Edward Lowassa
Last updated on 2017-10-05T15:07+0300.

About this
image
License:
UNKNOWN

Extracted quotes from
Key Titles and Phrases | Count | Lang | Last Seen |
---|---|---|---|
candidate | 7.55% | EN | 09/12/2017 |
presidential candidate | 6.83% | EN | 09/12/2017 |
prime minister | 29.86% | EN | 24/11/2017 |
minister | 26.26% | EN | 24/11/2017 |
waziri mkuu | 2.88% | SW | 05/10/2017 |
challenger | 0.72% | EN | 02/10/2017 |
leader | 7.91% | EN | 12/08/2017 |
viongozi | 0.36% | SW | 09/08/2017 |
mbunge wa monduli | 0.36% | SW | 28/07/2017 |
premier | 3.24% | EN | 16/07/2017 |
chadema party leader | 0.36% | EN | 17/01/2017 |
aspirant | 0.72% | EN | 15/09/2016 |
politician | 0.72% | EN | 14/09/2016 |
president | 1.08% | EN | 07/09/2016 |
member | 6.83% | EN | 31/07/2016 |
waziri | 1.44% | SW | 31/07/2016 |
coalition presidential candidate | 0.72% | EN | 07/07/2016 |
waziri wa mambo ya nje | 1.08% | SW | 02/03/2015 |
premier | 0.36% | NL | 08/02/2008 |
tanzanian prime minister | 0.36% | EN | 22/05/2006 |
minister | 0.36% | NL | 18/05/2005 |
Names | Lang | Count |
---|---|---|
Edward Lowassa | SW | 34.65% |
Edward Lowassa | EN | 34.65% |
Edward Lowassa | SV | 3.28% |
Edward Lowassa | EU | 3.28% |
Edward Lowassa | FI | 3.28% |
Edward Lowassa | PL | 3.28% |
Edward Lowassa | ID | 3.28% |
Edward Lowassa | GL | 3.28% |
Edward Lowassa | DE | 3.28% |
Edward Lowassa | ES | 3.28% |
Edward Lowasa | SW | 2.63% |
Edward Ngoyai Lowassa | SW | 0.82% |
Edward Lowasa | EN | 0.82% |
EDWARD NGOYAI LOWASSA | SW | 0.16% |
爱德华·洛瓦萨 | ZH | 0.00% |
Edward Lowaasa | SW | 0.00% |
Edward Lowassa | FR | 0.00% |


Tools
Saturday, January 16, 2021
2:33:00 AM EAT
Select your languages
Explore Relations
Extracted quotes about
Freeman Mbowe alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Ni kweli nilikutana na Mheshimiwa Lowassa na tulizungumza, lakini siwezi kutoa kila kitu. Tulichozungumza si kwa public (watu wote), lakini muda ukifika kama itahitajika tutafanya hivyo,”
jamiiforums Tuesday, January 7, 2020 4:24:00 PM EAT
Mark Green stated
(
about Edward Lowassa
)
:
“Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years”
jamiiforums Saturday, July 20, 2019 12:51:00 AM EAT
Mark Green stated
(
about Edward Lowassa
)
:
“Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years”
jamiiforums Saturday, July 20, 2019 12:51:00 AM EAT
Bashiru Ally alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Kulikuwa na mazungumzo kwa upande wa chama baada ya kupokea maombi yake. Na yeye hakuwa mtu wa kwanza, wapo wanachama tuliwafukuza ndani ya chama wakandika barua wenyewe wakikiri makosa yao. Vikao vilikaa wakafikiriwa, wakasamehewa na Lowassa alikuwa mmoja wao,”
mwananchi Saturday, April 27, 2019 12:44:00 PM EAT
Juma Duni Haji alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Lowassa ni mtu mzima, anajua ukweli wake na hata CCM wanajua walichomfanyia. Nyuma ya uamuzi wake tumesikia misukosuko mingi, kuna mashamba, biashara, mara mkwe, lakini sisi si watoto wadogo, tunafahamu yanayoendelea ila ngoja tunyamaze,”
mtanzania Saturday, March 30, 2019 4:27:00 PM EAT
Freeman Mbowe alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Nilisikitika (Lowassa kuondoka Chadema), nikisema nilifurahi nitasema uongo, kwa sababu tulimpokea kwa nia njema. Lakini kwenda kwenye chama kingine cha siasa basi akaseme kweli, sisi tutaendelea kuijenga demokrasia. Na mjadala huu naufungia hapo,”
mtanzania Saturday, March 16, 2019 12:02:00 PM EAT
Freeman Mbowe alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Tulimpokea (Lowassa) kwa nia njema, lakini kaenda chama kingine cha siasa. Huko basi akaseme kweli na atusaidie kukieleza chama chake kipya kisiendelee kuwatesa Watanzania,”
mwananchi Saturday, March 16, 2019 11:11:00 AM EAT
John Mrema amehoji
(
about Edward Lowassa
)
:
“Kama anafikiri kura walimpa yeye kama Lowassa, kwa nini hakugombea kupitia chama kingine?”
habarileo Monday, March 11, 2019 10:43:00 AM EAT
John Mrema amesisitiza
(
about Edward Lowassa
)
:
“Kuna kitu Lowassa anasahau, labda tumkumbushe tu kura zile zilikuwa za watu ambao walihitaji mabadiliko na asifikiri ni watu ambao atawageuza geuza tu leo njooni huku kesho geukieni huku,”
habarileo Monday, March 11, 2019 10:43:00 AM EAT
Humphrey Polepole alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Kikao cha tawi kilijadili barua ya Lowassa na kikaridhia Lowassa kurudi CCM,”
mtanzania Sunday, March 10, 2019 11:34:00 AM EAT
Humphrey Polepole alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Napenda kukupa habari njema bwana Lowassa, kikao cha tawi kimeridhia kujiunga na CCM, kama haitoshi kikao cha kamati ya siasa ya kata leo kimekaa na kukubali, leo asubuhi, kamati ya siasa ya halmashauri kuu ya wilaya na kikao kimeridhia kurejea CCM,”
mwananchi Saturday, March 9, 2019 8:00:00 PM EAT
Rais Magufuli alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Ndugu zangu kama alivyozungumza, Lowassa ametumia maneno mafupi, amerudi nyumbani na nyumbani ni hapa CCM, ndio maana amesimama kwenye jengo la Makao Makuu Ofisi ndogo ya CCM,”
mtanzania Saturday, March 9, 2019 12:29:00 PM EAT
Frederick Sumaye alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Nilikwenda kwa sababu ya kutaka kuimarisha upinzani ili kujenga demokrasia ya kweli nchini. Lowassa alikuja na watu kama 10 hivi au zaidi sina takwimu,”
mwananchi Wednesday, March 6, 2019 12:43:00 PM EAT
Freeman Mbowe alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Hatukumkaribisha Lowassa peke yake, tumemkaribisha Lowassa na mamilioni ya Watanzania wengi,”
mwananchi Tuesday, March 5, 2019 11:34:00 AM EAT
Zitto Kabwe alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Kamwe sikuwa na hata chembe ya mashaka kuwa mzee Lowassa angeweza kutuongoza wanasiasa vijana kwenye upinzani na kutupa uzoefu katika uongozi. Hata hivyo nadhani kuna sababu zenye nguvu zaidi zilizomfanya atumie haki yake ya kikatiba kujiunga tena na CCM,”
mwananchi Tuesday, March 5, 2019 11:34:00 AM EAT
Joseph Selasini alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Lowassa alikuja kwetu baada ya kudharauliwa, kubezwa na kukataliwa na chama ambacho alikitumikia kwa muda mrefu,”
mwananchi Sunday, March 3, 2019 12:24:00 PM EAT
Joseph Selasini amesema
(
about Edward Lowassa
)
:
"Lowassa alikuja kwetu baada ya kudharauliwa, kubezwa na kukataliwa na chama ambacho alikitumikia kwa muda mrefu, tulimchukua tukijua alikua na mchango katika kukuza demokrasia nchini na kwa maendeleo ya Taifa hili, ni dhahiri upo mchango wake ambao aliongeza katika chama chetu na hatuwezi kuudharau,"
mwananchi Saturday, March 2, 2019 5:38:00 PM EAT
Rais Magufuli alisema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Ndugu zangu kama alivyozungumza, Lowassa, ametumia maneno mafupi, amerudi nyumbani na nyumbani ni hapa CCM, ndiyo maana amesimama kwenye jengo la Makao Makuu Ofisi ndogo ya CCM,”
mtanzania Saturday, March 2, 2019 11:12:00 AM EAT
Uhuru Kenyatta said
(
about Edward Lowassa
)
:
“Today my friend Lowassa campaigned for me in his stronghold of Suswa, Narok. He also advised me how to be an Opposition Leader,”
kenyan-post Saturday, August 5, 2017 2:15:00 PM EAT
Victor Victor writes
(
about Edward Lowassa
)
:
"You must have paid hugely for the opinion poll and such figures are good to look at for those interested in ratings. But I am disturbed by the kind of writing where you say Lowassa is 'trailing' Magufuli and 'by far,'"
allafrica Monday, November 7, 2016 5:27:00 PM EAT
Victor Victor writes
(
about Edward Lowassa
)
:
"You report that your opinion poll consultants, Infotrak, have recorded President Magufuli's '54. 6 per cent popularity rating compared to 27 per cent of his main presidential election rival and former Prime Minister Edward Lowassa of the main opposition party, Chadema... ' "
allafrica Monday, November 7, 2016 5:27:00 PM EAT
Mur Mohammed said
(
about Edward Lowassa
)
:
“I know the President was agitated because of the demonstration of massive support which even his friend Edward Lowassa alluded to. The Maasai are very clear where they are and where they are headed,”
nation-ke Thursday, September 15, 2016 11:25:00 PM EAT
Augustine Mrema amesema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Hata angekuja Lowassa sasa, nitamuuliza mwaka 1992 wakati natoka CCM nilikwambia tutoke sasa maji yamechemka tukiweka unga tutapata ugali, ukagoma Lowassa,”
mwananchi Tuesday, August 2, 2016 3:48:00 AM EAT
Augustine Mrema amesema
(
about Edward Lowassa
)
:
“Hata angekuja Lowassa sasa, nitamuuliza mwaka 1992 wakati natoka CCM nilikwambia tutoke sasa maji yamechemka tukiweka unga tutapata ugali, ukagoma Lowassa,”
mwananchi Tuesday, August 2, 2016 3:48:00 AM EAT