja kupewa mradi Dar es Salaam.Wamejengeana uwezo wao, mimi sina ugomvi na Wachina au wawekezaji wa nchi za nje, lakini ugomvi wangu ni kuhakikisha mzawa anapata kazi,”
mwananchi Wednesday, May 1, 2019 2:01:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Barabara za DMDP zimekuwa zikijengwa kwa kiasi kikubwa cha pesa kuliko zile za Tanroads ambazo kwanza zina ubora mkubwa, uwezo wa kubeba mzigo mkubwa na pia ni pana, katika miradi ya ujenzi wa barabara, hospitali na shule nawapongeza Manispaa ya Temeke kwa kazi nzuri na kusimamia vizuri miradi ya maendeleo, niwaombe muongeze bidii na kasi,”
mtanzania Saturday, April 20, 2019 1:53:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Baadhi yenu hapa wamekuwa wakikwamisha kwa makusudi miradi hiyo, wamekuwa wakiwakwamisha wakurugenzi, mameya, wakuu wa wilaya na hata mimi mkuu wa mkoa. Kifupi watambue kuwa mwisho wao ndani ya Jiji hili ni mwezi ujao,”
habarileo Thursday, April 18, 2019 11:08:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Nakutaka mkurugenzi kumsimamisha kazi mkandarasi huyo mara moja na kama wapo wengine wasimamishe hatuwezi kuona fedha zikipotea kwa kazi sizizo na ubora,”
habarileo Thursday, April 18, 2019 11:08:00 AM EAT
Paul Makonda said
:
“The national Under-17 soccer team players will get twenty million each if they win two matches in the Afcon finals, which start tomorrow in Dar es Salaam,”
theCitizen Saturday, April 13, 2019 12:06:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Leo hii najivunia mama yangu kwani ndiye amesababisha leo nimekuwa mkuu wa mkoa kwa kujinyima kwake mimi nisome kwani kama angekata tamaa sijui leo ningekuwa wapi,"
mwananchi Saturday, April 6, 2019 8:48:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Yaani unakuwa na taifa ambalo watu wa hovyo ndiyo wanakuwa maarufu halafu watu wa maana hawajulikani walipo,” “Huwezi kuwa na taifa lina-promote watu wa hovyo mpaka wanakuwa mabalozi. Unategemea watoto wetu watafika kwenye mafanikio kweli? Nadhani watu kama hawa wanapaswa kupewa sapoti siyo hao walevi mnaotutangazia”
mwananchi Friday, April 5, 2019 9:07:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Nia hapa ni kuandaa mfumo wa kudumu wa kutatua changamoto ya wanawake hawa wanaolia, wajane wanatamani kujua namna ya kupata haki zao nimekuja kuwafariji,"
mwananchi Thursday, April 4, 2019 7:59:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Mfute mjane machozi kwa kuhakikisha anapatiwa haki zake, wapo wanaosema vitu ninavyoanzisha haviishi lakini bora ninayeanzisha,"
mwananchi Thursday, April 4, 2019 7:59:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Naomba waongeze kasi ya kuwasimamia watendaji wao kila mtaa na kata vitambulisho vimefika. Kabla ya mwisho wa wiki sitaki kusikia habari ya vitambulisho bali ibakie suala la kusimamia sheria,”
mwananchi Tuesday, April 2, 2019 6:27:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Nawaomba wajane wote siku hiyo ili tuweze kuwasaidia na shughuli itaanza saa moja kamili asubuhi. Tutakuwa na wanasheria na wadau mbalimbali wakiwemo Tamwa (Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania),"
mwananchi Tuesday, April 2, 2019 5:04:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
"Nimefurahi sana kumuona mama aliyepita hapa mbele kwa kweli ni mama wa mfano, na ningewasihi sana waandishi wa habari akina mama kama hawa wanaohangaika kwa ajili ya elimu za watoto wao ndiyo wapewe kipaumbele siyo hao walevi walevi hao akina Pierre sijui akina nani, yaani unakuwa na taifa ambalo watu wa hovyo ndiyo wanakuwa maarufu halafu watu wa maana hawajulikani walipo," "Hauwezi kuwa na taifa linapromote watu wa hovyo wanakuwa mpaka mabalozi unategemea watoto wetu watafika kwenye mafanikio kweli, mwingine alipitapita hapa Dk Shika yule sijui kaishia wapi nadhani watu kama hawa wanapaswa kupewa sapoti siyo hao walevi mnaotutangazia"
mwananchi Monday, April 1, 2019 1:50:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
:
"Ningewasihi sana waandishi wa habari akina mama kama hawa ndiyo wapewe kipaumbele siyo hao walevi walevi hao akina Pierre sijui akina nani, yaani unakuwa na taifa ambalo watu wa hovyo ndiyo wanakuwa maarufu halafu watu wa maana hawajulikani walipo…"
mwananchi Monday, April 1, 2019 11:49:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Nawashukuru wanakamati wote kwa kufanya kazi nzuri tuliyopewa na TFF, kwanza kuhakikisha timu inashinda, pili kurudisha timu kwa watanzania jambo ambalo tumefanikiwa kwa kiasi kikubwa watu walishikamana pamoja bila kujali itikadi zao klabu zao na kutanguliza umoja wa taifa kwanza,”
habarileo Wednesday, March 27, 2019 4:21:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Taifa Stars
)
:
“Watanzania tunapaswa kuwa kitu kimoja wakati huu, umoja wetu utakuwa silaha kubwa, kila mmoja wetu analo jukumu ya kuisaidia Stars kushinda, tusiwaachie wachezaji pekee, tuhamasishane ili kufanikishe mpango huu,”
mtanzania Sunday, March 24, 2019 9:53:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
"Natoa siku tatu kwa mkurugenzi wa Ilala awe amesaini mkataba wa machinjio ya Vingunguti na mkurugenzi wa Kinondoni awe amesaini mkataba wa uendelezwaji wa Ufukwe wa Coco na ndani ya siku tano miradi hiyo iwe imeanza,"
mwananchi Friday, March 22, 2019 4:36:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Waziri Mkuu
)
:
“Tunafahamu umuhimu wa mchezo huu Watanzania wote ni nafasi yetu ya mwisho kama tutafanikiwa kushinda, basi tutakata tiketi kwenda kushiriki fainali safari hii nchini Misri, Waziri Mkuu kama mdau wa soka atakuwa nasi pamoja kushangilia timu yetu,”
habarileo Friday, March 22, 2019 12:55:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“I have been touched by orphans who cannot attend the encounter due to various reasons. I want them to be part of the country success in football and witness our national team record victory against Uganda. So 1,000 tickets would be distributed to various orphanage centers in the city,”
theCitizen Thursday, March 21, 2019 7:43:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“My committee has so far bought 1,300 tickets for fans. I will add another 1,000 for orphans in various centres to enable them watch the game. Their presence in the stadium will motivate our players to do their best in the encounter, we want victory and not otherwise,”
theCitizen Thursday, March 21, 2019 7:43:00 PM EAT
Paul Makonda told
:
"All I am asking for is for Tanzanians to continue to supporting Taifa Stars with prayers for the team to down Uganda Cranes and sail through,"
theCitizen Thursday, March 21, 2019 4:29:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Nimemua kutengeneza mfuko maalumu wa kusaidia watoto wa kike wanaotoka kwenye familia duni ndani ya mkoa wa Dar es Salaam,”
mwananchi Wednesday, March 20, 2019 6:54:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Hawa kwangu ni watu muhimu sana licha ya ugumu wa maisha wanayopitia lakini wanajikwamua na kufaulu hasa katika masomo magumu haya ya sayansi”
mwananchi Wednesday, March 20, 2019 6:54:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“My life story is testament of hard work and resilience and I call upon youth to be confident in pursing their dreams”
AfricaNews-English Wednesday, March 20, 2019 5:08:00 PM EAT
Paul Makonda said
:
“All I am asking for is for Tanzanians to continue to support Taifa Stars with prayers for the team to down Uganda Cranes and sail through,”
theCitizen Monday, March 18, 2019 5:25:00 PM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Mkuu Wizara
)
:
“Tumeteseka sana na migogoro ya ardhi hata nilipoteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kazi yangu ya kwanza ilikuwa ni kutatua migogoro ya ardhi na tuliongeza siku za kufanyia kazi migogoro hiyo hadi siku za Jumapili, tukifika katika jambo hili ni hatua kubwa sana,”
habarileo Sunday, March 17, 2019 10:59:00 AM EAT
Paul Makonda alisisitiza
:
“Nasema yeyote atakayemgeuza Hamis kitega uchumi nitadili naye,”
habarileo Wednesday, March 13, 2019 11:09:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
:
“Wasichana 100 waliofanya vizuri kidato cha nne masomo ya Sayansi ofisi yangu itawasomesha, wameonesha nia, hivyo ni lazima tuwashike mkono, tutawalipia ada na mahitaji yote muhimu ya shule,”
habarileo Saturday, March 9, 2019 10:31:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
:
“Zoezi hili limekuwa la mafanikio makubwa, na wanaume wengine waliamua kukutana na wanawake waliowatelekeza, na kuyamaliza chinichini ili kuepukana na aibu,”
habarileo Friday, March 8, 2019 3:22:00 PM EAT
Paul Makonda wrote
(
about Paul Makonda
)
:
''As TCRA prepares itself to take action, I want the owner of this photo to present herself to any police station before 12 hours elapses. Tell them RC Makonda has sent you and they will give you your message.''
tuko Sunday, January 13, 2019 3:14:00 PM EAT
Paul Makonda wrote
(
about Paul Makonda
)
:
''As TCRA prepares itself to take action, I want the owner of this photo to present herself to any police station before 12 hours elapses. Tell them RC Makonda has sent you and they will give you your message.''
tuko Thursday, January 10, 2019 6:13:00 PM EAT
Key Titles and Phrases | Count | Lang | Last Seen |
---|---|---|---|
commissioner | 87.84% | EN | 03/27/201727/03/2017 |
gouverneur | 4.05% | FR | 03/23/201723/03/2017 |
kamanda | 1.35% | SW | 02/24/201724/02/2017 |
governor | 4.05% | EN | 02/22/201722/02/2017 |
commissioners | 2.70% | EN | 09/12/201612/09/2016 |
Names | Lang | Count |
---|---|---|
Paul Makonda | EN | 48.25% |
Paul Makonda | SW | 42.11% |
Paul Makonda | FR | 9.65% |
Type | Entity Name | Count |
---|---|---|
![]() | John Magufuli | 9.01% |
![]() | Rais Magufuli | 3.20% |
![]() | Human Rights Watch | 2.70% |
![]() | World Health Organization | 2.60% |
![]() | Commission | 2.30% |
![]() | Hassan Abbas | 2.00% |
![]() | Member States | 2.00% |
![]() | On Thursday | 1.90% |
![]() | Amnesty | 1.90% |
![]() | Amnesty International | 1.90% |
![]() | British | 1.90% |
![]() | High Commission | 1.90% |
![]() | Centers for Disease Control and Prevention | 1.80% |
![]() | Health Ministry | 1.80% |
![]() | Albert Msando | 1.80% |
![]() | Law Society | 1.70% |
![]() | U S Embassy | 1.60% |
![]() | State Department | 1.50% |
![]() | Waziri Mkuu | 1.40% |
![]() | John Pombe Magufuli | 1.40% |
![]() | Tanzanian government | 1.20% |
![]() | Samia Suluhu | 1.10% |
![]() | Chama Cha | 1.00% |
![]() | British Broadcasting Corporation | 0.90% |
![]() | Cara Anna | 0.90% |
![]() | Chama Cha Mapinduzi | 0.90% |
![]() | Kassim Majaliwa | 0.90% |
![]() | Samia Suluhu Hassan | 0.90% |
![]() | Rais Dk | 0.80% |
![]() | United States Embassy | 0.80% |
Type | Entity Name | Score |
---|---|---|
![]() | John Magufuli | 0.09 |
![]() | Abdallah Chaurembo | 0.0341 |
![]() | Rais Magufuli | 0.0322 |
![]() | Albert Msando | 0.0216 |
![]() | Hassan Abbas | 0.0197 |
![]() | Joseph Mkirikiti | 0.0187 |
![]() | Ole Medeye | 0.0176 |
![]() | Law Society | 0.0175 |
![]() | Mahmoud Mgimwa | 0.0161 |
![]() | High Commission | 0.016 |
![]() | On Thursday | 0.0156 |
![]() | U S Embassy | 0.0151 |
![]() | Alexander Mnyeti | 0.0147 |
![]() | John Pombe Magufuli | 0.0141 |
![]() | Waziri Mkuu | 0.014 |
![]() | Oran Njeza | 0.0139 |
![]() | Health Ministry | 0.0135 |
![]() | Tanzanian government | 0.0118 |
![]() | Anna Kilango | 0.0116 |
![]() | Amnesty International | 0.0115 |
![]() | Ali Hapi | 0.0115 |
![]() | Amnesty | 0.0113 |
![]() | Samia Suluhu | 0.0107 |
![]() | Jerry Slaa | 0.0105 |
![]() | Human Rights Watch | 0.0102 |
![]() | Chama Cha | 0.0098 |
![]() | Janet Mbene | 0.0098 |
![]() | Abdallah Kigoda | 0.0097 |
![]() | Mary Majaliwa | 0.0094 |
![]() | George Lubeleje | 0.0094 |


Tools
Select your languages
Interface:
Explore Relations
Extracted quotes about
Michael Pompeo ameeleza
(
about Paul Makonda
)
:
“Leo tumemtangaza Makonda kuwa hana sifa ya kuingia Marekani kutokana na kuhusishwa kwake katika ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu. Tuna wasiwasi mkubwa na kuporomoka kwa heshima ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania,”
mwananchi Sunday, February 2, 2020 5:50:00 PM EAT
Mike Pompeo stated
(
about Paul Makonda
)
:
"We designated Dar es Salaam Regional Commissioner Paul Christian Makonda as ineligible to enter the U.S. for his involvement in gross violations of human rights. We are deeply concerned over deteriorating respect for human rights and rule of law in Tanzania,"
tuko Saturday, February 1, 2020 1:20:00 PM EAT
Lazaro Mambosasa alisema
(
about Paul Makonda
)
:
“Tutashirikiana na vyombo vyote vya ulinzi na usalama chini ya Mwenyekiti wetu Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kuhakikisha jiji lipo salama,”
mtanzania Saturday, November 23, 2019 12:29:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Thursday, November 14, 2019 2:21:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Wednesday, November 13, 2019 6:33:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Wednesday, November 6, 2019 4:43:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Paul Makonda
)
:
“Watu hawana vifaa wameshafanya utapeli na Mradi ukawashinda katika Wilaya ya Temeke mnawapa tena mradi wa Kivule kitunda na nimefatilia ameshawai kufanya kazi na kufanya vibaya mkoani Kigoma na alifanya kwa kusuasua hivyo hivyo sitaki kabisa labda mkuu wa mkoa nisiwe Makonda,”
mtanzania Monday, November 4, 2019 9:52:00 AM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Sunday, November 3, 2019 10:27:00 AM EAT
Ali Hapi ameandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Ningeshangaa sana kama mtu aliyemdhihaki Rais wa nchi yetu, angeachwa bila kuchukuliwa hatua za kisheria. Hongera Makonda,”
mwananchi Sunday, November 3, 2019 10:27:00 AM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Friday, November 1, 2019 1:36:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Friday, November 1, 2019 12:47:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Thursday, October 31, 2019 9:10:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Paul Makonda
)
:
"Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,"
bbc-swahili Thursday, October 31, 2019 4:39:00 PM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Thursday, October 31, 2019 9:20:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Paul Makonda
)
:
"Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,"
bbc-swahili Thursday, October 31, 2019 6:06:00 AM EAT
Paul Makonda amesema
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako huijui, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mwananchi Wednesday, October 30, 2019 4:32:00 PM EAT
Paul Makonda ameandika
(
about Paul Makonda
)
:
“Naona mipaka ya kazi yako hauijuwi, nenda sasa hivi kituo chochote cha polisi uwaambie Makonda kaniambia nije utakuta ujumbe wako,”
mtanzania Wednesday, October 30, 2019 4:07:00 PM EAT
Paul Makonda ameandika
(
about Paul Makonda
)
:
"Naona mipaka ya kazi yako huijuwi. Nenda sasa hivi kituo chochote Cha polic uwambie Makonda kaniambie nije utakuta ujumbe wako. @idrissultan"
habarileo Wednesday, October 30, 2019 3:03:00 PM EAT
Boniface Jacob amesema
(
about Paul Makonda
)
:
“Leo si unaona (Makonda) kakuomba tena kitu kilekile ulichokuwa tayari umeshakifanyia kazi na kukipatia ufumbuzi,”
mwananchi Saturday, October 26, 2019 8:53:00 PM EAT
Bashiru Ally amesema
(
about Paul Makonda
)
:
“Nakupongeza Makonda kwa kampeni ya usafi. Nimeambiwa kuna viwanda vinavunja sheria na kuchafua mazingira na kuweka maisha ya watu mashakani kiafya. Naomba mshirikiane na taasisi zinazohusika tuhakikishe sheria inasimamiwa,”
mwananchi Saturday, October 5, 2019 8:58:00 PM EAT
Bashiru Ally alisema
(
about Paul Makonda
)
:
“Mwenyekiti ameshaelekeza mpango wa kuwaandaa viongozi utekelezwe haraka na walengwa wakubwa ni vijana. Kati ya watakaoanza mafunzo hayo na nimeshawaorodhesha ni Makonda na Chalamila,”
mwananchi Thursday, September 5, 2019 10:32:00 AM EAT
Bashiru Ally alisema
(
about Paul Makonda
)
:
“Mwenyekiti ameshaelekeza mpango wa kuwaandaa viongozi utekelezwe haraka na walengwa wakubwa ni vijana. Kati ya watakaoanza mafunzo hayo na nimeshawaorodhesha ni Makonda na Chalamila,”
mwananchi Friday, August 30, 2019 11:31:00 AM EAT
Paul Makonda amejibu
(
about Paul Makonda
)
:
“Paul Makonda arudi tu. Maana yeye kukaa Misri haisaidii kitu,”
jamiiforums Saturday, June 29, 2019 12:14:00 PM EAT
Bashiru Ally alisema
(
about Paul Makonda
)
:
"Na hii habari ya Dar es Salaam ya Makonda, hakuna Dar es Salaam ya Makonda, ni Dar es Salaam chini ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makonda. Kuna wakati namsikia anasema wananchi wangu, nani kamwambia anao wananchi wake? Hakuna wananchi wako. Hakuna kiongozi anamiliki wananchi, ni wananchi wenzangu"
bbc-swahili Tuesday, May 21, 2019 8:58:00 AM EAT
Bashiru Ally anasema
(
about Paul Makonda
)
:
“Naomba nitumie fursa hii kumuombea msamaha kijana wangu Makonda mimi namfahamu na hii ni mara yangu ya pili namsema hadharani,”
mtanzania Sunday, May 12, 2019 6:46:00 PM EAT
Paul Makonda wrote
(
about Paul Makonda
)
:
''As TCRA prepares itself to take action, I want the owner of this photo to present herself to any police station before 12 hours elapses. Tell them RC Makonda has sent you and they will give you your message.''
tuko Sunday, January 13, 2019 3:14:00 PM EAT
Paul Makonda wrote
(
about Paul Makonda
)
:
''As TCRA prepares itself to take action, I want the owner of this photo to present herself to any police station before 12 hours elapses. Tell them RC Makonda has sent you and they will give you your message.''
tuko Thursday, January 10, 2019 6:13:00 PM EAT
The selection and placement of stories are determined automatically by a computer program.
This site is supplied by the Situation Room of the Continental Early Warning System (CEWS) of the Peace and Security Department of the African Union Commission. The project is supported by the Joint Research Centre of the EU Commission
Please send any comments or suggestions to
The information on this site is subject to adisclaimer.