Taifa Stars
Last updated on 2015-03-16T16:16+0300.

About this image

Key Titles and Phrases | Count | Lang | Last Seen |
---|---|---|---|
captain | 12.50% | EN | 17/10/2016 |
assistant coach | 75.00% | EN | 16/03/2015 |
head coach | 12.50% | EN | 28/02/2014 |
Names | Lang | Count |
---|---|---|
Taifa Stars | EN | 86.15% |
Taifa Stars | SW | 10.77% |
Taifa Stars | FR | 2.69% |
Taifa Stars | DE | 0.38% |


Tools
Saturday, December 14, 2019
3:54:00 AM EAT
Select your languages
Explore Relations
Extracted quotes about
Zdravko Logarusic alisema
(
about Taifa Stars
)
:
“Tumejiandaa kukabiliana na timu ya Taifa ya Tanzania, tumeiona katika mechi zao zilizopita ni timu ambayo ukikutana nayo inakupa changamoto nyingi ina makocha wapya ambao wanaijenga timu siku hadi siku, hatutaweza kuwadharau katika mechi ya kesho (leo) tutaingia kwa kutafuta matokeo,”
habarileo Sunday, September 22, 2019 12:36:00 PM EAT
Juma Kaseja alisema
(
about Taifa Stars
)
:
“Mpira ndio maisha yangu na ili nifanye vizuri nahitaji mazoezi hivyo naendelea na mazoezi ili kujiweka sawa kwani natamani Taifa Stars ifanye vizuri tufike mbali,”
habarileo Saturday, July 20, 2019 1:52:00 PM EAT
Charles Mkwasa alisema
(
about Taifa Stars
)
:
“Tumpe muda, pamoja na kufungwa lakini tumepambana. Taifa Stars kuifunga Senegal ingekuwa jambo kubwa,”
mwananchi Thursday, July 4, 2019 12:16:00 PM EAT
Paul Makonda aliandika
(
about Taifa Stars
)
:
“Hongereni sana Taifa Stars mmeitangaza nchi iwe kwa kufungwa au kutoka raundi ya kwanza. Kupitia nyie watu wameijua Tanzania,”
habarileo Wednesday, July 3, 2019 10:17:00 AM EAT
Hamisi Kigwangalla aliandika
(
about Taifa Stars
)
:
"Nitumie nafasi hii kukukaribisha Krepin Diatta kuja Tanzania kutalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo imetoka kutuzwa kuwa bora zaidi barani Afrika na Pori la Akiba kubwa zaidi Afrika, Selous. Tutagharamia safari yako hiyo,"
tuko Saturday, June 29, 2019 4:36:00 PM EAT
Rais Magufuli alisema
(
about Taifa Stars
)
:
"Makonda umesema ukienda Misri Taifa Stars tutashinda kutokana na motisha ya ushangiliaji, panda ndege nenda si umesema tutashinda nenda"
jamiiforums Friday, June 28, 2019 4:31:00 PM EAT
Rais Magufuli alisema
(
about Taifa Stars
)
:
"Makonda umesema ukienda Misri Taifa Stars tutashinda kutokana na motisha ya ushangiliaji, panda ndege nenda si umesema tutashinda nenda"
jamiiforums Friday, June 28, 2019 4:31:00 PM EAT
Juma Nkamia added
(
about Taifa Stars
)
:
“Taifa Stars, the national team, is the government team. The government has to invest money in the national team,”
phnompenhpost Thursday, June 27, 2019 7:17:00 AM EAT
Juma Nkamia added
(
about Taifa Stars
)
:
“Taifa Stars, the national team, is the government team. The government has to invest money in the national team,”
citizen Wednesday, June 26, 2019 1:31:00 PM EAT
Juma Nkamia added
(
about Taifa Stars
)
:
“Taifa Stars, the national team, is the government team. The government has to invest money in the national team,”
tribune Wednesday, June 26, 2019 10:51:00 AM EAT
Juma Nkamia added
(
about Taifa Stars
)
:
"Taifa Stars, the national team, is the government team. The government has to invest money in the national team,"
nation-ke Wednesday, June 26, 2019 9:53:00 AM EAT
Juma Nkamia added
(
about Taifa Stars
)
:
“Taifa Stars, the national team, is the government team. The government has to invest money in the national team,”
themalaymailonline Wednesday, June 26, 2019 7:24:00 AM EAT
Juma Nkamia added
(
about Taifa Stars
)
:
"Taifa Stars, the national team, is the government team. The government has to invest money in the national team,"
pulse Wednesday, June 26, 2019 5:00:00 AM EAT
Paul Makonda alisema
(
about Taifa Stars
)
:
"Nimeumizwa na matokeo ya Taifa Stars, lakini nimeumizwa zaidi kwa watu kuwabeza wachezaji wetu ambao wametubeba watanzania ambao ndani ya miaka 30, haikuwezekana lakini wao wamepambana mpaka tupo Afcon leo hii,"
mwananchi Tuesday, June 25, 2019 9:07:00 PM EAT
Rais Magufuli amesema
(
about Taifa Stars
)
:
“Mwanzo wa Taifa Stars siyo mbaya, kwanza wamefungwa tugoli tuwili tu na timu kubwa kama ile yenye wachezaji wengi Ulaya, nina imani watafanya vizuri tuendelee kuwaombea na kuwashingilia, ”
mtanzania Tuesday, June 25, 2019 8:40:00 PM EAT
Harrison Mwakyembe amesema
(
about Taifa Stars
)
:
“Kuna maneno mengi yanasemwa kuhusu kocha (wa timu ya Taifa) napenda kuwe na mjadala mpana baada ya mashindano haya,”
mwananchi Tuesday, June 25, 2019 4:55:00 PM EAT
Job Ndugai amesema
(
about Taifa Stars
)
:
“Wabunge wakienda peke yao na kurudi peke yao haileti picha nzuri. Wajumbe wa kamati ya Bajeti tulimwambia waziri wa fedha kwamba hakuna fedha kwa ajili ya timu ya Taifa wakasema zipo za timu ya chini ya miaka 17. Waziri wa Michezo mtamnyonga bure hawezi kusema kila siku,”
mwananchi Tuesday, June 25, 2019 4:55:00 PM EAT
Emmanuel Emenike alisema
(
about Taifa Stars
)
:
“Tunachokifanya sasa ni kuangalia jinsi tunaweza kukifanya kikosi cha Taifa Stars kuwa bora na bora zaidi tunapokwenda katika mechi zetu,”
habarileo Thursday, June 13, 2019 12:28:00 PM EAT
Emmanuel Emenike alisema
(
about Taifa Stars
)
:
“Tunatakiwa kuangalia kwa ukubwa, hii ni timu ya Taifa na bila nidhamu huwezi ukafanikiwa kwenye mpira hivyo anaamini kikosi nilichokichagua kitaleta matokeo yenye utofauti na kufanya vema,”
mtanzania Saturday, June 8, 2019 11:56:00 AM EAT