Seif Sharif
Last updated on 2017-09-01T16:05+0300.

About this image

Extracted quotes from
Key Titles and Phrases | Count | Lang | Last Seen |
---|---|---|---|
maalim | 90.00% | SW | 28/08/2017 |
secretary-general | 10.00% | EN | 12/04/2017 |
Names | Lang | Count |
---|---|---|
Seif Sharif | SW | 88.89% |
Seif Sharif | EN | 11.11% |


Tools
Saturday, December 7, 2019
1:49:00 AM EAT
Select your languages
Explore Relations
Extracted quotes about
Bashiru Ally alisema
(
about Seif Sharif
)
:
“Kwa miaka yangu kwenye siasa sijawahi kumuona Maalim Seif akizungumza kwa ukali namna ile, lakini mara hii amenishangaza,”
mwananchi Thursday, December 5, 2019 4:47:00 PM EAT
Zitto Kabwe amesema
(
about Seif Sharif
)
:
“Ujio wa Maalim Seif umesababisha matawi zaidi ya 600 ya CUF Zanzibar pamoja na wanachama 125,000 kujiunga na ACT- Wazalendo ndani ya wiki mbili. Sasa hivi chama hiki kimekuwa kikubwa na tishio mno ndio msingi wa hujuma hizi,”
mwananchi Monday, April 1, 2019 10:49:00 PM EAT
Ibrahim Lipumba alisema
(
about Seif Sharif
)
:
“Si kweli wanaosema kuwa asilimia 90 ya viongozi wa matawi ya CUF wamehamia ACT. Hizo ni propaganda za Maalim Seif,”
mwananchi Monday, March 25, 2019 9:43:00 AM EAT
Augustine Mrema alisema
(
about Seif Sharif
)
:
“Hata kwa Maalim Seif asijidanganye kuwa amepatata ufumbuzi. Kwenda ACT si mwarobaini wa changamoto za kisiasa katika vyama vyetu,”
mwananchi Thursday, March 21, 2019 12:53:00 PM EAT
Zitto Kabwe alisema
(
about Seif Sharif
)
:
“Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Venance Msebo, alisema anakomboa kadi namba moja atakayopewa Maalim Seif pamoja na kumlipia ada ya miaka 10. Mimi kadi yangu ni namba nane,”
mtanzania Wednesday, March 20, 2019 1:15:00 PM EAT
Salim Bimani alisema
(
about Seif Sharif
)
:
“Mimi sina taarifa yoyote na tunapozungumza hapa sasa hivi Maalim Seif yuko hapa ofisini,”
mtanzania Friday, March 15, 2019 2:02:00 PM EAT