Jakaya Kikwete said
:
“Our ambition in Global Partnership for Education (GPE) is to provide quality education to every single child. It sounds simple, but it is not easy because too many children are out of school and girls are in the majority,” “GPE is dedicated to bringing quality education for most marginalised children. When we began 20 years ago, we partnered with seven low-income countries; today, GPE is working with 76 countries”
thepeninsulaqatar Monday, March 28, 2022 10:25:00 AM EAT
Jakaya Kikwete said
(
about Rupiah Banda
)
:
“Tanzania, has lost a great friend and a comrade in arms. During his time as Zambia’s diplomat, foreign minister and later, President, he was instrumental in promoting and advancing the friendship and bilateral relations between our two brotherly nations. The excellent bilateral, political, diplomatic and social- economic relations between Zambia and Tanzania, are what they are today, thanks in many ways, to the contribution made by his Excellency, Rupiah Bwezani Banda. There is also Rupiah Banda’s foot print in the liberation of the nations of Southern Africa, in the regional integration agenda under the auspices of SADC. At continental level, he will be remembered for being a staunch believer and promoter of African unity and at the global level, he will be remembered as a promoter of world peace and a tireless fighter for a fair and just political and economic order,”
maravipost Wednesday, March 23, 2022 5:53:00 PM EAT
Jakaya Kikwete said
(
about Rupiah Banda
)
:
“Tanzania, has lost a great friend and a comrade in arms. During his time as Zambia’s diplomat, foreign minister and later, President, he was instrumental in promoting and advancing the friendship and bilateral relations between our two brotherly nations. The excellent bilateral, political, diplomatic and social- economic relations between Zambia and Tanzania, are what they are today, thanks in many ways, to the contribution made by his Excellency, Rupiah Bwezani Banda. There is also Rupiah Banda’s foot print in the liberation of the nations of Southern Africa, in the regional integration agenda under the auspices of SADC. At continental level, he will be remembered for being a staunch believer and promoter of African unity and at the global level, he will be remembered as a promoter of world peace and a tireless fighter for a fair and just political and economic order,”
maravipost Saturday, March 19, 2022 12:57:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Unajua unapochaguliwa ukiwa umejiandaa siyo tatizo kwani unakuwa tayari una mipango umeshaiandaa, lakini unapochaguliwa kabla hujajiandaa ni changamoto mimi mwaka 1995 niliomba lakini kura hazikutosha, lakini baada ya hapo nilijipanga kwa kuweka mipango yangu vizuri kwenye sekta mbalimbali,”
habarileo Friday, February 4, 2022 6:35:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Amefanya mambo makubwa na chama kimebaki vile vile na mambo mazuri yanakuja kwani maono yake na mtazamo wake unaonesha njia kwani hiyo ndiyo sifa ya kiongozi kwani ni kiongozi mchapa kazi, hodari na jasiri kikubwa tumuunge mkono,”
habarileo Friday, February 4, 2022 6:35:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Chagueni viongozi ndani ya chama ambao wazuri na tusichague viongozi ambao wanatanguliza maslahi yao binafsi bali maslahi ya chama watakaotupeleka mbele na ambao hawatatukwamisha, tuwakatae watakaotusababishia migogoro,”
habarileo Friday, February 4, 2022 6:35:00 AM EAT
Jakaya Kikwete said
:
“The funding generated through this initiative will help governments tackle the learning crises at their doorstep, providing additional funding on better terms, and making sure these resources are invested in effective, sustainable education programs,” “The world continues to face a deep education crisis, leaving over 250 million of the most vulnerable children behind. We need more and better education funding through innovative mechanisms, increased domestic financing and international donor support”
arabnews Tuesday, December 21, 2021 3:46:00 AM EAT
Jakaya Kikwete said
:
“The funding generated through this initiative will help governments tackle the learning crises at their doorstep, providing additional funding on better terms, and making sure these resources are invested in effective, sustainable education programs,” “The world continues to face a deep education crisis, leaving over 250 million of the most vulnerable children behind. We need more and better education funding through innovative mechanisms, increased domestic financing and international donor support”
arabnews Tuesday, December 21, 2021 2:44:00 AM EAT
Jakaya Kikwete said
:
“The funding generated through this initiative will help governments tackle the learning crises at their doorstep, providing additional funding on better terms and making sure these resources are invested in effective, sustainable education programmes,”
thenational Tuesday, December 14, 2021 6:15:00 PM EAT
Jakaya Kikwete said
:
"We must go beyond merely promising sexual and reproductive health and rights to ensuring that people have the ability to exercise their rights by removing the many barriers they face in health systems, families and societies,"
petra-en Tuesday, November 16, 2021 4:40:00 PM EAT
Jakaya Kikwete said
:
“We urgently need the Panel because of our circumstances. One in three Africans face water insecurity, about 400-million Africans have no access to safe drinking water and about 700-million do not have access to good sanitation. The economic and service sectors do not get the water they need for optimal performance, thus impeding socioeconomic growth and development,”
mg Friday, November 12, 2021 12:46:00 PM EAT
Jakaya Kikwete said
:
“I am delighted to inform this assembly that GWP has joined hands with the African Ministers’ Council on Water (AMCOW), African Union Development Agency (AUDA-NEPAD), African Development Bank (AfDB), UNICEF, UNDP and Global Centre for Adaptation (GCA) to convene the Panel . Work of appointing persons to be members of the Panel is ongoing by the convenors. We in Africa can’t wait to see the Panel established and start working,”
mg Friday, November 12, 2021 12:46:00 PM EAT
Jakaya Kikwete said
:
“The AfDB estimates that US$64-billion will be needed to be invested annually to meet the 2025 Africa Water Vision for Water Security for all,” “Currently, the figure stands between $10-billion and $19-billion, thus leaving a huge investment gap to be filled”
mg Friday, November 12, 2021 12:46:00 PM EAT
Jakaya Kikwete said
:
“It is of utmost critical urgency that increased attention is paid to adaptation interventions and investments related to water retention, storage, rainwater harvesting, water source protection, and water infrastructure,”
mg Friday, November 12, 2021 12:46:00 PM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Suala la mirathi ni jambo linalostahili kuwekwa sawa kutokana na umuhimu wake, ni vizuri taasisi zetu za kisheria na wadau wote wa masuala ya utoaji haki kutumia nafasi zao katika kuielimisha jamii,”
habarileo Saturday, October 23, 2021 11:41:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Kama hawatakula kiapo hawataruhusiwa kuingia na kufanya kazi katika hospitali yoyote,”
habarileo Friday, May 28, 2021 5:37:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Kwa nchi zilizoendelea zikiwamo Sweden, Amerika na nyinginezo, wanafunzi waliendelea kusoma online na kuhitimu online, kwa nchi zinazoendelea watoto walibaki nyumbani na kucheza rede. Hivyo matumizi ya teknolojia ni ya muhimu katika nyanja zote,”
habarileo Wednesday, May 19, 2021 1:40:00 AM EAT
Jakaya Kikwete wrote
:
''I spared some time to watch #SlayMovieOnNetflix and I was delighted to see @IdrisSultan featuring in it. I congratulate him for being the first Tanzanian to feature on #Netflix and looking forward to seeing more of him in the future.''
tuko Wednesday, April 28, 2021 10:28:00 PM EAT
Jakaya Kikwete anasema
:
“Kwenye NEC, tulikuwa tunakaa naye na alikuwa mchangiaji mzuri wa mawazo. Unajua wakati mwingine kuna watu wanakuwa wajumbe lakini toka amechaguliwa mpaka siku uchaguzi unaofuata mwingine, hata siku moja hajasimama kusema jambo lolote, wako wengi tu, lakini Samia alikuwa mshiriki mzuri sana anayetoa mawazo mazuri mazuri, mawazo yanayojenga,”
habarileo Wednesday, April 28, 2021 2:37:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Mimi sifikirii kwamba kutakuwa na utaratibu tofauti na tukitengeneza utaratibu huo tofauti utakuwa hauna maslahi kwa chama na taifa... Busara iliyotumika kutotenganisha kofia mbili urais na uenyekiti wa chama iendelee kutumika,”
habarileo Wednesday, April 28, 2021 2:37:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
(
about John Pombe Magufuli
)
:
"Nilipokuwa Rais, Hayati Magufuli alikuwa Waziri wangu kwa miaka 10, alikuwa mmoja wa mawaziri niliowaamini zaidi na kumtumaini sana,"
tuko Friday, March 26, 2021 7:37:00 PM EAT
Jakaya Kikwete alisema
(
about Chama Cha
)
:
“Wapo wazee wastaafu wakina mzee Mangula walinifuata na kuniambia vipi fulani usimuweke namwambia nimesikia, majina yale kwa mara ya kwanza niliyatoa kwenye kikao cha maadili ya Chama Cha Mapinduzi, mjadala mkali kweli kwa nini umemuacha fulani, hawa wepesi, hawatoshi,”
habarileo Friday, March 26, 2021 4:50:00 PM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Niliwaaga ndugu zangu kuwambia warudi makwao bila kuwambia nini kimetokea nikakatiza mazungumzo yao, nikaingia ndani nikasema hii ni kweli au uzushi, nililia, moyo uliuma sana, sikulia kwa sauti lakini machozi yalinitoka,”
habarileo Friday, March 26, 2021 4:50:00 PM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“JPM alinikabidhi kiwanja Chato, akanikabidhi na hati, akaniambia we Mkwere haya ujenge, nikamwambia nisipojenga akaniambia utajua. Ilikuwa nimatamanio yangu akimaliza urais wake siku moja tuwe majirani tukae pamoja.”
habarileo Friday, March 26, 2021 4:50:00 PM EAT
Jakaya Kikwete amesema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Nilipoanza nilianza naye Wizara ya Ardhi nikamwambia kuwa hawa watu wa Ardhi wameshindikana wanagawa Viwanja mara nne nne wanakupa rushwa, hebu nenda pale, ukininyooshea hiyo basi, amepigana akafikisha mahali fulani lakini mmh…hao jamaa wagumu kweli…sijui kama Rais tutapata dawa ya watu wa ardhi ukipata hiyo watu tutakupongeza…,”
mtanzania Friday, March 26, 2021 3:05:00 PM EAT
Jakaya Kikwete amesema
:
“Namimi nilikuwa nataka watu wanikumbuke kwa kuunganisha Barabara za lami, nikasema kwamba jembe langu huyu basi nakupeleka wizara ya ujenzi nakuhakikishia tutakaa hapa kwa miaka mitano sikusudii kukubadili lakini tukubaline kwanza Barabara za kufanyia kazi, akasema wewe mzee niwezeshe tu mengine niachie, na nikweli nimestaafu kama kuna mko hatujaubgajisha ni Kigoma na Katavi pia Arusha na Mara,”
mtanzania Friday, March 26, 2021 3:05:00 PM EAT
Jakaya Kikwete amesema
:
“Kwani alikuwa mchapakazi lakini alikuwa havumilii uzembe, wizi wala ubadhirifu, alipojitokeza kuomba uteuzi wa kuwa mgombea urais ndani ya CCM 2015sikusita kumpendekeza katika majina matano niliyoyafikisha kwenye kikao cha juu cha Chama jina la Magufuli lilikuwa la kwanza,”
mtanzania Friday, March 26, 2021 3:05:00 PM EAT
Jakaya Kikwete amesema
:
“Ooh JK anachukua JPM unamchukiaje mtu ambaye ulimkabizi ilani ya Chama, Mimi na yeye tulikuwa tukutane Machi, alipokuwa ziarani mkoani Dar es Salaam anikabidhi nyumba aliyonijengea,”
mtanzania Friday, March 26, 2021 3:05:00 PM EAT
Jakaya Kikwete amesema
:
“Kwa kweli kifo chake hakikutarajiwa, tulitegemea kwa kweli aendelee kuliongoza taifa kwani katika mhula wake wa kwanza aliliongoza taifa vizuri sana.naamini kuwa yale ambayo hayakukamilika, Rais wa Jamhuri ya Tanzania mhe. Samia Suluhu Hassan atayaendeleza kikamilifu,”
habarileo Monday, March 22, 2021 3:28:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisisitiza
(
about Rais Magufuli
)
:
“Nampongeza Rais Samia kwa hotuba fupi na nzuri aliyoitoa baada ya kuapishwa na yenye kujenga imani na kuleta matumaini. Tumuombee Rais wetu kwa Mwenyezi Mungu amuongoze vyema kwa kila uamuzi atakaochukua na kila hatua atakayopiga,”
habarileo Sunday, March 21, 2021 7:45:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
(
about Rais Magufuli
)
:
“Nimepata tabu kuandika kwa kifupi kuelezea simanzi na masikitiko yangu kwa msiba mkubwa ulioukumba nchi yetu kwa kuondokewa na mpendwa wetu Mheshimiwa Rais Magufuli, nimelazimika kuyaambatanisha hapa chini, Mwenyezi Mungu amuwekea mahali pema, peponi”
habarileo Sunday, March 21, 2021 7:45:00 AM EAT
Jakaya Kikwete alisema
(
about Benno Ndulu
)
:
“Nilipokuwa Rais nilitamani sana Profesa Ndulu awe mshauri wangu katika masuala ya uchumi, lakini nilishindwa kumtoa katika mambo ya kimataifa ambako alikuwa tegemeo kubwa kwa Benki ya Dunia,”
habarileo Wednesday, February 24, 2021 7:11:00 AM EAT
Jakaya Kikwete said
:
''I first went to school in around 1956 in Lushoto. But, you know had started school when I was very young and I could play a lot.''
tuko Tuesday, January 12, 2021 2:44:00 PM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“aidha mwaka 2018 pekee yake, walipokea bodaboda 1813, abiria 1104, na wapitanjia 976,”
habarileo Sunday, December 13, 2020 2:07:00 PM EAT
Jakaya Kikwete added
:
“Tanzania was not like this in 2015. You have done a lot and Tanzanians know the progress. Keep on with the struggle and I believe you will win. I don’t see any reasons why you should not,”
theCitizen Monday, October 19, 2020 4:08:00 PM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Nchi yetu ina umoja amani na utuluivu; zipo nchi za wenzetu zinahangaika kuutafuta umoja utulivu na amani kwa sababu ukabila na udini unawatafuna; wanagawanywa kutokana na maeneo wanayotoka,”
mwananchi Sunday, October 18, 2020 12:56:00 PM EAT
Jakaya Kikwete amesema
:
“Nchi yetu ina umoja amani na utulivu. Zipo nchi za wenzetu zinahangaika kuutafuta umoja utulivu na amani kwa sababu ukabila unawatafuna na udini wanawagawanya kutokana na maeneo wanayotoka,”
mwananchi Saturday, October 17, 2020 9:11:00 PM EAT
Jakaya Kikwete amesema
:
“Kazi kubwa imefanyika kwenye nyanja zote ninaposema hivyo sio kwamba mambo yameenda shwari kabisa lakini vituo vya afya viongezwe, hospitali ziongezwe na nyingine ziboreshwe kama ile ya moyo na figo pale Dodoma,”
mwananchi Saturday, October 17, 2020 9:11:00 PM EAT
Jakaya Kikwete amesema
:
“Tumchague Magufuli aendelee kuongoza nchi yetu, tumpe miaka mitano mingine amalize ngwe yake. CCM ina sera nzuri za kudumisha masilahi ya kisiasa, kijamii, kiutamaduni, kiusalama na watu wake. Hakuna chama kingine kinachofanana na CCM mimi sikijui,”
habarileo Saturday, October 17, 2020 8:52:00 PM EAT
Jakaya Kikwete alisema
:
“Tutafute namna ya kuzitazama gharama hizi. Na hili ni suala la kukaa wadau na Wizara ya Afya na hili litazamwe hata watu binafsi. Lakini kwa Muhimbili ambayo ni hospitali ya Serikali, lazima tulitazame hili kwa sababu na kodi zetu zinakwenda kule,”
mtanzania Tuesday, October 13, 2020 2:10:00 PM EAT
Jakaya Kikwete anasema
(
about Benjamin Mkapa
)
:
“Kwa hatua hiyo barua bubu zilikwenda kwake huku wakijaribu kutulaumu lakini Mkapa alikuwa thabiti na alikuwa na sisi. Alikuwa kiongozi thabiti ambaye hakujali kusifiwa akitambua kuwa unaweza kusifiwa ili uharibu,”
mtanzania Sunday, August 2, 2020 5:12:00 PM EAT
Jakaya Kikwete estimé
:
"C'est un grand deuil, c'est la nation tout entière qui est secouée"
lamontagne Wednesday, March 11, 2015 10:46:00 PM EAT
Jakaya Kikwete estimé
:
"C'est un grand deuil, c'est la nation tout entière qui est secouée"
afp-fr Wednesday, March 11, 2015 10:18:00 PM EAT
Jakaya Kikwete estimé
:
"C'est un grand deuil, c'est la nation tout entière qui est secouée"
rtl-BE Wednesday, March 11, 2015 8:24:00 PM EAT