Abdallah Possi aliongeza
:
“Tanzania ili kuhamia kwenye matumizi ya gesi asilia lazima tuangalie changamoto na kuzieleza vizuri muundo wa magari na miundombinu ya gesi ndani ya magari isiwe kikwazo cha usafiri na usafirishaji, mfano mahali pa kuweka mtungi wa gesi isiwe sehemu ya kuweka mizigo,”
habarileo Sunday, June 12, 2022 11:01:00 AM EAT
Abdallah Possi amesema
:
“Diamond akiwa na uongozi wake nilikuwa nao leo, nimezungumza nao, na atafanya shoo kesho kwenye ukumbi maarufu Columbia Halle,”
mwananchi Friday, September 6, 2019 7:24:00 PM EAT
Abdallah Possi alieleza
:
“Lakini zaidi utasaidia katika suala uhifadhi wa mazingira kwani tumeona jinsi mazingira yanavyoathirika kwa ukataji wa miti kwa shughuli mbali mbali zikiwamo za kuni, ambako Jiji la Dar es Salaam ni mtumiaji mkubwa wa nishati hiyo,”
habarileo Friday, August 16, 2019 10:26:00 AM EAT
Abdallah Possi alisema
(
about Tundu Lissu
)
:
"Rais alitoa taarifa ya kulaani tukio hilo na kuagiza uchunguzi wa kina wa haraka. Kwa nyakati tofauti Rais amemtuma makamu wake, Rais mstaafu na viongozi wengine wa Serikali kumtembelea Lissu akiwa hospitali akiwa Dodoma, Nairobi na Brussels,"
jamiiforums Saturday, June 29, 2019 9:02:00 AM EAT
Abdallah Possi alisema
(
about Tundu Lissu
)
:
"Rais alitoa taarifa ya kulaani tukio hilo na kuagiza uchunguzi wa kina wa haraka. Kwa nyakati tofauti Rais amemtuma makamu wake, Rais mstaafu na viongozi wengine wa Serikali kumtembelea Lissu akiwa hospitali akiwa Dodoma, Nairobi na Brussels,"
jamiiforums Saturday, June 29, 2019 2:06:00 AM EAT
Abdallah Possi alisema
(
about Tundu Lissu
)
:
"Rais alitoa taarifa ya kulaani tukio hilo na kuagiza uchunguzi wa kina wa haraka. Kwa nyakati tofauti Rais amemtuma makamu wake, Rais mstaafu na viongozi wengine wa Serikali kumtembelea Lissu akiwa hospitali akiwa Dodoma, Nairobi na Brussels,"
bbc-swahili Friday, June 28, 2019 11:26:00 PM EAT
Abdallah Possi alisema
(
about Tundu Lissu
)
:
"Rais alitoa taarifa ya kulaani tukio hilo na kuagiza uchunguzi wa kina wa haraka. Kwa nyakati tofauti Rais amemtuma makamu wake, Rais mstaafu na viongozi wengine wa Serikali kumtembelea Lissu akiwa hospitali akiwa Dodoma, Nairobi na Brussels,"
bbc-swahili Friday, June 28, 2019 8:15:00 PM EAT
Abdallah Possi alisema
(
about Tundu Lissu
)
:
"Rais alitoa taarifa ya kulaani tukio hilo na kuagiza uchunguzi wa kina wa haraka. Kwa nyakati tofauti Rais amemtuma makamu wake, Rais mstaafu na viongozi wengine wa Serikali kumtembelea Lissu akiwa hospitali akiwa Dodoma, Nairobi na Brussels,"
bbc-swahili Monday, February 4, 2019 7:48:00 PM EAT
Abdallah Possi alisema
(
about Tundu Lissu
)
:
“Rais alitoa taarifa ya kulaani tukio hilo na kuagiza uchunguzi wa kina wa haraka. Kwa nyakati tofauti Rais amemtuma makamu wake, Rais mstaafu na viongozi wengine wa Serikali kumtembelea Lissu akiwa hospitali akiwa Dodoma, Nairobi na Brussels,”
mwananchi Monday, February 4, 2019 9:39:00 AM EAT
Abdallah Possi amesema
:
“Ni vema sasa mbunge angepima ishara hizo njema za Rais kwenye madai anayotoa yasiyo na msingi,”
mwananchi Sunday, February 3, 2019 1:05:00 PM EAT
Abdallah Possi ameongeza
:
“Hadi sasa vyombo vya sheria hawajapata ushirikiano wa mbunge huyo na dereva wake ili kupata taarifa muhimu za siku hiyo. Uchunguzi kwa Tanzania bado ni muhimu na bado unawasubiri wao kwa kuwa walishuhudia kwa macho ili waeleze kilichotokea,”
mwananchi Sunday, February 3, 2019 1:05:00 PM EAT
Abdallah Possi alisema
(
about Tundu Lissu
)
:
“Kwenye nchi yoyote ya demokrasia ya vyama vingi, kuendelea au vinginevyo kunategemea jinsi vilivyojipanga kuuza itikadi zao na sera zao. kama vile Lissu na wanachama wa chama chake ambavyo wamekuwa wakisema wataiondoa CCM kwenye uwanja wa siasa,”
mwananchi Sunday, February 3, 2019 1:05:00 PM EAT
Abdallah Possi amesema
:
"Kuna faida nyingi katika kujitolea kwanza ni jamii inayokuzunguka na nchi kwa ujumla kupata ufumbuzi na msaada wa matatizo pili ni uzoefu hasa pale unapopata elimu na hujapata ajira na hujui ni mbinu gani za kufanya,"
mwananchi Monday, December 5, 2016 7:00:00 PM EAT
Abdallah Possi said
:
"Among contributing factors that contributes to the associations failure to access funding from international organisations such as the European Union (EU), United Nations (UN) is because of disorganisation,"
allafrica Monday, October 17, 2016 4:49:00 PM EAT
Abdallah Possi noted
:
"I understand that there is a set of ethics and standards in research but, in case of discoveries of harassment against people with disabilities should be reported immediately for measures to be taken,"
allafrica Monday, October 17, 2016 4:49:00 PM EAT
Abdallah Possi said
:
"We are also aware of the unemployment situation...we are happy to see that more and more youth are embracing self-employment, and the government will continue to widen the spectrum of both formal and informal employment,"
allafrica Wednesday, October 12, 2016 1:05:00 PM EAT
Abdallah Possi said
:
"We are also aware of the unemployment situation...we are happy to see that more and more youth are embracing self-employment, and the government will continue to widen the spectrum of both formal and informal employment,"
allafrica Wednesday, October 12, 2016 8:31:00 AM EAT
Abdallah Possi alisema
:
“Tangu juzi Ofisi ya Waziri Mkuu tulikuwa na vikao na hata leo (jana) tumekuwa na vikao na wafanyakazi, yote ni kujadili namna ya kuhamia Dodoma,”
mwananchi Thursday, July 28, 2016 6:23:00 AM EAT
Abdallah Possi said
:
"You have to discuss ways of lifting these marginalized persons from financial exclusion. When these people are shifted from financial exclusion and become capacitated financially, they will refrain from begging and the government's burden to provide social services to them will be reduced,"
allafrica Friday, July 15, 2016 2:41:00 PM EAT
Abdallah Possi said
:
"Increased financial inclusion will also increase efficiency and effectiveness in the provision of services to the citizens,"
allafrica Friday, July 15, 2016 2:41:00 PM EAT