Kassim Majaliwa
Last updated on 2017-10-08T10:06+0300.

About this image

Extracted quotes from
Kassim Majaliwa amesema
:
“Katika ziara zangu za mikoani nimesisitiza sana umuhimu wa watumishi wa umma kuwatumikia wananchi wote kwa usawa na bila ubaguzi. Aidha, nimeagiza Wananchi wote na wageni wakiwemo Wawekezaji wanapofika kwenye Ofisi zote za Umma, wapokelewe kwa staha, wasikilizwe na kupewa huduma wanazohitaji kwa uharaka na ufanisi bila urasimu,”
mtanzania Sunday, January 24, 2021 10:19:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Kilimo cha zao la Mkonge na mchikichi unatuondolea mzigo mkubwa sana kwa kupunguza gharama mfano baada ya kuhamasisha kulima mchikichi tunaokoa zaidi dola za marekani 470 milioni za kuagiza mafuta kutoka nje ya nchi,”
mtanzania Friday, January 22, 2021 12:47:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Hapa wilayani Muheza kuna maeneo mazuri tu yanafaa kulimwa Mkonge naamini kuna watu walitaka kulima zao hili ila waliaminishwa kilimo hiki kinatakiwa kufanywa na watu wenye utajiri kitu ambacho sio kweli ”
habarileo Thursday, January 21, 2021 2:01:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Kama makuzi yamekwenda vizuri kwenye hekta moja unaweza kuvuna tani moja, kiwango cha chini lakini unaweza kuvuna tani moja na nusu na kuendelea. Kwa kilimo hiki cha kawaida, hapo hujaweka utaalamu”
habarileo Thursday, January 21, 2021 6:13:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tumeamua kuliwekea nguvu zote ili tulilime, lilikuwepo, lilikufa. Tumeamua kulifufua na jitihada za kufufua zao hili pia taifa litaokoa fedha Dola za Kimarekani zaidi ya dola 245 mpaka 250 (milioni) zinazotumika kuagiza vifungashio vinavyotokana na zao hili kutoka nje ya nchi”
habarileo Thursday, January 21, 2021 6:13:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Waziri Mkuu
)
:
“Serikali inamshukuru sana Mkuu wa Mkoa wenu wa Tanga ambaye alianza kufuatilia mkonge akagundua kwamba bei ya mkonge tani moja ni zaidi ya shilingi 3,600,000/- lakini mkulima wa Tanga alikuwa hapati hizo milioni 3,600,000/- anaishia kwenye laki moja, laki mbili au zinaishia zote kwenye makato. Sasa tutahakikisha mnapata fedha hiyo”
habarileo Thursday, January 21, 2021 6:13:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Na ukipata mwekezaji kutoka popote, walioko ndani leo na wanaokuja wote hao wapokelewe, wasaidiwe, waendeshe biashara yao ya kilimo cha mkonge. Ninaambiwa hapa kuna baadhi ya wawakilishi wa wakulima, limeni mkonge”
habarileo Thursday, January 21, 2021 6:13:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Wananchi tumieni fursa ya uwepo wa meli hii kufanya biashara,”
habarileo Wednesday, January 6, 2021 4:27:00 AM EAT
Kassim Majaliwa added
:
"I expect that all students will pass their exams,"
allafrica Sunday, January 3, 2021 7:30:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Askofu Banzi alisisitiza kutenda haki miongoni mwa jamii na ni mfano mzuri kwa utumishi wake wa uny- enyekevu na upole, hivyo ni- wasihi tuendelee kumuombea roho yake iishi kwa amani”
habarileo Wednesday, December 30, 2020 7:36:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tunajivunia mchango wake wa thamani aliotoa katika kudumisha amani na umoja katika kuwapigania Watanzania na hivyo hatuna budi kuyaishi na kuyaenzi ma- tendo yake”
habarileo Wednesday, December 30, 2020 7:36:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"This payment was done without any document showing the reason(s) for the payment. He never provided any service to the Ports Authority,"
allafrica Tuesday, December 29, 2020 3:15:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"The government will provide all the necessary support to TPSF and cooperate with it in addressing challenges that arise. The government is very confident with this institution,"
allafrica Saturday, December 26, 2020 3:05:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Vilevile, tutaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo HUAWEI katika kuhakikisha tunaanzisha vituo vya umahiri vya sayansi na teknolojia kwenye taasisi za elimu ya juu nchini kwa kuzingatia maeneo ya kimkakati katika kujenga uchumi imara na endelevu sambamba na kudhibiti athari hasi zinazoweza kutokea kutokana na matumizi ya TEHAMA,”
mtanzania Wednesday, December 23, 2020 9:27:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Nimekagua mradi na ujenzi wake unaendelea vizuri, sina mashaka na viwango na naamini utakamilika kwa wakati. Watanzania wanasubiri kwa hamu waanze kupita katika daraja hili,”
mtanzania Tuesday, December 22, 2020 5:44:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"the government wants to see the buildings being used as intended...you should not play with taxpayer's money ... I want to see this port operating"
allafrica Tuesday, December 22, 2020 3:27:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"The country has lost a patriotic citizen, I pray for him to rest in eternal peace,"
allafrica Monday, December 21, 2020 3:35:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Tarehe moja mwezi wa kwanza mwakani nataka bandari hii ianze kufanya kazi, muende mkajipange najua hakuna watumishi hapa lakini mnaweza kuwaamisha hata walioko Dar es Salaam waje hapa kutoa huduma kwa wananchi”
habarileo Saturday, December 19, 2020 4:38:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Kama kweli wewe ni Meneja wa Bandari Tanzania bandari zako huzijui na unamiaka chungunzima unafanya kazi gani, hovyo kabisa,”
mtanzania Saturday, December 19, 2020 2:52:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Ni lazima Mtoto wa Kitanzania aliyefaulu aende sekondari, jukumu la halmashauri ni kuhakikisha inajenga vyumba vya kutosha vya madarasa. Ifikapo Februari 28, 2021 ujenzi wa vyumba vya madarasa uwe umekamilika na kuwawezesha wanafunzi wa kidato cha kwanza kuingia darasani,”
mtanzania Friday, December 18, 2020 4:57:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Wakurugenzi zingatieni vipaumbele vya wananchi na Halmashauri zetu katika kupanga matumizi na manunuzi na tumieni fedha za mapato ya ndani kutekeleza miradi ya kimkakati,”
mtanzania Thursday, December 17, 2020 9:41:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Kwenye Ilani ya 2015-2020, Chama cha Mapinduzi kilisema na kuandika kwamba kutakuwa na kivuko cha kwenda Mafia, hii hapa leo inaingia majini tukiishuhudia kuelekea mafia,”
mtanzania Tuesday, December 15, 2020 8:12:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Ninatoa pole kwa wanafamilia, ndugu na wote walioguswa na msiba huu. Taifa limempoteza mmoja wa wazalendo wake. Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amina,”
mtanzania Tuesday, December 15, 2020 5:55:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Kwa hiyo Rais yaliyotokea juzi (Jumatano) si kwa wa Lindi tu, bali tuendelee kumuombea kijana wetu, naamini bado unaweza ukaangalia angalia,”
habarileo Saturday, December 12, 2020 6:04:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Nikiri kwamba uteuzi huu ni uteuzi sahihi, wizara sasa imepata watu ambao wanaifahamu kwa kuwa waziri mwenyewe amefanya kazi nzuri katika kipindi chake cha miaka mitatu iliyopita kwa kusimamia, kukemea na kuona namna rasilimali hii inaweza kuleta pato kubwa ndani ya taifa,”
habarileo Saturday, December 12, 2020 6:04:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Suala hili nitalifuatilia mwenyewe ili kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa chaguo la kwanza na la pili wawe wameingia madarasani kufikia Machi Mosi mwaka 2021. Ukamilishaji wa vyumba hivyo pamoja na madawati ufanyike kwa kutumia vyanzo vyenu vya ndani vya fedha,”
mtanzania Monday, December 7, 2020 8:55:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"Improved horticulture production will help the country to enhance its economic growth,"
irishsun Monday, December 7, 2020 2:04:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"Improved horticulture production will help the country to enhance its economic growth,"
xinhuanet_en Saturday, December 5, 2020 6:39:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Badala ya kumaliza chuo na kufikiria kuajiriwa, ifikie mahali mitaala ya elimu iseme ukimaliza ni kuanza kufanya kazi za taaluma yake na mhitimu aende huko,”
habarileo Friday, December 4, 2020 6:45:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Nataka nitoe tahadhari ya watu wazima wanaojihusisha na mapenzi na wasichana wadogo, ole wenu, ole wenu, ole wenu, vijana wa kike msijihusishe na mapenzi katika umri mdogo, lazima muwe na subira, nimefurahi katika mabanda kule wapo wanaofanya shughuli za kiuchumi,”
habarileo Wednesday, December 2, 2020 2:38:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"my first assignment as Prime Minister is to investigate causes that have led to the hiking of cement prices"
xinhuanet_en Saturday, November 21, 2020 10:06:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Na ilimradi wakuu wa mikoa wako hapa, niwape mpaka tarehe 20 kila mmoja aende palipo na kiwanda, palipo na mawakala wa saruji waangalie ni kwa nini bei ya saruji imepanda kutoka bei ya kawaida hadi ongezeko la zaidi ya shilingi elfu tatu mpaka elfu nne bila sababu yoyote ile wakati Serikali haijaongeza kodi, miundombinu tumepeleka, makaa ya mawe yapo ya kutosha, labour ile ile,”
habarileo Friday, November 20, 2020 11:46:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Afrika Mashariki
)
:
“Upatikanaji wa umeme wa bei nafuu nchini kwetu na uhakika nchini kwetu kutachochea sana ukuaji wa mapinduzi kwenye sekta ya viwanda kwa kushusha gharama za uendeshaji umeme viwandani, kukabiliana na mfumuko wa bei, kuwezesha ushindani wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya Afrika Mashariki na duniani kote,”
habarileo Thursday, November 19, 2020 10:49:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Kuna upandaji wa saruji bila sababu za msingi, miaka mitano iliyopita tulijenga mazingira ya baiashara kuwa rahisi. Hatukutarajia saruji kupanda, mheshimiwa Rais naaanza na hilo.”
habarileo Monday, November 16, 2020 7:28:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Wakati Serikali haijaongeza hata kodi, miundombinu ipo, waliotaka gesi tumewapelekea, waliotaka makaa ya mawe wamepatiwa sasa bei kwa nini imepanda kwa kiasi hicho, tunahitaji maelezo hayo,”
mwananchi Monday, November 16, 2020 6:12:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Idadi ya kura zenu mlizonipigia mmenipa changamoto sana. Haijawahi kutokea mmepiga kura kwa asilimia 100, haijawahi kutokea nawashukuru sana. Nitaendelea kushirikiana na wabunge wenzangu wote nikijua nyie ni wawakilishi wa Watanzania wanaotamani kupata maendeleo kupitia uwakilishi wenu,”
habarileo Friday, November 13, 2020 10:24:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Tutapita katika majimbo yenu kukagua miradi mbalimbali pamoja na kupata fursa ya kukutana na wananchi ili kusikiliza kero zao na kutafuta namna bora ya kuzipatia utatuzi”
habarileo Thursday, November 12, 2020 6:53:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Niendelee kumhakikishia kwamba matamanio yake ya kuamua kulitoa jina hili mbele ya Bunge tukufu…, hiyo ni imani kwamba nitafanya kazi kwa ufanisi zaidi,”
mwananchi Thursday, November 12, 2020 1:57:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Nitapita tena kwenye maeneo yenu yote kupata fursa kuona shughuli za maendeleo ambazo wenzangu mnazisimamia, tutapita kwenye majimbo yenu kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua. Niwahakikishie kuwapa ushirikiano hapa bungeni,”
mwananchi Thursday, November 12, 2020 1:57:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Tuna imani kwamba kazi uliyoifanya katika kipindi kilichopita, utaendelea kuifanya katika kipindi kingine Serikali tutaendelea kukupa ushirikiano,”
mwananchi Thursday, November 12, 2020 1:57:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Hata mkulima akiokota korosho zake leo na akaziuza mwezi ujao, bado hawezi kukatwa tozo ya unyaufu kwa sababu kisheria tozo hiyo haimgusi. Ni marufuku kutoza makato ya unyaufu, sitaki kusikia kuanzia leo hii wakulima wanatozwa unyaufu, hii ni biashara ya wachache tu,"
habarileo Thursday, October 29, 2020 5:10:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
(
about John Magufuli
)
:
"For the past five years, Dr Magufuli has done a lot for Lindi region and the whole country, all we need is to vote for him to continue serving the country for our own interest and benefit,"
allafrica Thursday, October 29, 2020 3:07:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Tujitokeze kwa wingi kupiga kura kabla ya zoezi la uchaguzi kufungwa hapo saa kumi jioni kutimiza haki zetu za msingi kikatiba”
habarileo Wednesday, October 28, 2020 8:44:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Lindi Mjini
)
:
“Serikali imetoa shilingi bilioni 5.26 ambapo kati ya hizo, shilingi bilioni 4 zilikuwa za Hospitali ya Rufaa ya Sokoine na shilingi bilioni 1.26 zilitolewa kwa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi kwa ajili ya ununuzi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi. Fedha za ununuzi wa dawa kwa mwezi, ni wastani wa shilingi milioni 21,”
habarileo Monday, October 26, 2020 7:28:00 PM EAT
Kassim Majaliwa anasema
:
“Mleteni Kembaki bungeni, mchagueni Kembaki tulete maendeleo”
habarileo Monday, October 26, 2020 7:28:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
(
about John Magufuli
)
:
"Local cashew nut buyers had planned to buy the crop at 1,800/- but our President Dr Magufuli dished out 900bn/- for financing the purchase of cashewnuts from farmers,"
allafrica Monday, October 26, 2020 3:06:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Tunaenda kumchagua Rais, hatuendi kufanya mzaha, kura yako ni muhimu”
habarileo Sunday, October 25, 2020 9:08:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Barabara ya kutoka Ruangwa - Nanjilinji - Kiranjeranje ina urefu wa km.120. Barabara hii ukiangalia kwenye ilani yetu, utaikuta ukurasa wa 75. “Barabara nyingine ni ya kutoka Ngongo Mandawa Namichiga yenye urefu wa kilometa 85 na hii ilipatiwa Sh milioni 800 na kazi ya upembuzi yakinifu imekwishakamilika, sasa kazi iliyobaki ni kutafuta fedha na kuanza ujenzi,"
habarileo Saturday, October 24, 2020 6:21:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Kufuta hati hizi ni kielelezo tosha kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano namna zilizojikita katika kutatua changamoto mbalimbali za Muungano kwa maslahi mapana ya pande zote mbili,”
mwananchi Sunday, October 18, 2020 12:56:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Mfano ni kuondolewa kwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na kufuta malimbikizo ya deni lililokuwa limefikia Sh bilioni 22.9 kwa Shirika la Umeme la Zanzibar (Zeco) kutokana na umeme uliouzwa na Tanesco,”
habarileo Saturday, October 17, 2020 3:27:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Mfano ni kuondolewa kwa kodi ya ongezeko la thamani na kufuta malimbikizo ya deni lililokuwa limefikia Sh22.9bilioni kwa shirika la Zeco kutokana na umeme uliouzwa na Tanesco. Pili, Rais Magufuli alifuta sherehe za muungano wakati wa Covid-19 na kuelekeza Sh500milioni za sherehe hizo ipatiwe Zanzibar,”
mwananchi Saturday, October 17, 2020 1:15:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"The clinical laboratories will be used to diagnose and treat animal diseases,"
nampa Saturday, October 17, 2020 1:04:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Hussein Mwinyi
)
:
"Nawasihi sana ndugu zangu tumchague Dk Mwinyi ili aweze kupambana na wala rushwa na mafisadi, akiunganisha nguvu zake na Serikali ya Muungano wa Tanzania ataweza kuifanya Zanzibar ipae kiuchumi,"
habarileo Thursday, October 15, 2020 2:08:00 PM EAT
Kassim Majaliwa charged
:
"The union has greatly benefited both of us-islanders and mainlanders. Whoever disdains it doesn't wish us and our country well,"
allafrica Thursday, October 15, 2020 3:05:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Rais Dk
)
:
"Nawaletea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amefanya makubwa kwenye uongozi wake uliopita. Hata kwenye wizara alizowahi kuongoza, pia amefanya makubwa. Ndiye mgombea pekee mweye uwezo wa kutuunganisha Wazanzibari na Watanzania Bara,"
habarileo Wednesday, October 14, 2020 1:37:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Chama Cha Mapinduzi kina nafasi nyingi za uongozi, na katika nafasi hii ya kuongoza Zanzibar, tumemleta Dk Hussein Mwinyi."
habarileo Wednesday, October 14, 2020 1:37:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Nachukua fursa hii kuipongeza kampuni ya YARA kwa kujitoa kwake kuchangia kwenye kukuza sekta ya kilimo kwa kutoa mbolea bure kwa wakulima zaidi 83, 000,”
habarileo Tuesday, October 13, 2020 1:22:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Watendaji wasiwe kikwazo katika utekelezaji wa mpango huu ambao una lengo la kuwanufaisha hasa wakulima wadogo ili kuongeza uzalishaji wa mazao nchini,”
habarileo Tuesday, October 13, 2020 1:22:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Natumia nafasi hii kuyataka kampuni mengine kujitoa ili kusaidia sekta hususani kwenye swala la pembejeo na zana za kilimo kwa kuwa kilimo ni sekta inayoajiri zaidi ya asilimia 75 ya Watanzania,”
habarileo Tuesday, October 13, 2020 1:22:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"Not everyone can be president, we need to vote for a serious person who will make things happen,"
allafrica Tuesday, October 13, 2020 10:26:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about John Pombe Magufuli
)
:
"Tunatafuta viongozi wa kuliongoza Taifa ambao ni Rais, wabunge na madiwani, nawaomba ifikapo Oktoba 28 mwaka huu tujitokeze kwa wingi kwenda kumchagua mgombea wa urais wa tiketi ya CCM Dk John Pombe Magufuli kwani ni kiongozi pekee atakayeweza kuwaongoza wananchi wote bila ya kujali itikadi zao vyama vyao,"
habarileo Friday, October 9, 2020 11:13:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tambua umuhimu wa kura yako. Uongozi wa nchi hautaki majaribio, unaweza kufanya majaribio kwa viongozi wa vikao vya harusi au send-off lakini siyo uongozi wa nchi,”
habarileo Thursday, October 8, 2020 11:04:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tunatafuta kiongozi wa nchi ambaye ametulia, anayekwenda kuongoza watu zaidi ya milioni 60 wenye dini tofauti, makabila na itikadi tofauti, tunatafuta kiongozi ambaye anaweza kuzitunza tunu za Taifa ikiwemo amani,”
habarileo Thursday, October 8, 2020 11:04:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Ujumbe kwa wana-Mafia ni kwamba meli hii tunatarajia ianze kuingizwa kwenye maji kuanzia mwezi ujao, baada ya kila kazi kukamilika na Tasac kuja kujiridhisha kwamba ubora wa chombo hiki umekamilika, tunaamini wana-Mafia sasa kero yao itakuwa imeisha,”
mtanzania Tuesday, October 6, 2020 10:40:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Sasa Serikali ina uhakika na kampuni ya utengenezaji wa vivuko nchini kwa sababu ya uwezo wake wa kukamilisha kazi kwa wakati na ubora,”
mtanzania Tuesday, October 6, 2020 10:40:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about John Magufuli
)
:
“Nimeangalia katika wote wanaotaka kupewa urais, hakuna kiongozi mwenye hizo sifa zaidi ya Dk John Magufuli. Tulimpa miaka mitano ya kuongoza nchi, amefanya mambo makubwa na nyote mmeona ama kusikia yaliyofanyika kupitia vyombo vya habari,”
habarileo Friday, October 2, 2020 8:58:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about John Magufuli
)
:
“Dk Magufuli ni kiongozi anayeweza kuiongoza nchi, ndiye kiongozi anayeweza kuunda serikali na kuisimamia ili iende kuwatumikia Watanzania mpaka wa chini kabisa kwa sababu ya uchapakazi wake. Ikifika tarehe 28 Oktoba, nendeni mkamchague kwa kura nyingi ili aendelee kuongoza,”
habarileo Friday, October 2, 2020 8:58:00 AM EAT
Kassim Majaliwa aliuliza
:
“Kwa hiyo, tunahitaji kiongozi mwenye hofu ya Mungu na ndiyo maana tulifanikiwa pia kupambana na vitu vingine vyote baada ya kumtanguliza Mungu. Kwani corona bado ipo?”
habarileo Friday, October 2, 2020 8:58:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Shilingi milioni 23 zimetumika kukarabati machinjio ya Bunazi hapa Misenyi, pia tumerahisisha uuzaji wa mazao ya mifugo kwa kufuta tozo kero 114 katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi na kuimarisha masoko ya mazao ya mifugo kwa kuhamasisha uanzishwaji wa viwanda vya kuchakata mazao ya mifugo,”
habarileo Thursday, October 1, 2020 7:24:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Watu wasije kuwadanganya kwamba serikali haiwajali, siyo kweli. Kuna sababu zilizochangia kuyumba kwa bei ya kahawa kwenye soko la dunia."
habarileo Tuesday, September 29, 2020 8:22:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Mkakati wetu ni kuhakikisha vijiji vyote nchini vinapata umeme, Ukerewe vijiji 70 tayari vina umeme vimebaki sita ambavyo vitapitiwa na mradi,”
mtanzania Sunday, September 27, 2020 12:45:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Serikali itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuendeleza na kuimarisha sekta ya nishati ikiwemo kuongeza uzalishaji wa umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali. Mpango wa Serikali ni kukamilisha usambazaji wa umeme katika vijiji vyote na maeneo ya pembezoni mwa miji,”
mtanzania Sunday, September 27, 2020 12:45:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Mkakati wetu ni kuhakikisha vijiji vyote nchini vinapata umeme, Ukerewe vijiji 70 tayari vina umeme vimebaki sita ambavyo vitapitiwa na mradi,”
habarileo Sunday, September 27, 2020 7:22:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Serikali itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuendeleza na kuimarisha sekta ya nishati ikiwemo kuongeza uzalishaji wa umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali. Mpango wa Serikali ni kukamilisha usambazaji wa umeme katika vijiji vyote na maeneo ya pembezoni mwa miji,”
habarileo Sunday, September 27, 2020 7:22:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tumedhamiria kuboresha sekta ya uvuvi kwa kuchukua hatua mbalimbali, tumeondoa kodi katika baadhi ya maeneo ili kuhakikisha wavuvi wanapata manufaa kutokana na kazi yao,”
habarileo Sunday, September 27, 2020 7:22:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
“I’m informed that the water crisis here is attributed to water pump failures, hence other people don’t access water,”
theCitizen Friday, September 25, 2020 3:56:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
(
about John Magufuli
)
:
“The government is determined to improve education, health and other key sectors of the economy so as to improve people’s livelihoods. Let me take this opportunity to request all of you to vote for President John Magufuli on October 28 general election,”
theCitizen Friday, September 25, 2020 3:56:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Shilingi bilioni 58.8 zimetumika kwenye ukarabati na upanuzi wa miradi ya maji ambapo miradi ya maji katika Mji ya Longido, Sengerema na Nansio-Ukerewe imekamilika,”
habarileo Friday, September 25, 2020 12:46:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Wakulima wa pamba najua msimu uliopita hamkupata matokeo mazuri, kwa sababu mvua zilikuwa nyingi. Msimu huu Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeshatangaza mwenendo wa mvua na kwamba anzeni kuandaa mashamba kwa sababu ni msimu nzuri kwa zao la pamba,”
habarileo Friday, September 25, 2020 8:54:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Shilingi bilioni 18.7 zimetumika kujenga kilometa 14 za barabara kwa kiwango cha lami na kuweka taa za barabarani kupitia Programu ya Uboreshaji wa Miji (ULGSP) katika Manispaa ya Musoma na mradi umekamilika. Tunataka taa ziwake ili usiku uwe mchana, na mchana uwe mchana,"
habarileo Wednesday, September 23, 2020 10:28:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Katika kutekeleza Ilani ya CCM, tumepunguza kodi kwenye malighafi na zana za uvuvi, kwenye injini za uvuvi, nyuzi za kushonea nyavu za kuvulia samaki, vifungashio na kwenye ada za leseni za kuvulia samaki,"
habarileo Wednesday, September 23, 2020 4:44:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Ni kwa nini tuliamua kuwaweka kwenye vikundi, ni kwa sababu inakuwa rahisi kuwafikia, kuwaelimisha na kuwahudumia. Hii imefanikisha idadi ya samaki wanaovuliwa iongozeke kutoka samaki 415,000 hadi kufikia zaidi ya 800,000,"
habarileo Wednesday, September 23, 2020 4:44:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Kupitia mradi wa usimamizi endelevu wa rasilimali za madini serikali imeanzisha masoko 28 ya madini vituo vidogo 28 vya ununuzi wa madini na ujenzi wa vituo saba vya mafunzo ya umahiri kwa wachimbaji wadogo vya Bariadi, Musoma, Bukoba, Mpanda, Chunya, Songea na Handeni,"
habarileo Monday, September 21, 2020 9:23:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Hiki siyo kipindi cha kujutia maamuzi au cha kufanya majaribio ya uongozi. Chagueni kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi. Usimchague mtu tu hata kama ni mtoto wa dada yako"
habarileo Monday, September 21, 2020 7:46:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Uongozi wa nchi siyo jambo la mchezo, siyo jambo la kujaribiwa wala haliendi kwa upepo na ushabiki. Ni lazima mkae na kutafakari ni nani anafaa kuongoza nchi hii,”
habarileo Wednesday, September 16, 2020 8:17:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Huu siyo wakati wa kutukanana bali ni wakati wa kuelezea sera na mambo gani atawafanyia”
habarileo Wednesday, September 16, 2020 8:17:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Nawaomba wanaIlongero, wana-Singida Kaskazini na wana-Singida wote ikifika tarehe 28 Oktoba mchagueni Dk Magufuli. Sababu za kumuombea kura ni nyingi hasa kutokana na kazi kubwa aliyoifanya kwa nchi hii. Wote mmeona na kusikia yaliyofanyika kwenye maeneo yenu,”
habarileo Wednesday, September 16, 2020 8:17:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Wilaya hii haina mamlaka ya maji. Tutaanzisha Mamlaka ya Maji ili watumishi wawepo wilayani na wasimamie kwa karibu na waweze kufuatilia vyanzo vya maji kutokea hapa Chemba wakati tukiendelea kutatua tatizo la maji wilayani hapa. Tutaunda mamlaka ya maji hivi karibuni,"
habarileo Monday, September 14, 2020 10:17:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Nimekuja hapa kuwaomba sana kura yenu ya ndio kwa Rais Dk Magufuli kwani mkiwa sehemu ya Watanzania mnafahamu kazi kubwa ya kupeleka maendeleo aliyoifanya nchi nzima bila ya ubaguzi wa aina yoyote, tuhakikishe tunampigia kura nyingi ili akaendeleze kazi aliyoianza."
habarileo Monday, September 7, 2020 11:25:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Sekta ya utalii ina umuhimu mkubwa katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya wananchi hususani kwa vijana kwa sababu vijana wengi wameajiriwa na kujiajiri kupitia sekta ya madini. Serikali inawahakikisha kwamba itaendelea kuboresha mazingira ili kuweza kuvutia watalii wengi zaidi kuja nchini."
habarileo Monday, September 7, 2020 6:21:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Ndugu wanaArusha na Watanzania wote sina shaka kwamba mtakubaliana na ombi langu la kuwataka tumchague tena Rais Dk Magufuli kwa sababu mnapenda maendeleo na kwa Tanzania mtu atakayewaletea maendeleo si mwingine bali ni Dk John Magufuli tujitokeze kwa wingi kumpigia kura."
habarileo Monday, September 7, 2020 6:21:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
(
about Chama Cha
)
:
“Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita 2015 hadi 2020 Chama Cha Mapinduzi kilijielekeza katika kuhakikisha sekta ya ufugaji inaimarishwa ili kuwawezesha wananchi kunufaika na ukuaji wa sekta hiyo na mafanikio tumeyaona,”
mtanzania Friday, September 4, 2020 3:03:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Rais Magufuli
)
:
"Kazi iliyonileta hapa ni kuwaomba kura wanaArusha na wanaMonduli, naomba kura zenu zote bila ya kujali itikadi za vyama vyenu, tumpigie kura Mheshimiwa Rais Magufuli na mgombea ubunge Fredrick Lowassa na wagombea wote wa udiwani kupitia CCM,"
habarileo Friday, September 4, 2020 3:59:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Tutahakikisha uzalishaji unaongezeka katika sekta ya mifugo, utalii na uvuvi kwa ajili ya kuongeza tija katika kilimo, ufugaji na uvuvi ili kuchochea maendeleo ya uchumi, hasa katika sekta za viwanda na huduma za jamii. Fugeni kisasa mpate faida na serikali ya CCM itaendelea kuwaunga mkono,"
habarileo Friday, September 4, 2020 3:59:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Leo hii Tanzania ni ya kwanza barani Afrika kwa kusambaza umeme kote nchini hadi vijijini na kufikisha asilimia 80. Kuna nchi ngapi barani Afrika, lakini Tanzania imefanikiwa kuwa ya kwanza. Tumeweza kufikia vijiji 9,112 Tanzania na hadi Aprili 2020 na tumetumia shilingi trilioni 2.27,"
habarileo Tuesday, August 18, 2020 5:25:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
"Tunao uwezo wa kuhimili ujenzi wa viwanda vipya na nipende kuwahakikishia wenye mitaji kwamba Tanzania ni mahali salama pa kuwekeza. Tulianza na mazao matano ya kimkakati lakini sasa tumeyaongeza. Kupitia kilimo tunazalisha mazao ambayo ni malighafi kwa viwanda vyetu,"
habarileo Tuesday, August 18, 2020 5:25:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Ninyi ni mabalozi wa ajira kwa Watanzania sababu yako mataifa yalidai kuwa Watanzania hawaajiriki kwani siyo waadilifu, ni wadokozi. Lakini hapa sijasikia Mkurugenzi wa Songoro Marine akisema kuwa mmedokoa spana au nyaya. Ninyi ni uthibitisho kuwa Watanzania tunaajirika, ninawapongeza sana,”
mtanzania Sunday, August 16, 2020 2:08:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Rais Dk. Magufuli amemudu kurejesha imani ya Watanzania kwa watumishi wa umma na zaidi ya yote amerejesha uwajibikaji. Ni ukweli usiopingika kwamba tumefanikiwa kwa kiwango kikubwa kulikabili tatizo la rushwa na ufisadi ndani ya taifa letu,”
habarileo Thursday, August 13, 2020 4:36:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Endeleeni kung’ata mafisadi kwa faida ya wananchi, nawasihi wanasiasa kuacha kutumia rushwa katika kugombea nafasi za uongozi, tutumie kauli za baba wa taifa, tunapotumia fedha kusaka uongozi utazirudisha vipi? Wananchi tunao wajibu wa kuchagua viongozi bora wenye maono watakaotuvusha,”
mtanzania Thursday, August 13, 2020 3:24:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Uzinduzi wa jengo hili ni kielelezo tosha juu ya juhudi za taasisi katika kukabiliana na rushwa nchini, litatumika katika kukusanya na kuchakata taarifa za rushwa, lakini zaidi kufanya kazi kwa ufanisi,”
mtanzania Thursday, August 13, 2020 3:24:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Natoa pongezi kwa Takukuru katika kudhibiti na kurejesha fedha za vyama vya ushirika kote nchini, mfano katika mikoa ya Lindi na Mtwara na pamba kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa na maeneo mengine,”
mtanzania Thursday, August 13, 2020 3:24:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Nimeona ukarabati mkubwa uliofanywa, nimeona injini mpya, meli imekamilika na ilishafanyiwa majaribio ya aina zote kubeba abiria na kubeba mizigo na wataalamu wamejiridhisha kuwa ina uwezo wa kubeba abiria na mizigo.”
habarileo Monday, August 10, 2020 2:47:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Mkuu Wizara
)
:
“Katibu Mkuu Wizara ya Elimu kashughulikie jambo hili tujue mifumo wanayotumia, pia nataka kujua ni wanafunzi wangapi ambao wamelipa na hawajapewa vitambulisho na kwa nini na nani amesababisha haya na hatua alizochukuliwa. "Taarifa hiyo nataka niipate tarehe 16 mwezi huu, wiki moja inakutosha,”
habarileo Monday, August 10, 2020 2:47:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Waziri Mkuu
)
:
“Sote tunafahamu kuwa huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu. Sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji ni miongoni mwa sekta za uzalishaji ambazo maendeleo yake yanategemea kwa kiasi kikubwa uongozi bora. Nchi yetu inahitaji viongozi watakaokuwa chachu ya kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi ili kuinua ustawi wa maisha ya wakulima, wafugaji na wavuvi,”
habarileo Sunday, August 9, 2020 2:16:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Wale ambao wanaweza kufika Masasi wanakaribishwa, hatujazuia mtu yeyote ambaye anataka kwenda aende kwa usafiri ambao unaweza kumfikisha,”
mtanzania Tuesday, July 28, 2020 3:01:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Benjamin Mkapa
)
:
“Tunawakaribisha watumishi wote wa umma kwenda kuaga mwili wa Rais mstaafu Mkapa hiyo Jumanne, kisha wakimaliza watarejea kwenye maeneo yao ya kazi na mwili utasafirishwa mchana huo kwenda Lupaso na Jumatano mwili utaagwa kijijini huko na baadaye mchana yatafanyika maziko,”
habarileo Saturday, July 25, 2020 1:02:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"The body of the former President Mkapa will be laid in state at the Uhuru stadium in Dar es Salaam from Sunday July 26 to Tuesday July 28 to allow people to pay their last respects,"
xinhuanet_en Friday, July 24, 2020 7:27:00 PM EAT
Kassim Majaliwa déclaré
:
"Les membres du public ne devraient pas hésiter à donner des informations sur les pratiques de corruption, le PCCB vous protégera"
french.china.org.cn Wednesday, July 22, 2020 10:04:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"The aim is to allow neighbouring countries to do business with Tanzania, where Tanzanians will also benefit from this opportunity. This would also boost income of our people,"
allafrica Friday, July 10, 2020 3:26:00 AM EAT
Kassim Majaliwa affirmé
:
"Le ministère de l'Agriculture doit reconnaître la contribution apportée par ces centres à l'amélioration du rendement agricole. Le ministère devrait donc réserver un budget attractif à ces centres"
french.china.org.cn Wednesday, July 8, 2020 8:24:00 PM EAT
Kassim Majaliwa told
:
“It is for all these reasons your managing director is one of the six public and corporate entity leaders whose work and support the government recognizes and appreciates in its endeavour to serve Tanzanians and bring real development to the country,”
theCitizen Monday, July 6, 2020 12:55:00 PM EAT
Kassim Majaliwa noted
:
“This would help us to meet domestic demand and export the surplus to the rest of the world,”
theCitizen Saturday, July 4, 2020 1:13:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
“We thank all participants who have joined us and today we witness a large number of people that we did expect during this time of Covid-19,”
theCitizen Saturday, July 4, 2020 1:13:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"President Magufuli sends warm greetings to the wife and family of the deceased, the President of Burundi and the rest of the nation following the death of President Nkurunziza,"
allafrica Monday, June 29, 2020 9:19:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Nendeni mkaanzishe vitalu vyenu kwa ajili ya wananchi wenu, ukitaka kupunguza makali ya matumizi ya nyumbani panda mkonge ni zao linalolipa, hao waliowadanganya kilimo cha mkonge hakilipi ni waongo,”
habarileo Thursday, June 4, 2020 4:30:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Hakuna kukaa ofisini, peleka vijijini waende kulima mashamba, waende waliko wakulima wawasadie namna ya kuandaa shamba, kulima vizuri pamoja na masoko yake. Wakawasaidie mkulima mmoja mmoja, wakulima wa kati na wawekezaji,”
mtanzania Tuesday, June 2, 2020 1:12:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Leo tunalizasha tani 36,000, ukiuliza kwanini hatuzalishi, hakuna sababu. Ardhi ipo, wanaotamani kulima wapo, Serikali ipo, uzalishaji tani 36,000,”
mtanzania Tuesday, June 2, 2020 1:12:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Mashamba yamechukuliwa kwa hila tu, mitambo ya kukamua mkonge, nyumba, kila kitu kitarudi, hakuna ujanja ujanja kwenye Serikali hii,”
mtanzania Tuesday, June 2, 2020 1:12:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Awe mtu mmoja mmoja, bila kujali wa kati au mkubwa asaidiwe, akiweza eka moja, mbili alime. Wakulima wa kati, wakulima wakubwa walime zao hili. Ukipata mwekezaji kutoka popote waliopo ndani na wanaokuja wapokelewe wasaidiwe,”
mtanzania Tuesday, June 2, 2020 1:12:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"The government will give full support toward the revival of sisal production,"
xinhuanet_en Monday, June 1, 2020 6:05:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
"Hongera sana, umefanya kazi nzuri, wananchi wa Tanga msipoteze dhahabu kama hizi wengine tunatamani ziende kwetu"
habarileo Monday, June 1, 2020 2:30:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"Number of patients has declined but still we have to continue taking measures against coronavirus,"
allafrica Thursday, May 28, 2020 5:53:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"Our president has asked us to continue with our prayers for the total healing of the country from this virus that has shaken the whole world,"
allafrica Monday, May 25, 2020 10:37:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"Massive cultivation of oil palm starts in October. Each farmer, be individuals or cooperative farming groups will be provided with free-of-charge seedlings across the region,"
xinhuanet_en Saturday, May 23, 2020 8:46:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Nimetembelea eneo la mradi na kujionea shughuli zote zinazoendelea, kazi inayofanyika ni ya uhakika huku kukiwa na matumaini makubwa ya kukamilisha mradi mapema kabla ya muda uliopangwa,”
mtanzania Friday, May 15, 2020 12:15:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"Tanzanians should maintain trust in the government. You should continue to trust our experts who are behind every decision we make,"
BBCMonitoring Thursday, April 23, 2020 10:05:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tumetenga maeneo ya kutolea huduma kwa wagonjwa wanaohisiwa kuwa na ugonjwa huu, tumenunua vifaa vya kukabiliana na ugonjwa huu hususani kwa watoa huduma wa afya,”
mtanzania Thursday, April 23, 2020 2:30:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Vipaza sauti, mikeka muhakikishe vinatumika kwa usahihi ili visisambaze ugonjwa huu, kama kuna uwezekano wa kupuliza dawa tupulize,”
mtanzania Thursday, April 23, 2020 2:30:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Wafanyabiashara kote nchini wahakikishe vyakula muhimu vinauzwa kwa bei ya kawaida, hakuna sababu ya sukari kupanda, ipo tena ya kutosha, bei itaendelea kuwa ile ile, yeyote anayeuza kilo Sh 4500 chukueni hatua kali dhidi yake,”
mtanzania Thursday, April 23, 2020 2:30:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
“Tanzanians should maintain trust in the government. You should continue to trust our experts who are behind every decision we make,”
theCitizen Thursday, April 23, 2020 10:57:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisisitiza
:
“Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikadiria kuwa ifikapo mwisho wa mwezi huu wa Aprili nchi yetu ingekuwa na wagonjwa 524,716 kati yao asimilia 80 wangeonyesha dalili nyepesi na asilimia 85 wangekuwa kwenye uangalizi maalumu lakini tunamshkuru Mungu, hatujafikia hatua hiyo,”
habarileo Thursday, April 23, 2020 9:40:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
:
“As at April 21 there were 284 cases of Covid-19, among them 256 are in stable condition, seven in special care, 11 have recovered while 10 have died from the virus,”
EastAfrican Wednesday, April 22, 2020 8:01:00 PM EAT
Kassim Majaliwa added
:
“Dar es salaam city and island of Zanzibar are leading on number of infected cases so I advise more precautions to be taken,”
EastAfrican Wednesday, April 22, 2020 8:01:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo amekamatwa mara kadhaa kwa kukutwa na nyavu haramu. Wizara ilitoa aina ya nyavu zinazoruhusiwa kutumika na kamati ya Mkoa ikasimamia lakini kuna maofisa wa Wizara waliingilia zoezi hilo mara tatu na akatozwa faini mara zote,”
mwananchi Wednesday, April 15, 2020 6:46:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Kama si lazima kutoka, wananchi waendelee kutulia majumbani mwao,”
mtanzania Wednesday, April 15, 2020 2:59:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Ni muhimu wananchi wake wakapewa tahadhari juu ya namna ya kujikinga,”
mtanzania Wednesday, April 15, 2020 2:59:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Muhimu zaidi sote tuendelee kumuomba Mwenyezi Mungu ili atupunguzie makali ya ugonjwa huu,”
mtanzania Wednesday, April 15, 2020 2:59:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
“We urge people to take precaution, if it is not necessary to go out they should continue to remain at their homes”
EastAfrican Wednesday, April 15, 2020 1:01:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
“And, today you have said that civil society organisations and businesspeople are still collecting other devices so that they can be brought into the country to help us prevent further infections. We thank you very much,”
theCitizen Saturday, April 11, 2020 7:52:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about Tanzania Bara
)
:
“Leo hii Tanzania tumeanza kupitia tatizo lile lile ambalo liliwapata ninyi. Tuna wagonjwa wachache lakini tuna kundi kubwa la wale waliokutana na wagonjwa na bado tunaendelea kuwafuatilia na kuwapima kila siku,”
habarileo Saturday, April 11, 2020 2:49:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
"We are very thankful for the medical supplies we are receiving from the Chinese government and individuals. The donation is helping Tanzania to fight the virus,"
xinhuanet_en Friday, April 10, 2020 11:51:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Mchango wenu ni muhimu sana kwetu, kwa sababu tunaanza kupata uzoefu wa namna ya kupambana na ugonjwa huu,”
mwananchi Friday, April 10, 2020 10:26:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Serikali itaendelea kuhamasisha mikoa yote kuandaa makongamano ya uwekezaji na kuzindua miongozo ya uwekezaji ya mikoa inayobainisha fursa za uwekezaji kufikia nafasi ya juu ya utendaji mwaka 2025,”
habarileo Monday, April 6, 2020 11:16:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Kazi hiyo ilikwenda sambamba na ufutaji wa taarifa za wapiga kura waliopoteza sifa za kuwemo katika daftari la kudumu la wapiga,”
mwananchi Thursday, April 2, 2020 4:40:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Mtu yeyote atakayebainika kuwa na ugonjwa huo kutangazwa ni lazima bila kujali cheo chake. Awe waziri, katibu mkuu au mkurugenzi atalala palipoandaliwa. Hivyo, niwatake Watanzania kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa huo,”
mwananchi Thursday, April 2, 2020 11:29:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Pia kuwatumikia Watanzania wote kwa kuondoa kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao sambamba na kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii kwa kukamilisha na kuendelea na ujenzi wa miradi ya miundombinu ya maji, afya na elimu,”
habarileo Thursday, April 2, 2020 7:08:00 AM EAT
Kassim Majaliwa warned
:
"peddlers of fake Covid-19 information"
BBCMonitoring Tuesday, March 31, 2020 10:02:00 AM EAT
Kassim Majaliwa said
(
about John Magufuli
)
:
“We are now in a state of war. We must jointly fight it by doing whatever is within our ability to prevent the spread of the virus in our country. We must stick to the advice provided by President John Magufuli, that requires every Tanzanian to take part in this war,”
AfricaNews-English Monday, March 30, 2020 12:58:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Hii ni vita kubwa inahitaji tupigane kwa lengo la kuzuia janga hili lisisambae zaidi nchini, hivyo tuzingatie maagizo ya Rais Dk. John Pombe Magufuli ya kumtaka kila Mtanzania ashiriki kwenye vita hii,”
mtanzania Sunday, March 29, 2020 1:59:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Lengo letu ni kuhakikisha nchi inabaki salama hivyo Watanzania tuendelee kuwa na tahadhari ya kutosambaa kwa ugonjwa huu na pale tunapokwenda kwenye maeneo ya kutolea huduma tujipe nafasi kati ya mtu mmoja na mwingine,”
mwananchi Friday, March 27, 2020 2:53:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Mawaziri hakikisheni katika kipindi hiki ziara za kwenda kukagua miradi zielekezwe kwa wakurugenzi ikibidi kwa makatibu wakuu, mawaziri mnatakiwa mjikite katika kukinga Taifa na corona,”
mwananchi Tuesday, March 24, 2020 6:04:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
"Nendeni kwenye maeneo ya mikusanyiko, vituo vya mabasi kutoa elimu kwa umma na kuwaondoa hofu. Upande wa maofisini, viwandani na kwenye mgodi kuwe na utaratibu wa kutoa elimu kwa wafanyakazi kila siku asubuhi watumie hata robo saa kabla ya kuanza kazi waelekezwe namna ya kujikinga,"
bbc-swahili Sunday, March 22, 2020 5:55:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
“We must fight it and prevent new infections by strictly adhering to containment measures. This is a big war which we must fight, otherwise it will affect our economies in the region,”
AfricaNews-English Friday, March 20, 2020 12:08:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Imelazimu kuandaa mkutano huu kwa njia ya mtandao kwa kuzingatia ushauri uliotolewa na mawaziri wa afya wa SADC walioshauri kupunguza mikutano ya ana kwa ana kupunguza uwezekano wa homa ya mapafu ambayo inasambaa kwa kasi kubwa sehemu mbalimbali duniani ikiwa ni pamoja na kwenye kanda yetu,”
mtanzania Thursday, March 19, 2020 10:14:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tunaendelea kupiga hatua kubwa hadi sasa, lakini tunapaswa kuongeza kasi ya utekelezaji ili kuhakikisha malengo ya SADC yanafikiwa,”
mtanzania Thursday, March 19, 2020 10:14:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Wagonjwa wapya wawili wamepatikana kuwa na virusi hivyo. Tuna mgonjwa mmoja kutoka Zanzibar mwenye umri wa miaka 24, sampuli zake zililetwa maabara makuu na kubainika kuwa amepata maambukizi na hiyo sasa yupo kwenye uangalizi,”
habarileo Thursday, March 19, 2020 8:13:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Hatua zinachukuliwa lakini kasi inahitajika ili kufikia malengo yanafikiwa, changamoto tunazopitia ni nyingi ikiwamo tofauti za kisera, ufinyu wa bajeti na kimkakati baina ya nchi wanachama, gharama za kufanya biashara na ushiriki hafifu wa sekta binafsi,”
mwananchi Wednesday, March 18, 2020 8:49:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Rais ambaye ni mwenyekiti wa Sadc alisema ‘malengo yaliyoasisiwa na wazee wetu katika uanzishaji wa jumuiya hiyo bado hayajafikiwa, iwapo juhudi za pamoja hazitachukuliwa basi itakuwa muda mrefu kufikia maendeleo, juhudi zinahitajika,”
mwananchi Wednesday, March 18, 2020 8:49:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Hatua hizi zinalenga kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huo hapa nchini na pamoja na tahadhari hiyo, Watanzania waliopo maofisini, mashambani na maeneo ya uzalishaji mali waendelee kuchapa kazi kwa nguvu zote na huu ni wakati mzuri wa kufanya kazi ili kuzalisha mali kwa wingi,”
mtanzania Wednesday, March 18, 2020 4:37:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
(
about John Magufuli
)
:
“Lakini pia, Rais John Magufuli jana (juzi) alitangazia umma kuwa amechukua hatua kusitisha mbio za Mwenge wa Uhuru na fedha zaidi ya Sh bilioni moja zimepewa maelekezo ziende Wizara ya Afya kwa ajili ya vifaa na tiba ya ugonjwa wa corona, tayari Sh milioni 500 zimeshapelekwa Wizara ya Afya,”
mtanzania Wednesday, March 18, 2020 4:37:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Serikali inasimamisha mikusanyiko yote mikubwa ya ndani na nje ikiwamo matamasha ya muziki na michezo yote, pamoja na ile ya mashirika ya uma inayofanyika kila mwaka,”
mtanzania Wednesday, March 18, 2020 4:37:00 PM EAT
Kassim Majaliwa said
:
“All these are preliminary measures to prevent COVID-19 from spreading in Tanzania,”
theCitizen Wednesday, March 18, 2020 2:36:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Tuna mgonjwa mmoja kutoka Zanzibar ambaye sampuli zake zililetwa maabara kuu ni mjerumani (24) amepata maambukizi yupo kwenye uangalizi, lakini pia hapa jijini Dar es Salaam na mmarekani mwenye miaka 21 naye amegundulika kuwa na virusi vya corona,”
mwananchi Wednesday, March 18, 2020 10:21:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tunatangaza kusimamishia rasmi michezo yote inayokusanya idadi kubwa ya watu, makundi ya watu kama Ligi Kuu, Ligi Daraja la Kwanza, Daraja la pili na Umishumta, Umisseta na mashindano ya mashirika ya umma na michezo mingine kwa kipindi cha mwezi mmoja,”
habarileo Wednesday, March 18, 2020 8:57:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesisitiza
:
“Watanzania wenye safari zisizo za lazima kwenye nchi zenye maambukizi makubwa, wanashauriwa wasitishe safari hizo,”
mwananchi Tuesday, March 17, 2020 5:38:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Hakikisheni mnaonyesha tofauti katika kutafuta majibu ya maswali mbalimbali yanayowakabili Watanzania kuhusu mustakabali mzima wa kujiletea maendeleo,”
mwananchi Thursday, March 12, 2020 9:41:00 PM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Wanaume mpo? Wito wangu tujitokeze kupima kwa wingi, baada ya tukio hili tuzunguke hapa nyuma tupime,”
mtanzania Thursday, March 12, 2020 10:13:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Kwa sasa mvua zimekuwa zikinyesha kwa wingi, na kinachofanyika ni huduma ya kwanza katika madaraja na barabara zilizokatika kwenye maeneo mengi nchi,”
habarileo Wednesday, March 11, 2020 9:10:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Nimepita mara ya pili kukagua hatua za ujenzi na nimeridhika kuona maendeleo yake, barabara hii ya mchepuo imeondoa foleni iliyokuwepo,”
mtanzania Wednesday, March 11, 2020 8:56:00 AM EAT
Kassim Majaliwa alisema
:
“Tunaelewa mvua zinanyesha, hivyo nawaasa Watanzania kuwa watulivu wakati kazi ya ukarabati zinafanyika kwa dharura kwanza hadi hapo hizi mvua zitakapoisha,”
mtanzania Wednesday, March 11, 2020 8:56:00 AM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Nilimuuliza meneja aliyekuwepo kama wana fedha za ukaguzi, akasema anayo. Nikamuuliza kama anayo fedha ya spot maintenance, akasema anayo. Fedha hizi zote zilipaswa zitumike kwa kazi iliyopangwa, lakini hilo halikufanyika,”
mwananchi Tuesday, March 10, 2020 7:32:00 PM EAT
Kassim Majaliwa amesema
:
“Mali za iliyokuwa mamlaka ya mkonge watu waligawana kijanja. huku bodi ya mkonge ikiwa ipo na hakuna bodi nyingine iliyoshiriki. kuuza kinyume cha sheria. Serikali inataka kuona mali zote zinarudishwa na kila aliyehusika kuhujumu atachukuliwa hatua,”
mwananchi Friday, March 6, 2020 9:50:00 PM EAT
Kassim Majaliwa Amesema
:
“Watachukua hatua kwa watu wote waliohusika na upotevu wa mali zote na kwamba maamuzi hayo yamefanyika ili kuzua uvurugwaji wa muundo wa uchunguzi wa kwa sababu mali ni nyingi n azote zinatakiwa zirejeshwe Serikalini,”
mwananchi Friday, March 6, 2020 7:59:00 PM EAT
Kassim Majaliwa indiqué
:
"Les autorités ont déjà contacté leurs homologues au Kenya pour voir comment le pays peut lutter contre l'invasion de criquets qui se nourrissent des cultures vivrières et de la végétation"
french.china.org.cn Thursday, January 30, 2020 9:23:00 PM EAT
Kassim Majaliwa disse
:
“Estamos de luto pela perda de 69 pessoas. A última morreu enquanto era transferida de helicóptero para o hospital nacional em Dar es Salaam”
portaldeangola Sunday, August 11, 2019 9:20:00 PM EAT
Key Titles and Phrases | Count | Lang | Last Seen |
---|---|---|---|
waziri mkuu | 11.70% | SW | 10/08/201708/10/2017 |
minister | 38.95% | EN | 09/20/201720/09/2017 |
prime minister | 38.86% | EN | 09/20/201720/09/2017 |
waziri mkuu wa tanzania | 0.33% | SW | 09/06/201706/09/2017 |
prime minister of tanzania | 0.47% | EN | 09/01/201701/09/2017 |
ministre | 0.94% | FR | 07/20/201720/07/2017 |
premier ministre tanzanien | 1.87% | FR | 06/27/201727/06/2017 |
ministre tanzanien | 1.83% | FR | 06/27/201727/06/2017 |
premier ministre de tanzanie | 0.42% | FR | 03/16/201716/03/2017 |
ministre de tanzanie | 0.09% | FR | 03/16/201716/03/2017 |
former union president | 0.05% | EN | 12/12/201612/12/2016 |
minister for foreign affairs | 0.47% | EN | 12/06/201606/12/2016 |
premier | 2.43% | EN | 12/05/201605/12/2016 |
chief secretary | 0.05% | EN | 10/25/201625/10/2016 |
minister of education | 0.05% | EN | 10/18/201618/10/2016 |
mheshimiwa | 0.09% | SW | 09/13/201613/09/2016 |
primeiro-ministro tanzaniano | 0.28% | PT | 09/11/201611/09/2016 |
minister of tanzania | 0.47% | EN | 09/09/201609/09/2016 |
advisor | 0.19% | EN | 08/29/201629/08/2016 |
conseiller | 0.09% | FR | 08/28/201628/08/2016 |
daily news prime minister | 0.09% | EN | 08/11/201611/08/2016 |
chief of defence forces | 0.14% | EN | 07/14/201614/07/2016 |
rais | 0.05% | SW | 07/07/201607/07/2016 |
deputy | 0.09% | EN | 06/29/201629/06/2016 |
Names | Lang | Count |
---|---|---|
Kassim Majaliwa | EN | 67.16% |
Kassim Majaliwa | SW | 25.99% |
Kassim Majaliwa | FR | 5.75% |
Kassim Majaliwa | PT | 1.09% |
Type | Entity Name | Count |
---|---|---|
![]() | Waziri Mkuu | 16.53% |
![]() | John Magufuli | 12.12% |
![]() | Rais Magufuli | 4.41% |
![]() | Samia Suluhu | 3.31% |
![]() | Chama Cha | 2.81% |
![]() | Samia Suluhu Hassan | 2.71% |
![]() | Chama Cha Mapinduzi | 2.61% |
![]() | Hussein of Jordan | 1.90% |
![]() | Job Ndugai | 1.90% |
![]() | Julius Nyerere | 1.50% |
![]() | Rais Dk | 1.40% |
![]() | Afrika Mashariki | 1.20% |
![]() | Jakaya Kikwete | 1.20% |
![]() | Mkuu Wizara | 1.10% |
![]() | Benjamin Mkapa | 1.10% |
![]() | Mkuu Ofisi | 0.80% |
![]() | Hussein Mwinyi | 0.70% |
![]() | Tanzania Bara | 0.70% |
![]() | Palamagamba Kabudi | 0.70% |
![]() | Tundu Lissu | 0.70% |
![]() | Edward Lowassa | 0.60% |
![]() | Nationale Vergadering | 0.60% |
![]() | Association | 0.60% |
![]() | Commission | 0.60% |
![]() | Philip Mpango | 0.60% |
![]() | Hassan Mwinyi | 0.60% |
![]() | Bashiru Ally | 0.60% |
![]() | Tulia Ackson | 0.60% |
![]() | Ali Hassan Mwinyi | 0.60% |
![]() | Mwalimu Nyerere | 0.60% |
Type | Entity Name | Score |
---|---|---|
![]() | Gregory Teu | 0.3333 |
![]() | Rodney Thadeus | 0.25 |
![]() | Waziri Mkuu | 0.166 |
![]() | John Magufuli | 0.1148 |
![]() | Asha Juma | 0.0625 |
![]() | Rais Magufuli | 0.043 |
![]() | Samia Suluhu | 0.0324 |
![]() | Harold Nsekela | 0.0303 |
![]() | Mama Kikwete | 0.0294 |
![]() | Wiliam Lukuvi | 0.0286 |
![]() | Chama Cha | 0.0277 |
![]() | Samia Suluhu Hassan | 0.027 |
![]() | Chama Cha Mapinduzi | 0.0259 |
![]() | Job Ndugai | 0.0188 |
![]() | Cyprian Luhemeja | 0.0172 |
![]() | Hussein of Jordan | 0.0162 |
![]() | Robert Boaz | 0.016 |
![]() | Zainab Telack | 0.0152 |
![]() | Julius Nyerere | 0.015 |
![]() | Rais Dk | 0.014 |
![]() | Mkuu Ofisi | 0.0134 |
![]() | Afrika Mashariki | 0.0118 |
![]() | Jakaya Kikwete | 0.0118 |
![]() | Benjamin Mkapa | 0.0109 |
![]() | Deusdedit Kakoko | 0.0098 |
![]() | Mkuu Wizara | 0.0097 |
![]() | Najma Giga | 0.0097 |
![]() | Christine Mndeme | 0.0085 |
![]() | Tanzania Bara | 0.007 |
![]() | Hussein Mwinyi | 0.0069 |


Tools
Select your languages
Interface:
Explore Relations
Extracted quotes about
Wiliam Lukuvi said
(
about Kassim Majaliwa
)
:
"Without hypocrisy, Majaliwa has done great things,"
allafrica Monday, November 16, 2020 3:49:00 AM EAT
William Lukuvi alisema
(
about Kassim Majaliwa
)
:
“Sifa kuu ya kiongozi ni unyenyekevu, kujishusha na kusikiliza na sifa hizo Mheshimiwa Majaliwa anazo, ninaamini wote tutampitisha kwa asilimia 100 ili kuliambia taifa nini tunakwenda kukifanya kwa miaka mitano baada ya miaka mitano ya mafanikio ambayo imeleta ushindi wa kimbunga,”
habarileo Friday, November 13, 2020 10:24:00 AM EAT
Rais Magufuli alisema
(
about Kassim Majaliwa
)
:
“Hata kufanya kazi na mimi ni kazi ngumu, lazima ujipange sawasawa, na hili nawaeleza ukweli kwa sababu na mimi ni mgumu. Hili Majaliwa ameliweza,”
mwananchi Saturday, November 7, 2020 4:02:00 PM EAT
John Magufuli said
(
about Kassim Majaliwa
)
:
"Please continue trusting and having confidence in Mr Majaliwa so that he can continue to work for Ruangwa residents and Tanzanians in general. He has been helping me a lot,"
allafrica Monday, June 29, 2020 9:19:00 PM EAT
Rais Magufuli alisema
(
about Kassim Majaliwa
)
:
“Endeleeni kumuamini Mheshimiwa Majaliwa, amekuwa akinisaidia. Aendelee kuchapa kazi kwa ajili ya Ruangwa na Tanzania,”
habarileo Sunday, June 28, 2020 11:05:00 PM EAT
Paschal Shelutete said
(
about Kassim Majaliwa
)
:
“We are executing the directives from Prime Minister Kassim Majaliwa who ordered that boundaries surrounding all national parks, game and forest reserves to be clearly identified and beaconed so as to avert future land conflicts and solve the existing territorial strife between conservationists and villages surrounding protected areas,”
coastweek Tuesday, February 28, 2017 2:31:00 PM EAT
The selection and placement of stories are determined automatically by a computer program.
This site is supplied by the Situation Room of the Continental Early Warning System (CEWS) of the Peace and Security Department of the African Union Commission. The project is supported by the Joint Research Centre of the EU Commission
Please send any comments or suggestions to
The information on this site is subject to adisclaimer.